Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Sisi shughuli kama hii hatuiiti ukuwadi.Ni mafunzo ya dini yetu kutafuta kheri kwa tuwapendao wakiwemo dada zetu na watoto wetu.
Wallah umemjibu vizuri ,,binafsi sijawahi kujishughulisha kutafuta mke ,,yaan Mara zote nilizooa marafiki zangu huwa wananiambia TU kule Kuna nusra ,,Ni kheiry nyingi Sana wazipatazo wenye kuunga undugu
 
Weka namba Weka namba ili tukutafute, PM hatuji🤪
 
Nachokaga kabisa kusikia hilo neno...kwamba sasa hivi hajajistiri?😆
Labda pengine hujaelewa........

Mwanamke ni kiumbe Cha thamani sana chini ya jua kama tu ataijua thamani yake.......ndio maana mwanamke akikithiri kwenye matendo machafu jamii inamshangaa kuliko mwanaume akifanya........

Katika dini mwanamume ni kiongozi na muangalizi wa mwanamke......mwanamke akipata mume ambaye anamhudumia huduma zote maana yake amamuondolea aibu zake........na hiyo ndio stara.....sote tunafahamu macho na mitazamo ya wana jamii juu ya mwanamke mzinzi ukilinganisha na mwanaume mzinzi.........
 
Ukisikia kuuziwa mbuzi kwenye gunia ndio huku. Hata kwato hatuzioni wakti mbuzi Yuko sokoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…