Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,973
- 9,572
Hata nyie kaka zangu mwanisaliti?
Subiri tukutafutie Mume mdogo wangu acha papara................... nakuambia kiplagati26 ni msojo kaa mbali
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nyie kaka zangu mwanisaliti?
Hata nyie kaka zangu mwanisaliti?
Wee mwenyewe ukiombwa naniliu unachomoaBest yangu Bujibuji mie nilikuambia uchangamke wewe ukabaki kuamini kuwa Madame B ni wako iwe iweje! Unaona sasa? Kukusaidia hapo labda nikutafutie glucose ya unga ulambe upate nguvu kidogo wakati nafikiria jinsi ya kupata tiba inayofaa.
Pia ngoja nimtafute mdogo wangu amu aje akae na wewe karibu akikutazamia hali yako kipindi hiki kigumu. Ila sasa na wewe hilo domo lichangamshe! Sio nakuletea mtu wa kukupepea unashindwa hata kumuomba akuletee maji ya kunywa. Lol!
Wee mwenyewe ukiombwa naniliu unachomoa
Haya bhana mi dogo ila ungetoa hiyo naniliu halafu ukaona hujatafuta pa kutokea ndo ungeninyamazisha vizuri wewe unadhani ukauzu wako diliiiiWewe dogo shika adabu unapoongea na wakubwa zako, ebo!
Haya bhana mi dogo ila ungetoa hiyo naniliu halafu ukaona hujatafuta pa kutokea ndo ungeninyamazisha vizuri wewe unadhani ukauzu wako diliiii
Sawa bana, ila ni heri nikae kimya nisije nikajilaumu bure.
Kukaa kimya mkuu inauma!
Bora niwe narusha mawe gizani,ukisikia 'yalaaaaaaaaaah'ujue tayari limempata huyo .
safi tu Bishanga.
Michelle hajambo kabisa shughuli tu zimemmbana..
We unaendeleaje ?
Vipi MMU kunasemaje siku hizi?
Mwita Maranya mie kabisaaaaaaaaaa unikute m4c labda nitakuwa ni msukule.
Unamjua Shark? ??
Kwa hiyo mnatupanga mafungu sio?......huyu wa shopping,huyu wa outing,huyu wa dushelele siza 12,huyu wa jf,huyu wa ndoa........aisee.....ndo mana msondo walijiimbia....'kuzaliwa mwanaume mateso'.