Nderemo na vifijo siku ya harusi.
kiplagati26..............Mpaka dk Hii, Sijajua unanizungumzia Mie Madame B au yule member mwingine Madam B.
Nikipata jibu hilo ndipo nitaendelea.
CHAI CHUNGU..............., Naona umamponda sana Kaka wa Watu, sijui kakukosea nini.
Kumbuka..... Ile Thread yako.
Pamoko sana mom.Mwaka huu wa arusi mpka kieleweke. Lakn na mimi nashangaa hiki kigugumizi cha Madam B sio cha kawaida..au ndo yule magwanda wa chitchat anamzingua...Marhaba mwanangu Zion Daughter, dadako snowhite hajambo. Hebu kwanza bana usinikatishe raha yangu kwenye huu uzi. Mamio namngoja kwa hamu Madam B aje atoe tamko. Boss wangu Madam B mie nakuaminia kwa speed yako ya kukanyaga key board, mbona leo uko goi goi hivyo? Toa tamko linaloeleweka boss we si unaona mwenyewe gfsonwin kishaanza kutuo mastari na sare kesha chagua?
mdogo wangu sasa naanza kukupa somo mchuchu huyoooooooooooooooooo kesha kuja hana hiayana mkaka wa watu sasa shida kwako.Hahahah.......... Kungwi wangu huyo.
Ok Ni kweli nimepata Ujumbe wake.............. CHAI CHUNGU na Nicas Mtei, Mbona mna wivu?
Au mnataka kunipa mdogo wenu?
Dada gfsonwin hebu Baelezee.
hhahhahahhahahhhhh! mama Irine uko fasta weye!!!...................yaelekea umemiss pilau la harusi manake la msibani juzi uligonga la mapilu ubungo mweeeh!Marhaba mwanangu Zion Daughter, dadako snowhite hajambo. Hebu kwanza bana usinikatishe raha yangu kwenye huu uzi. Mamio namngoja kwa hamu Madam B aje atoe tamko. Boss wangu Madam B mie nakuaminia kwa speed yako ya kukanyaga key board, mbona leo uko goi goi hivyo? Toa tamko linaloeleweka boss we si unaona mwenyewe gfsonwin kishaanza kutuo mastari na sare kesha chagua?
this is getting more serious sasa naomba niwe dada na shemeji mkubwa kiukweli tuanze hivi, wewe na CHAI CHUNGU mliishia wapi baada ya ule uzi wake?? je ni kwamba mlipigana kibuti kama ndio its ok nenda na mjeda so far anakuapenda sana na kafunguka ila kama dugu yangau CHAI CHUNGU alikuja kurekebisha mambo nasimama hapa kama mwenyekiti wa UWJ na kama dada yako mkubwa na kama shemeji wa mumeo usiwe mtaka yote. ulikumkubali CHAI CHUNGU basi awe yeye ndo dhemeji.kiplagati26..............Mpaka dk Hii, Sijajua unanizungumzia Mie Madame B au yule member mwingine Madam B.
Nikipata jibu hilo ndipo nitaendelea.
CHAI CHUNGU..............., Naona umamponda sana Kaka wa Watu, sijui kakukosea nini.
Kumbuka..... Ile Thread yako.
hhahhahahhahahhhhh! mama Irine uko fasta weye!!!...................yaelekea umemiss pilau la harusi manake la msibani juzi uligonga la mapilu ubungo mweeeh!
Jamani Jamani, Kwanza Kabla ya yote Napenda Nichukue Nafasi hii kuwashukuru Hawa wafuatao kwa kuwa nae Mtarajiwa wangu.........
Napenda niwashukuru: mwaJ, Kaunga, Nicas Mtei, Bujibuji, Dada gfsonwin, ChaiCHUNU, mtengwa, Zion Daughter, Smile, KakaKiiza, watu8, grand-mal, Paloma, Kiranga, kbm, gobore, BONGOLALA, Yegoo, Passion Lady, bucho, kiwatengu, Crashwise, ndetichia, Fidel80, PakaJimmy, Abdulhalim, Vin Diesel, tungibwaga, giyamo, LiverpoolFC, Preta, Daniel poul, Mvaa Tai, BADILI TABIA, UNDENIABLE, Tetra, HorsePower na Tabalo.
