Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

Ahsante, una namba ya mkuu wa pale?
Alafu A primary ni 81 ambayo ni 41/50
Shukran kwa kunikumbusha hilo, ila naamini mfano wangu umeeleweka vyema.

Ngoja niangalie kama nna namba ya mwalimu yeyote pale then ntakutumia.
 
Achana na issue za boarding mpeleke Dar es salaam secondary pale atoke na division one point 7 aende zake special school
 
Kwanza mpe hongera sana mwanao kwa kufanya vizuri.
Ila kiufupi mwanao amepata A za kichovu yaani A za mwanzoni. Wakati hao watoto wenye A nne wamepata A kali yaani zile A karibu na 100% na B kali yaani zile za karibu na 75%

Sasa utaona mwanao ana A nyingi ila ukitafuta jumla ya marks zao utaona yupo chini kuliko hao walopata A nne.

Mfano.
Mwanao: 75%, 76%, 77%, 78%, 79% na 80% (ana A sita na jumla ya alama 465)

Mwingine: 98%, 97% 95% 98% 74% na 73% (ana Anne na B mbili, na jumla ya alama 535)

Mpeleke mwanao Ifunda Technical ipo Iringa akashindwe mwenyewe.
Primary A ni kuanzia 81 ambayo ni marks 40.5. Marks za juu shule za msingi 50. Yaani akipata 100 wanagawa kwa 2 yaani (100/2=50). Ebu tulinganishe wanafunzi hawa wawili: Labda tuseme hivi somo 1 kapata A ya 100x1=100. Masomo 5 mengine kapata B za 80x5=400. Ukijumlisha 100+400=500. Ukigawa 500/2=250. Wakati huo huo tuchukulie wastani wa chini kwa aliyepata masomo yoote A ni 81x6=486. Ukigawa 486/2=243. Kwahiyo utakuja kuona huyu kapata masomo yoote A lakini jumla ya maksi yuko chini kuliko huyo aliyepata A moja tu!. Chiclette
 
Primary A ni kuanzia 81 ambayo ni marks 40.5. Marks za juu shule za msingi 50. Yaani akipata 100 wanagawa kwa 2 yaani (100/2=50). Ebu tulinganishe wanafunzi hawa wawili: Labda tuseme hivi somo 1 kapata A ya 100x1=100. Masomo 5 mengine kapata B za 80x5=400. Ukijumlisha 100+400=500. Ukigawa 500/2=250. Wakati huo huo tuchukulie wastani wa chini kwa aliyepata masomo yoote A ni 81x6=486. Ukigawa 486/2=243. Kwahiyo utakuja kuona huyu kapata masomo yoote A lakini jumla ya maksi yuko chini kuliko huyo aliyepata A moja tu!. Chiclette
Hakika, nami nilikuwa nakazia suala hilo hilo.

Suala hili nililijua wakati nilipomaliza shule ya msingi wakati huo tunafanya masomo manne.

Rafiki yangu alipata A mbili na B mbili akachaguliwa shule ya kutwa.

Mimi nilipata A moja na B tatu nikachaguliwa shule ya ufundi. Hii A ilikuwa ya Hisabati.

Tukajiuliza kidogo ila tukaja kujua kuwa kumbe jumla ya alama nilimpita. Tukagonga cheers tukaendelea na maisha.
 
Goverment hazijawahi kupishana Tabia...
Hizo mnazoziita vipaji mateso ni sawa na Kayumba tu..basi tu zinaenda cream.
Tafuta hela, elimu haipaswi kuwa mateso.
Let the children enjoy the fruit of your sweat.
 
Goverment hazijawahi kupishana Tabia...
Hizo mnazoziita vipaji mateso ni sawa na Kayumba tu..basi tu zinaenda cream.
Tafuta hela, elimu haipaswi kuwa mateso.
Let the children enjoy the fruit of your sweat.
Sio zote
 
Ningeweza kukwambia umpeleke pale KANTALAMBA BOYS High school iko sumbawanga mjini lakini kwa kuwa unataka karibu na DSM....lkn ni shule inayofanya vzr nanda za juu kusini ukitoa IYUNGA BOYS
 
Mwenye mawasiliano ya Kalakala Secondary ya Morogoro naomba
 
Back
Top Bottom