Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Unataka kumpindua commando uchwala?

aaah wapppyyyyyyyyyyyyyyy,
yye na wewe nani uchwala??? manake kama tu kumpigia story kumweka bize ulishindwa si bora huyu atamweka bize kwa kumpikia na kufua ili asiingie jukwaa la chini.

mwenye kisu kikali anakula nyama tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 

Hii inaitwa Makavu live.Jamaa ameumia sana
 
Ngoja niwahi zangu job,maana hapa naona ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa!
Commando!commando!Commando atakua wa hivo bhana?
 
Mbona kama kamtaja Madam B...huyo uliyemtaja wewe mkuu ni raia mwingine kabisaaaaa

Ukomando ni nishani? Wacha kudanganya watu hapa.....We hata mlango wa Ngerengere huujui. Comando course China? How long? Eti Komando au ndio gia yako hiyo? Ngoja aje Le Madame B mwenyewe mtoto wa Forodhani akujibu. Kuja huku we mwanamke.
 

Hivi kumbe inawezekana kupata humuhumu? Dah!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!
Anachombeza ki digital huyo,akifika ndani anakutana na maisha ya ki analogy!
 

Dah! Wewe.. Hivi mwanao eversmilin gal yupo wap?
 
Last edited by a moderator:

Nenda Madam B ukalindwe dhidi ya wakware................jamaa ni komando ujue, inalipa sana!!

Ila wewe captain mtarajiwa una hela???...............mujini wanasema bunduki mzigo silaha pesa, mPM akuambie mwenyewe!! Kila la kheri bhana............wasalimie nengung'u!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!
Anachombeza ki digital huyo,akifika ndani anakutana na maisha ya ki analogy!

babuuuuuuuuuu weeeeeeeeeeeeeee umeshindwa siri ya kumla samaki subiri watu wa kanda ya ziwa wakuonyeshe anavyoliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…