Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

I give him a time from tomorrow I m not going to search him in that point najua nitapata majibu yalio kamili kama ananipenda atanitafuta tena and if ikiwa forever bac alikuwa ana ni test.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri ni kwamba hakupendi kiihvyo na ukiwa wapiga simu unamboa
 

Unampigia simu mtu mara kumi,ana figo yako??[emoji15][emoji15]
 

Unampigia simu mtu mara kumi,ana figo yako??[emoji15][emoji15]
 
Mara ya mwisho kupimwa akili ilikuwa lini na una miaka mingapi? Tuanzie hapa kwanza.
 

wewe nae sasa unampigia mtu mara 10 na mahusiano ni mapya utaonekana umedodaaa na utaachwaa acha kujionyeshaa umekufa umeozaa

Utapigwa na kitu kizito [emoji3][emoji3]
 

wewe nae usilazimishee hiyo wanaume wote wapi sema wanaume jobless ndo wana mapenzi ya hivo
kwanza mwanamke gentleman anaejiamini huwezi mkutaa anateseka na kuchat chat ama kuongea na mwanamke

Mimi kama mwanamke simpendii mwanaume asiejiamini kila saa kupiga simu sijui sms

unatakiwa ukipigiwa wakati mwinginee usipokee makusudii sio upo available kila wakatiii
upuuzi tu
 

kibaya zaidi hamuwaoagi hao mnaojifanya mnawapenda
Yule unaemdharaudharau ndo unakuja kumuoa[emoji3]

Napendaga vile unajifanya unapenda huku na hupendwiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…