Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

Mpeke huko huko alikochaguliwa, fainal watakutana mbele, Mimi nimesoma st kayumba kianzia primary had advance na finaly tulikutania Udsm tukakaa lecture room moja na kukimbizana kwenye kutafta cozwork..... suala sio kutafta shule nzuri andaa mazingira ya kipi afanye baada kumaliza shule, wapo walilata hizo bahati za kusoma mashule hayo ila kama wazazi wao hawakuandaa mazingira mazuri baada masomo yao tuko nao tunapiga saidia fundi humu mitaani. Kama kijana anajua,ni anajua tu hakuna cha kumkwamisha mimi nimesoma olevel shule inafaurisha mtoto mmoja wakienda sana wawili tu tena divission za kuchechemea ila tulipenya humohumo...2012 mwaka wa standardization akapenya my bro peke yake shule nzima, na next year 2013, tukapenya watatu shule nzima nikiwemo mimi pia, tulienjoy sana na kujiona washindi bro alienda maji ya chai huko Arusha mi next year nikaenda TUKUYU DAY Mbeya na wote tulikuja kukutania UDSM mi na bro, tukakutana na hao walionda huko mabordings na mavipaji maalum ila nilichojifunza ni kwamba badala ya kuwekeza mwanao apate elimu bora ni bora uwekeze mwanao apate mazingira bora baada ya Elimu.
 
Mpeke huko huko alikochaguliwa, fainal watakutana mbele, Mimi nimesoma st kayumba kianzia primary had advance na finaly tulikutania Udsm tukakaa lecture room moja na kukimbizana kwenye kutafta cozwork..... suala sio kutafta shule nzuri andaa mazingira ya kipi afanye baada kumaliza shule, wapo walilata hizo bahati za kusoma mashule hayo ila kama wazazi wao hawakuandaa mazingira mazuri baada masomo yao tuko nao tunapiga saidia fundi humu mitaani. Kama kijana anajua,ni anajua tu hakuna cha kumkwamisha mimi nimesoma olevel shule inafaurisha mtoto mmoja wakienda sana wawili tu tena divission za kuchechemea ila tulipenya humohumo...2012 mwaka wa standardization akapenya my bro peke yake shule nzima, na next year 2013, tukapenya watatu shule nzima nikiwemo mimi pia, tulienjoy sana na kujiona washindi bro alienda maji ya chai huko Arusha mi next year nikaenda TUKUYU DAY Mbeya na wote tulikuja kukutania UDSM mi na bro, tukakutana na hao walionda huko mabordings na mavipaji maalum ila nilichojifunza ni kwamba badala ya kuwekeza mwanao apate elimu bora ni bora uwekeze mwanao apate mazingira bora baada ya Elimu.
Najua Hilo. Ila kwa hii shule hapana, kwanza ni wahuni wanachomana visu siku za michezo ijumaa hasa Hawa form one, pili, mwaka 2018 shule ilikuwa ya tatu kutoka mwisho kitaifa
 
Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
Hakuna tofauti kati ya aliyesoma shule "Teule" na yule aliyesoma "changanyikeni" wote watakutana chuo kikuu wote watapokea mkopo wote watahangaika kutafuta kazi .

Shule "teule" ni kwa nchi za wenzetu si hapa bongo kule kuna jamii kama MENSA hawa wakigundua tu mtoto hata kama ana mwaka mmoja ila ameonesha uwezo mkubwa wa kiakili kuna namna wanakuja kumtahini kisha wakijiridhisha anajiunga na MENSA kisha anaaanza kusoma masomo maalum kutokana na kipaji chake na anaajiriwa kwenye kazi maalum.

Bongo ukifuatilia tu hawa T.O wanapoishia unabaki kusikitika , hakuna mfumo wowote mzuri uliowekwa kuwafanya waonekane tofauti na wengine acha kujiumiza kichwa mwache mtoto asome .
 
