Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Najua kwanini wasema hvo.
Ila ndo basi tena CHAI CHUNGU.
Hivi nn kimekuzuzua mpaka umechizi namna hii?
Alafu hivi unajua yeye ni commandoo wa nini?au unapalamia tu?
Uliza tukwambie,chezeya digital style weye!
Si unaona watu walivyokimbilia ving'amuzi vya startimes?sasa wanalia!!
 
Last edited by a moderator:
kiplagati26 naomba tusizoeane...... Eti 'Nampenda awe mke wangu,eti Hisia za mapenzi'.jiangalie sana!

Kama unapenda ufaidi matunda ya kazi na mafunzo yote hayo basi achana na Madame B kabisa na ondoa hilo wazo kichwani.FUTA KABISA HILO WAZO

Ameolewa,unadhani hiyo B kwenye jina lake inasimama badala ya nini unadhani 'Beatrice au Brenda'?

Get lost!
 

Ahahahahaa..Hapa naona kazi ipo
 
Last edited by a moderator:
Shoga yangu, rafiki yangu na Kipenzi changu Evelyn Salt,
Nitakumiss sana kule jukwaa letu.
Nadhani Mwaka 2012-2013 ni mwaka wangu kwa Wajeda.
Ila ngoja niangalie na bahati hii.
Yule hakupenda ninavochati na nyie.
Ila tuko pamoja.
Madame B

Futa kauli zako hizi........Futaaa!
 
Last edited by a moderator:
Wewe Madame B shemeji yangu , una zampi wewe, embu angalia umewakalisha watu 90 kidogo wakikodolea macho hii thread, wameacha kazi zao ujue!!
 
Last edited by a moderator:
ben! ben! Ben Saanane! some guys wanataka kukupeperushia njiwa wako..
kiwatengu,asante sana kwa kunishtua nilikua kwenye vikao vya siasa na jana sikulala home nilikua na Evelyn Salt shemeji yangu wa ukweli akinipa maushauri.Yani huyu ni pro....


Halafu huyo mjeda anacheza na hisia zangu,nimempa onyo mara moja kwa tamko kali.Atakiona.Asicheze na hisia zangu kabisa
 
Last edited by a moderator:
Ahahahah..Naona makomando mnataka kutoana ngeu.Hii kitu kweli hatareeee
 
Madame B

Futa kauli zako hizi........Futaaa!

Ben Saanane unatangaza viata kubwa sana, hutaweza kaka kupigana. Naomba nikupe sifa nne tu za monduli
1.kule ndiko kuliko cha TMA--tanzania millitary academy, yaani mwanajeshi ukihitimu pale wewe ni askari full pale ndio ndoto ya kila mwanajeshi
2.Kule ndipo kulikona kikubwa chuo cha mizinga hapa tz
3. kule pia kuna kambi ya jkt
4.kule kupishana na wanyama wakali km simba, chui ni kawaida sana

Yote hayo namaanisha jinsi ilivyo kwamba huko ndipo chimbo la ujasiri...............tahadhari..........dont try at home, at school or anywhere
 
Ila sijui upopo ataacha??akikumbuka jukwaa utamkuta leo tuko hapa pub!!
 
Sasa Madame B umeamua kuupangua u first lady kutoka kwa Ben Saanane??au ndo umeamua kutoka na kombati?
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh..Hapa mjasiriamali natengeneza chapaa kabisa.Kuna opportunity ya kuanzisha mpambano mkali sana kati ya Komando BEN na Komando KIPLAGATI26.Wadau mtapendekeza kiingilio.Mkuu CHAI CHUNGU naona amekubali tu matokeo liwalo na liwe.Twende kazi sasa.Ahahahhahah..!
 

Huko kote nimepita nikamalizia traing Guatemala kwenye special forces kabla sijaingia Hellenic Millitary Academy....

Kwanza huyu jama ni best yake Chimbuvu.Sijui tangu lini hapo Kona Bar pamekua China.....
 
Last edited by a moderator:

eeh..eh...yaani hadi Zion Daughter anaenda kwa sangoma......mungu wangu,Aunt Kongosho hebu njoo umtetee mwanao,hivi mama yake mwaJ anajua haya???
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…