Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Dhana mbaya tu.Mitandao imeletwa na mwenyewe aliyetuumba. Kwenye mtandao unaweza kupata ambacho huwezi kukipata kwengine mitaani na kinyume chake inawezekana.Muhimu anza na dua ukianza kupenda.
Sawa
 
Ninayoyaona kwenye hili game:-
1. Huyu kijana ni mume wa huyu dada ila kuna sintofahamu kati yao.
2. Huyu kijana anaunda zengwe ili amfumanie mke wake waachane rasmi.
3. Atakayejichanganya Kwa huyu mwanamke atafumaniwa,atapigwa hela na kisamvu kitaliwa.
 
Kwanini usimuamini mtoa mada, ya nini kudhania jambo?
 
Aah kweli akhy sema haya mambo kwa sasa nimekosa interest kabisa nahisi nimepata tatizo gani sijui, nimekinai tuseme.
Usije
Dhana mbaya hii ,,mtu mwenye akili za sawa hawezi kutengeneza Hilo ombwe
 
Be carey guys.
Wacha kutisha wenzako.Hili suala si utani na siri zote zitahifadhiwa.Siku mchakato ukikamilika nitaleta matokeo utaona mwenyewe wahka ulionao.
 
Mpeleke Afghanistan
 
Hayo ni mambo ya wahuni na hayawezi kuletwa hapa JF yanaishia huko huko mitaani hapa tunasoma visa tu.
 
MashAllah!! 🥰
Mimi Katekista ndiyo basi tena! Nimepishana na gari la mshahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…