Jamani Ninaamini nyie ni wakubwa na Mnafahamu Kitu kiitwacho MAPENZI,
MAPENZI yanaumiza, MAPENZI tanatesa, MAPENZI yanaua.
Nashukuru Kumpata Mtu ambae amewasilisha Hisia zake kwangu, kwa maana nami sasa najiona mwenye thamani.
Nawashukuru sana kwa Michango yenu, Najua kuna wengine Mmeponda kwa kitendo cha kiplagati26 kunitamkia hisia zake, najua hizo ni Changamoto tu katika Jukwaa kama hili, kwani sidhani kuna ambae hapendi kuona mwenzake akiingia kwenye uhusiano.
Dada gfsonwin............Napenda nikushukuru sana kwa kuwaweka wazi hao akina ChaiCHUNGU ambao wametokea kwenda against na kiplagati26 wangu,
Nadhani wewe ni zaiudi ya Somo wangu.
Ila Jamani, Napenda kuwaambia tu kuwa Wanaume wengi wa Humu JF.......mhhhhh!!!!!!!
Kuna baadhi ni waongo na wengine ni wakweli............. Ila naamini mimi ni mtu mzima, Nitapembua Chuya ili nipate mchele safi.
Jamani Ni bora kulitoa lililo rohoni ili uone uwepesi wake.
kitu khabhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaang!
umaid of honor nahusika mwenyeeeeeeeeeeeeeewe!
Ur welcome.Jamani Jamani, Kwanza Kabla ya yote Napenda Nichukue Nafasi hii kuwashukuru Hawa wafuatao kwa kuwa nae Mtarajiwa wangu.........
Napenda niwashukuru: mwaJ, Kaunga, Nicas Mtei, Bujibuji, Dada gfsonwin, ChaiCHUNGU, mtengwa, Zion Daughter, Smile, KakaKiiza, watu8, grand-mal, Paloma, Kiranga, kbm, gobore, BONGOLALA, Yegoo, Passion Lady, bucho, kiwatengu, Crashwise, ndetichia, Fidel80, PakaJimmy, Abdulhalim, Vin Diesel, tungibwaga, giyamo, LiverpoolFC, Preta, Daniel poul, Mvaa Tai, BADILI TABIA, UNDENIABLE, Tetra, HorsePower na Tabalo.
Jamani Ninaamini nyie ni wakubwa na Mnafahamu Kitu kiitwacho MAPENZI,
MAPENZI yanaumiza, MAPENZI tanatesa, MAPENZI yanaua.
Nashukuru Kumpata Mtu ambae amewasilisha Hisia zake kwangu, kwa maana nami sasa najiona mwenye thamani.
Nawashukuru sana kwa Michango yenu, Najua kuna wengine Mmeponda kwa kitendo cha kiplagati26 kunitamkia hisia zake, najua hizo ni Changamoto tu katika Jukwaa kama hili, kwani sidhani kuna ambae hapendi kuona mwenzake akiingia kwenye uhusiano.
Dada gfsonwin............Napenda nikushukuru sana kwa kuwaweka wazi hao akina ChaiCHUNGU ambao wametokea kwenda against na kiplagati26 wangu,
Nadhani wewe ni zaiudi ya Somo wangu.
Ila Jamani, Napenda kuwaambia tu kuwa Wanaume wengi wa Humu JF.......mhhhhh!!!!!!!
Kuna baadhi ni waongo na wengine ni wakweli............. Ila naamini mimi ni mtu mzima, Nitapembua Chuya ili nipate mchele safi.
Jamani Ni bora kulitoa lililo rohoni ili uone uwepesi wake.