Ingekuwa nimeunganishwa na mtu ingekuwa rahisi mana pale wanaenda wengi sanamtoto ni bright sana huyo nenda ilboru pale wape ya chai dogo asome pale
Wa kiumeNi wa kiume au wa kike?
Wapi?Laki tano TU!
Wowote ila isiwe mbali sana na dsm, na kitaaluma wawe wanajitahidi kidogoUnataka shule iliyo mkoa upi?
Gavoo, private si Hela Yako tuUnataka private school au gavoo schools?
MIMI NATAFUTA GOVERNMENT BOARDING..MTOTO WANGU WA KIKE.Unataka private school au gavoo schools?
Kumbe tupo wengi😀 sema ngoja wajeMIMI NATAFUTA GOVERNMENT BOARDING..MTOTO WANGU WA KIKE.
NB: YA CHAI TZS:500,000/= NIKO TAYARI KUTOA ...NIKO DSM
Yaani wewe ni kama umeniongelea mimi mkuu-eti mtoto ana A' zote halafu wanampangia Liwiti.?...like seriously !Kumbe tupo wengi😀 sema ngoja waje
Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
Em ngoja nimuulize binamu yangu ana namba za kibaha boyz,Gavoo, private si Hela Yako tu
Mpeleke Tosamaganga secondary school ipo Iringa nje kidogo ya mji, ni boarding ya wavulana tuWa kiume
Be aware na matapeli piaWapi?