Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Ngoja nikutafutie namba za kilakala girls!MIMI NATAFUTA GOVERNMENT BOARDING..MTOTO WANGU WA KIKE.
NB: YA CHAI TZS:500,000/= NIKO TAYARI KUTOA ...NIKO DSM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikutafutie namba za kilakala girls!MIMI NATAFUTA GOVERNMENT BOARDING..MTOTO WANGU WA KIKE.
NB: YA CHAI TZS:500,000/= NIKO TAYARI KUTOA ...NIKO DSM
Matapeli how ?Be aware na matapeli pia
Nawakumbusha tu. Wanasiasa wanapopokea rushwa tukumbuke nasi pia tunafanya vivyo hivyo. Tofauti kiasi.MIMI NATAFUTA GOVERNMENT BOARDING..MTOTO WANGU WA KIKE.
NB: YA CHAI TZS:500,000/= NIKO TAYARI KUTOA ...NIKO DSM
ile inapokea advance tu haina o level kwa sasa nimesoma hapoMpeleke Tosamaganga secondary school ipo Iringa nje kidogo ya mji, ni boarding ya wavulana tu
No, sio special peke akeEm ngoja nimuulize binamu yangu ana namba za kibaha boyz,
Na unataka special schools only?
Shida ni nafasi ndo maana nimekuja humu, ukienda wanakwambia mpaka asome miezi mitatu, ila ukiwa unajuana na mtu inawezekana kuhama bila hyo miezi mitatuMpeleke Tosamaganga secondary school ipo Iringa nje kidogo ya mji, ni boarding ya wavulana tu
Ukinitafutia na za mzumbe itakuwa poa kwa kijana wangu aiseeNgoja nikutafutie namba za kilakala girls!
Kigezo cha selection ni jumla ya maksi hadi 300. Mwanafunzi anaweza kupata wastani wa "A" kwa 81 x 6 = 246. Katika gepu la maksi 54 kitaifa ni watoto wengi sana! Ushauri wangu kuwa mpole!Aisee hizi selection za ajabu sana, mwanangu Ako na A zooote na amepangwa shule ya changanyikeni tu na amemaliza shule ya serikali, japo Kuna wenzake unakuta Wana A nne lakini wapepangwa shule teule, kiukweli inakatisha tamaa. Shule alomalizia ni Dsm wilaya ya ilala, sasa ni hivi Mimi natafuta nafasi shule ya bweni iwe nzuri kidogo kitaaluma, mi najua humu mnajuana na walimu wengi na Kuna walimu pia........
Ya soda ipo kama utataka, ntashukuru kama ntapata nafasi aisee!!!
Brother sikia nikwambie. Wakati mwingine ni kujiamini kwako tu. Kwa mfano ; unaenda pale shule hujuani na yyt unaulizia mtaaluma au mkuu wa shule, unajitambulisha vizuri kisha unamuelezea shida yako kwa kina sana! Huwezi jua pengine kujuana naye kukaanzia hapo hapo.Shida ni nafasi ndo maana nimekuja humu, ukienda wanakwambia mpaka asome miezi mitatu, ila ukiwa unajuana na mtu inawezekana kuhama bila hyo miezi mitatu
Ooh, ipo moja Arusha DC nilisoma hapo na nilifanya vizuri sana..... sio kata wala too advanced Ila ni mixtureNo, sio special peke ake
Inaonekana hujanielewa, vipi kwa hao wenye A tatu na bado wakapangiwa shule teule na wote amehitimu nao darasa Moja? Ingekuwa wote hawajapangwa nisingekuwa na wasiwasiKigezo cha selection ni jumla ya maksi hadi 300. Mwanafunzi anaweza kupata wastani wa "A" kwa 81 x 6 = 246. Katika gepu la maksi 54 kitaifa ni watoto wengi sana! Ushauri wangu kuwa mpole!
Tuwasiliane basii..Ooh, ipo moja Arusha DC nilisoma hapo na nilifanya vizuri sana..... sio kata wala too advanced Ila ni mixture
Inaonekana hujanielewa, vipi kwa hao wenye A tatu na bado wakapangiwa shule teule na wote amehitimu nao darasa Moja? Ingekuwa wote hawajapangwa nisingekuwa na wasiwasiKigezo cha selection ni jumla ya maksi hadi 300. Mwanafunzi anaweza kupata wastani wa "A" kwa 81 x 6 = 246. Katika gepu la maksi 54 kitaifa ni watoto wengi sana! Ushauri wangu kuwa mpole!
Sawa Brother, nitalifanyia kaziBrother sikia nikwambie. Wakati mwingine ni kujiamini kwako tu. Kwa mfano ; unaenda pale shule hujuani na yyt unaulizia mtaaluma au mkuu wa shule, unajitambulisha vizuri kisha unamuelezea shida yako kwa kina sana! Huwezi jua pengine kujuana naye kukaanzia hapo hapo.
Kijana wangu alipangiwa shule Mkoa wa Manyara A level , nikaenda shule fulani Singida sijuani na mtu yyt, nikamuulizia academic master, nikaingia ofisini kwake nikajitambulisha kisha nikamuelezea shida yangu kinaga ubaga. Alinihoji mwasawali nikamjibu na cha kushangaza akanisaidia kwa kuniunganisha na mkuu wa ile shule kule Manyara ,uhamisho ukafanyika bila shida.
Wakati mwingine hofu inatukosesha mambo mazuri
Naamini utafanikiwaSawa Brother, nitalifanyia kazi
hata private wana interviews kwa shule nzuri, tena anaweza asitoboe na hzo A zakeGavoo, private si Hela Yako tu
Najua, ila nachomaanisha private si kazi kupata nafasi maana shule ni nyingi na wengi wao nafasi zipo, ila serikalini ndo kazihata private wana interviews kwa shule nzuri, tena anaweza asitoboe na hzo A zake
Ndio, tatizo Wana maringo sana kama hawakujui au hujaletwa na mtu kuomba nafasi😀A level almost all schools are best.