Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Chonde chonde binti naomba tuwasiliane ni muhimu kuliko mapovu ya wanafiki humu ndani ,ikiwezekana tuonane kabla sijasafiri jumatatu ...
 
Wengi wenu ndo mlivo mkifikishwa kwenye mautamu, mimi kuna mke wa mtu alinambia ilikuwaje acherewe kukutana na mimi? Maana hajawahi kuona utamu wa dudu kauwona kwangu.
Kauona ktk dini ya hakhi!

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Chonde chonde binti naomba tuwasiliane ni muhimu kuliko mapovu ya wanafiki humu ndani ,ikiwezekana tuonane kabla sijasafiri jumatatu ..nahitaji zile connections na contacts ambazo ulisema utanipa......tafadhali



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya vitu ukivisikia hata habari za kuoa sijui kuwa na mke unaeza kuogopa. Safari ya kanisani inageuka kuwa safari ya kwenda kufanya uzinifu na usikute pete alikuwa ameivaa kabisa kidoleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeamini wanaume wanapenda sana kudanganywa.
Na bado [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wow..mkaenda kuyamaliza hayo yote mkiwa na majivu yenu kwenye paji la uso
This is amazing..interesting
Hizi ndoa za siku hizi hazina maana..mi nasemaga bila nakandiwa

Bila mtoa mada uko matatani kama umetaja maeneo halisi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanandoa ni wengi sana wanaishi Africa sana na mambo ni mengi mjini hawezi jua mhusika labda izo initial za majina yake, hapo atakuwa ameua
 
Kuna baadhi ya vitu ukivisikia hata habari za kuoa sijui kuwa na mke unaeza kuogopa. Safari ya kanisani inageuka kuwa safari ya kwenda kufanya uzinifu na usikute pete alikuwa ameivaa kabisa kidoleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuna muda mtu anaolewa inafikia muda anaona alijichanganya sana bora aitwe Malaya adi Mungu anamchukua kuliko kuwa kwene iyo taasisi
 
Najaribu kutafakari kama ni kweli hii story.
Jaman kabla hatujaoa/kuolewa tuhakikishe tumeshamaliza ujinga na utoto.
La sivyo tutauana bure.
Unaweza ukakuta ata uyo binti alikuwa ameshaacha ujinga na utoto ila mumewe akamrudisha alikotoka.......kama alikuwa nye*g*e inamaana hawana mahusiano mazuri ya kimahaba na mwenzie.....
 
Haha hahaa watu wamefanya imani yao iwe mazoea ..hakika kama muumba angekua john Leo duniani asingebaki mtu.
Haya mambo yaone kama yalivyo kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi ni mlokole haswaaa, tulienda tunduma akataka kumbaka mdada wa usafi wa lodge tena asubuhi kabisa, nilishangaa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku chini bado anasisitiza bibie ajitokeze...huoni kama ni kweli?
Huyu mtu wala sio Mkristo wala Mkatoliki. Anajaribu ku-provoke watu. Kwamba jumatano ya majivu watu(wakiwemo wanandoa) wanaenda kanisani na wakitoka wanaendeleza uzinzi. Hata iweje mtu akifanya uovu kama huo hawezi kuja kusimulia mtandaoni hata kama hujulikani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah its so sad ujue, siku takatifu ile, na ndio maana had leo ujampata coz mungu alisikitishwa sanaa na hayo mlio yafanyaa, achana naee coz ukimpata hamtokua na faraja daimaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom