Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
itabidi tutafakari sana maana nimejaribu kuulizia hapa nilipo hakuna anaejua hata mmoja, wote ni wapyaa 😂 😂 😂Dah [emoji23][emoji23] nimetafakari hizo ngono za kivita sijapata jibu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke ni mzuri ukiwa bado hujamwagia.Huyo ndiyo chaguo lako sasa. Huko kwingine unahangaika tu. Kubali matokeo, ili maisha yaendelee.
Kwani ulipoanzisha mahusiano naye hukulifahamu kabila lake, hukumuona ni mfupi na kibonge?
Western MariooZungu alichomwa moto na neema (Grace),jiandae bro lolote linaweza kutokea mda wowote.
Sasa na wewe unakubalije atumie gharama zake kwako?
Mimi kapuku kabisaa na mama angu muuza ubuyu wapi na wapi sasa?Uwache tabia za kujilingishia cheo cha mzazi wako kutongoza mademu.
Hayo ni matokeo yake.
Ndo chanzo cha umaskiniserikali iendelee kukataza matumizi ya ndumu.
Usiombe ukutane na demu asiyechoka na anapenda roughNGONO ZA KIVITA NDIO ZIPI?
Utunukiwe shahada mkuuHivi kwani unapopewa zawadi ndani ya box utajuakua kuna nini ndani bila kufungua?!
Aiseeh huu ni ukweli mchungu sipingMwanamke ni mzuri ukiwa bado hujamwagia.
Mzee saa hii napenda watoto wangu na si mwanamkeUnachokitafuta utakipata Subiri upata Unaempenda na Asiekupenda utarudi kuleta Uzi humu wachangiaji tumekaa pale
Dharau gani mamie
Usiwaze ntumie zako nimpeSawa. Ni PM namba zake
Mods nikiammndika habari za bandari hawapandishi nyuzi zangu ila haturudi utumwani kizembe tushakataaNyie Bandari si kipaumbele
Akili yako haina akili.Hope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Yakwako ina maviAkili yako haina akili.
PumbavuYakwako ina mavi
Usikariri ni kabila lako sasaHuyo ni mhaya...TU...na anaishi mbagara🤣🤣🤣🤣