CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
Hivi nn kimekuzuzua mpaka umechizi namna hii?Najua kwanini wasema hvo.
Ila ndo basi tena CHAI CHUNGU.
kiplagati26 naomba tusizoeane...... Eti 'Nampenda awe mke wangu,eti Hisia za mapenzi'.jiangalie sana!Nampenda Madamu B naitaji kujua je ni msichana, na kama msichana je kaolewa, kiukweli nimevutiwa sana na coment zake post na jokes nyingi ambozo zilitengeneza isia za mapenzi juu yake mara nyingi natembelea jukwaa ili la MMU Ingawa sio mchangiaji saanaa, panapotokea ushauri natoa (lejea mada) kama ni Msichana na aujaolewa basi naomba nafasi japo ni fungue ukurasa mpya wa mapenzi nawe, na punde nitakapolejea Tz tuendelee next stage. kifupi makazi yangu yapo Monduri Arusha.. Niko china commando training course toka mwishoni wa mwaka wa jana nitapendeza univishe taji soon mwaka 2014 pale Ngerengere morogoro baada ya mafunzo ya miaka mingi ya ukomando na kuwa komando kamili nikimaliza salama mwakani na kupata nishani hiyo niliyoitafuta kwa muda mrefu cheo changu ni Luteni soon nitakua captan ukweli ni wakati sahihi wa mimi kuwa na familia sasa. Madam B plz ni PM kweli naomba nafasi tuanzishe familia nzuri yenye amani na upendo wa dhati ili tusonge mbele kimaisha ingawa napenda sana mke ambaye sio mwanasiasa na kama mwanasiasa basi awe mpinzani nakupenda Madam B. "Maisha yanawezekana ukiwa na Nia' ni PM kwa ukwel zaidi.
Jamani UNDENIABLE,
Kundi gani nililokuwa nalo.
kiplagati26 naomba tusizoeana......
Kama unapenda ufaidi matunda ya kazi na mafunzo yote hayo basi achana na Madame B kabisa na ondoa hilo wazo kichwani.FUTA KABISA HILO WAZO
Ameolewa,unadhani hiyo B kwenye jina lake inasimama badala ya nini unadhani 'Beatrice au Brenda'?
Get lost!
Madame BShoga yangu, rafiki yangu na Kipenzi changu Evelyn Salt,
Nitakumiss sana kule jukwaa letu.
Nadhani Mwaka 2012-2013 ni mwaka wangu kwa Wajeda.
Ila ngoja niangalie na bahati hii.
Yule hakupenda ninavochati na nyie.
Ila tuko pamoja.
kiwatengu,asante sana kwa kunishtua nilikua kwenye vikao vya siasa na jana sikulala home nilikua na Evelyn Salt shemeji yangu wa ukweli akinipa maushauri.Yani huyu ni pro....ben! ben! Ben Saanane! some guys wanataka kukupeperushia njiwa wako..
Ahahahah..Naona makomando mnataka kutoana ngeu.Hii kitu kweli hatareeeekiplagati26 naomba tusizoeane...... Eti 'Nampenda awe mke wangu,eti Hisia za mapenzi'.jiangalie sana!
Kama unapenda ufaidi matunda ya kazi na mafunzo yote hayo basi achana na Madame B kabisa na ondoa hilo wazo kichwani.FUTA KABISA HILO WAZO
Ameolewa,unadhani hiyo B kwenye jina lake inasimama badala ya nini unadhani 'Beatrice au Brenda'?
Get lost!
Ahahahah..Pole mkuu.Na wewe tafuta mnyonge ummegee.Ni upepo tuu utapita!
Ila sijui upopo ataacha??akikumbuka jukwaa utamkuta leo tuko hapa pub!!Mkuu KakaKiiza mbona sasa unatoboa siri?? we unadhani huyu commando kiplagati26 amechanganyikiwa hadi kum-please Madame B?? hayo ni matokeo ya kazi nzuri ya kamati ya ufundi ambayo wewe binafsi ulishiriki kikamilifu kumtafutia na hatimaye kumpeleka.:yo::yo::yo:
Sasa Madame B umeamua kuupangua u first lady kutoka kwa Ben Saanane??au ndo umeamua kutoka na kombati?kiwatengu,asante sana kwa kunishtua nilikua kwenye vikao vya siasa na jana sikulala home nilikua na Evelyn Salt shemeji yangu wa ukweli akinipa maushauri.Yani huyu ni pro....
Halafu huyo mjeda anacheza na hisia zangu,nimempa onyo mara moja kwa tamko kali.Atakiona.Asicheze na hisia zangu kabisa
mi nasubiri hata kamgambo
Ha ha ha ha ha!Ahahahah..Pole mkuu.Na wewe tafuta mnyonge ummegee.
Ben Saanane unatangaza viata kubwa sana, hutaweza kaka kupigana. Naomba nikupe sifa nne tu za monduli
1.kule ndiko kuliko cha TMA--tanzania millitary academy, yaani mwanajeshi ukihitimu pale wewe ni askari full pale ndio ndoto ya kila mwanajeshi
2.Kule ndipo kulikona kikubwa chuo cha mizinga hapa tz
3. kule pia kuna kambi ya jkt
4.kule kupishana na wanyama wakali km simba, chui ni kawaida sana
Yote hayo namaanisha jinsi ilivyo kwamba huko ndipo chimbo la ujasiri...............tahadhari..........dont try at home, at school or anywhere
Ahahahah..Mkuu kama vipi na wewe nenda depo fasta.Ha ha ha ha ha!
Mtu mwenyewe kasikia Commando basi kachizi mpaka kamtupa jongoo na mti wake.
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:
huyo mgambo Ben saaanane hamuwezi Madam B bwana mtoto tumeamua apewe komando ndo anaweza kutetea kile kifaa huyo ben afate visharo baby !Sasa Madame B umeamua kuupangua u first lady kutoka kwa Ben Saanane??au ndo umeamua kutoka na kombati?