Hakuna tofauti kati ya aliyesoma shule "Teule" na yule aliyesoma "changanyikeni" wote watakutana chuo kikuu wote watapokea mkopo wote watahangaika kutafuta kazi .

Shule "teule" ni kwa nchi za wenzetu si hapa bongo kule kuna jamii kama MENSA hawa wakigundua tu mtoto hata kama ana mwaka mmoja ila ameonesha uwezo mkubwa wa kiakili kuna namna wanakuja kumtahini kisha wakijiridhisha anajiunga na MENSA kisha anaaanza kusoma masomo maalum kutokana na kipaji chake na anaajiriwa kwenye kazi maalum.

Bongo ukifuatilia tu hawa T.O wanapoishia unabaki kusikitika , hakuna mfumo wowote mzuri uliowekwa kuwafanya waonekane tofauti na wengine acha kujiumiza kichwa mwache mtoto asome .
Najua Hilo, lakini unaijua shule aliyopangwa? Unafikiri angepangwa shule ya kawaida ila Ina afadhali ningehangaika? Probability ya kufeli ni kubwa kuliko kufaulu.....
 
Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
Nicheck nikuungie mahali kama hutojali na namba ya simu
 
Mpeke huko huko alikochaguliwa, fainal watakutana mbele, Mimi nimesoma st kayumba kianzia primary had advance na finaly tulikutania Udsm tukakaa lecture room moja na kukimbizana kwenye kutafta cozwork..... suala sio kutafta shule nzuri andaa mazingira ya kipi afanye baada kumaliza shule, wapo walilata hizo bahati za kusoma mashule hayo ila kama wazazi wao hawakuandaa mazingira mazuri baada masomo yao tuko nao tunapiga saidia fundi humu mitaani. Kama kijana anajua,ni anajua tu hakuna cha kumkwamisha mimi nimesoma olevel shule inafaurisha mtoto mmoja wakienda sana wawili tu tena divission za kuchechemea ila tulipenya humohumo...2012 mwaka wa standardization akapenya my bro peke yake shule nzima, na next year 2013, tukapenya watatu shule nzima nikiwemo mimi pia, tulienjoy sana na kujiona washindi bro alienda maji ya chai huko Arusha mi next year nikaenda TUKUYU DAY Mbeya na wote tulikuja kukutania UDSM mi na bro, tukakutana na hao walionda huko mabordings na mavipaji maalum ila nilichojifunza ni kwamba badala ya kuwekeza mwanao apate elimu bora ni bora uwekeze mwanao apate mazingira bora baada ya Elimu.
Ushauri bora kabisa mkuu shida wazazi wengi bado ni malimbukeni , hawana ufahamu wa haya mambo piga picha T.O woote miaka yote wameishia wapi? Wengi ni walimu wa tuisheni na wengine wameajiriwa kazi hizi hizi wanazopata hawa wa shule za kata .

Ishu ni kwamba kama nchi bado hatujaweza kufikia hatua ya kuwainua wa vipaji ili vipaji vyao vitumike kwa maslahi ya nchi nzima , wa vipaji wanaishia kupata sifa ya kwenda bungeni tu na kutangazwa na vizawadi zawdi lakini wote wanakutana chuo kikuu na wote wanakuwa sawa hii inawa affect sana kisaikolojia hasa mtu akifikia alikuwa ni "A" student toke shule ya msingi.
 
Ushauri bora kabisa mkuu shida wazazi wengi bado ni malimbukeni , hawana ufahamu wa haya mambo piga picha T.O woote miaka yote wameishia wapi? Wengi ni walimu wa tuisheni na wengine wameajiriwa kazi hizi hizi wanazopata hawa wa shule za kata .

Ishu ni kwamba kama nchi bado hatujaweza kufikia hatua ya kuwainua wa vipaji ili vipaji vyao vitumike kwa maslahi ya nchi nzima , wa vipaji wanaishia kupata sifa ya kwenda bungeni tu na kutangazwa na vizawadi zawdi lakini wote wanakutana chuo kikuu na wote wanakuwa sawa hii inawa affect sana kisaikolojia hasa mtu akifikia alikuwa ni "A" student toke shule ya msingi.
Hoja yangu ni kwamba asilimia ya kufaulu ni ndogo sana
 
Inaonekana hujanielewa, vipi kwa hao wenye A tatu na bado wakapangiwa shule teule na wote amehitimu nao darasa Moja? Ingekuwa wote hawajapangwa nisingekuwa na wasiwasi
Kwanza mpe hongera sana mwanao kwa kufanya vizuri.
Ila kiufupi mwanao amepata A za kichovu yaani A za mwanzoni. Wakati hao watoto wenye A nne wamepata A kali yaani zile A karibu na 100% na B kali yaani zile za karibu na 75%

Sasa utaona mwanao ana A nyingi ila ukitafuta jumla ya marks zao utaona yupo chini kuliko hao walopata A nne.

Mfano.
Mwanao: 75%, 76%, 77%, 78%, 79% na 80% (ana A sita na jumla ya alama 465)

Mwingine: 98%, 97% 95% 98% 74% na 73% (ana Anne na B mbili, na jumla ya alama 535)

Mpeleke mwanao Ifunda Technical ipo Iringa akashindwe mwenyewe.
 
Yaani wewe ni kama umeniongelea mimi mkuu-eti mtoto ana A' zote halafu wanampangia Liwiti.?...like seriously !
wanadai wanawapangia shule za ovyo ili kwenda kuziinua kiufaulu hizo shule. Kama Liwiti si ni shule mpya hiyo.

Mwaka jana mwanangu alipata A zote na kutupwa Msimbazi. Nikamuendeleza huko huko private alikomalizia msingi.
 
Kwanza mpe hongera sana mwanao kwa kufanya vizuri.
Ila kiufupi mwanao amepata A za kichovu yaani A za mwanzoni. Wakati hao watoto wenye A nne wamepata A kali yaani zile A karibu na 100% na B kali yaani zile za karibu na 75%

Sasa utaona mwanao ana A nyingi ila ukitafuta jumla ya marks zao utaona yupo chini kuliko hao walopata A nne.

Mfano.
Mwanao: 75%, 76%, 77%, 78%, 79% na 80% (ana A sita na jumla ya alama 465)

Mwingine: 98%, 97% 95% 98% 74% na 73% (ana Anne na B mbili, na jumla ya alama 535)

Mpeleke mwanao Ifunda Technical ipo Iringa akashindwe mwenyewe.
Ahsante, una namba ya mkuu wa pale?
Alafu A primary ni 81 ambayo ni 41/50
 
wanadai wanawapangia shule za ovyo ili kwenda kuziinua kiufaulu hizo shule. Kama Liwiti si ni shule mpya hiyo.

Mwaka jana mwanangu alipata A zote na kutupwa Msimbazi. Nikamuendeleza huko huko private alikomalizia msingi.
Basi waziboreshe hizo Zingine ziwe za kueleweka, napo hawataki😂
 
Brother sikia nikwambie. Wakati mwingine ni kujiamini kwako tu. Kwa mfano ; unaenda pale shule hujuani na yyt unaulizia mtaaluma au mkuu wa shule, unajitambulisha vizuri kisha unamuelezea shida yako kwa kina sana! Huwezi jua pengine kujuana naye kukaanzia hapo hapo.

Kijana wangu alipangiwa shule Mkoa wa Manyara A level , nikaenda shule fulani Singida sijuani na mtu yyt, nikamuulizia academic master, nikaingia ofisini kwake nikajitambulisha kisha nikamuelezea shida yangu kinaga ubaga. Alinihoji mwasawali nikamjibu na cha kushangaza akanisaidia kwa kuniunganisha na mkuu wa ile shule kule Manyara ,uhamisho ukafanyika bila shida.

Wakati mwingine hofu inatukosesha mambo mazuri
Ondoka Na Huu Ushauri Nadhani Utaendelea Kujifunza Vingi Mnoo
 
Back
Top Bottom