Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wakuu kwema!
Napenda kuwashukuru nyote Kwa namna ya pekee. Mmekuwa sehemu muhimu katika kazi zangu na Maisha yangu. Mungu awabariki Mno.
Katika Kampuni yangu ya Taikon Publisher ambayo inahusika na mambo ya Uandishi katika program yetu ya WritingLife Coaching Programs ambayo imesaidia Vijana wengi hasa waandishi chipukizi katika safari Yao kufikia ndoto ya kuwa waandishi mahiri.
- Huduma za uhariri,
- Uandishi wa tawasifu,
Nashukuru Kwa kukamilisha kazi Tatu za kikubwa; ambazo nitaanza kuzizindua hivi karibuni. Kazi hizi sio simulizi bali ni kazi nilizozifanyia utafiti na uchunguzi makini. Zitakuwa sehemu ya msaada kwako.
Kazi hizo ni pamoja na;
1. Macho ya Adui
2. A dream I forgot in my sleep
3. Women melody (How to make a woman sing)
Hizo ni kazi muhimu Kwa Karne ya 21-22 hasa Kwa Vijana WA kike na kiume.
Pia kuna kazi za burudani ambazo zipo tayari sokoni;
1. Kaburi la Mwanamuziki
2. WAKALA WA SIRI
3. MLIO WA RISASI HARUSINI.
Kila kazi ni Tsh 15,000/=
Mawasiliano,
+255693322300
Robert Heriel
Napenda kuwashukuru nyote Kwa namna ya pekee. Mmekuwa sehemu muhimu katika kazi zangu na Maisha yangu. Mungu awabariki Mno.
Katika Kampuni yangu ya Taikon Publisher ambayo inahusika na mambo ya Uandishi katika program yetu ya WritingLife Coaching Programs ambayo imesaidia Vijana wengi hasa waandishi chipukizi katika safari Yao kufikia ndoto ya kuwa waandishi mahiri.
- Huduma za uhariri,
- Uandishi wa tawasifu,
- Uandishi wa Riwaya, tamthilia, Makala
- Uandishi wa kidigital
- Uandishi wa Film- Scripts, Screenplay, n.k
Nashukuru Kwa kukamilisha kazi Tatu za kikubwa; ambazo nitaanza kuzizindua hivi karibuni. Kazi hizi sio simulizi bali ni kazi nilizozifanyia utafiti na uchunguzi makini. Zitakuwa sehemu ya msaada kwako.
Kazi hizo ni pamoja na;
1. Macho ya Adui
2. A dream I forgot in my sleep
3. Women melody (How to make a woman sing)
Hizo ni kazi muhimu Kwa Karne ya 21-22 hasa Kwa Vijana WA kike na kiume.
Pia kuna kazi za burudani ambazo zipo tayari sokoni;
1. Kaburi la Mwanamuziki
2. WAKALA WA SIRI
3. MLIO WA RISASI HARUSINI.
Kila kazi ni Tsh 15,000/=
Mawasiliano,
+255693322300
Robert Heriel