Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Best yangu Bujibuji mie nilikuambia uchangamke wewe ukabaki kuamini kuwa Madame B ni wako iwe iweje! Unaona sasa? Kukusaidia hapo labda nikutafutie glucose ya unga ulambe upate nguvu kidogo wakati nafikiria jinsi ya kupata tiba inayofaa.

Pia ngoja nimtafute mdogo wangu amu aje akae na wewe karibu akikutazamia hali yako kipindi hiki kigumu. Ila sasa na wewe hilo domo lichangamshe! Sio nakuletea mtu wa kukupepea unashindwa hata kumuomba akuletee maji ya kunywa. Lol!
Wee mwenyewe ukiombwa naniliu unachomoa
 
Wewe dogo shika adabu unapoongea na wakubwa zako, ebo!
Haya bhana mi dogo ila ungetoa hiyo naniliu halafu ukaona hujatafuta pa kutokea ndo ungeninyamazisha vizuri wewe unadhani ukauzu wako diliiii
 
Haya bhana mi dogo ila ungetoa hiyo naniliu halafu ukaona hujatafuta pa kutokea ndo ungeninyamazisha vizuri wewe unadhani ukauzu wako diliiii

Sawa bana, ila ni heri nikae kimya nisije nikajilaumu bure.
 
Sawa bana, ila ni heri nikae kimya nisije nikajilaumu bure.

Yani wewe ulivyokaakaa hapo kwenye picha nakukunja na kukutafunatafuna na vijifupa vyako vyoooote uwe kama puto au mdoli...........
 
Kukaa kimya mkuu inauma!
Bora niwe narusha mawe gizani,ukisikia 'yalaaaaaaaaaah'ujue tayari limempata huyo .

ahaaa!ahaaaa!ahaaaa! Mbavuuu zangu! Lakini wewe ChaiCHUNGU na we ci mjedaaaaa! Au unaogopa mapigo ya Ki JET LEE,,shemeji anaondoka ivi!ivi!
 
Last edited by a moderator:
safi tu Bishanga.
Michelle hajambo kabisa shughuli tu zimemmbana..

We unaendeleaje ?
Vipi MMU kunasemaje siku hizi?

afrodenzi mwenzio mmu nilihama longtime,wako too siriaz huko utadhani jukwaa la siasa halafu na walokole kibao full mapambio.
Mi na chichat...chitchat na bishanga full kuumiza mbavu.
Michelle anaendeleaje na yule mkaka mwimbisha mashairi?
 
Last edited by a moderator:

Ahsante kwa kuliona hilo kaka Sting
Kifupi tu ni kua nishajivua gamba. Huyu mleta mada hapa ni Mjeda tena Comandoo, mimi ugomvi nae kwa ajili ya demu siwezi.

Demu mwenyewe mara Ben Saanane, mara Chimbuvu, mara Nicas Mtei, halafu kuna jamaa gani sijui wa Arusha.
Yaani kwa haraka haraka tu naowajua humu JF ni kama 10 hivi, achana na ambao siwajui.
Kila siku nkiwa nae natambulishwa kwa mashemeji wapya, eti kaka zake.
Nishamfumaga One day Guest House akadai kuna ndugu yake ni mhudumu pale, amepitia kumsalimia.
Kifupi huyu demu hajatulia.

CC Evelyn Salt
asakuta same
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo mnatupanga mafungu sio?......huyu wa shopping,huyu wa outing,huyu wa dushelele siza 12,huyu wa jf,huyu wa ndoa........aisee.....ndo mana msondo walijiimbia....'kuzaliwa mwanaume mateso'.

hahahahhahaha! sasa wewe ulitakaje babuu!!
haya mie naomba uwe wangu wa shopping ila dushelele mpelekee secretary
 
Last edited by a moderator:
Kumpenda staa ni kazi! mademe B ana mauzo sana hapa Jf!! Ivi huyu Ninja cijui Komandoo atamuweza kweli huyu Bidada!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom