Askari traffic wengi wana vitambi na wanashindana kununua magari, unajiuliza hiyo mishahara inatosha kununua gari? Na bila aibu unawakuta mtu eti ana prado na hana mkopo benki. Yaani kwa huyu dogo wamechemshaNa wewe unataka!πππ
View attachment 2330366
Exactly, hao Askari kweli wamekosea ,hapo lengo kumdhalilisha waziriHao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji
1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?
2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.
3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi
4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike
5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Tena wanarekodi inamaana askari kazi zao siku hizi imekuwa uandishi wa habari??? Yaani hawafai hata kutunza siri. Ina maana hata wakimkuta Rais Samia anapata ki wine chake wanaweza kutoa siri oh Rais anakunywa wine mchana. Yaani wameharibu sana kumdhalilisha Mh. Simbachawene.Exactly, hao Askari kweli wamekosea ,hapo lengo kumdhalilisha waziri
GTs,
Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?
Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?
Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.
Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.
Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.
Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.
Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria
Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yakeβ¦. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...www.jamiiforums.com
Askari wamemstahi sana dogo (wamemuogopa), dogo kaendesha amelewa, amesahabisha ajali kisha askari wamemkamata ja wanamuonyesha kiti akalie!Hapana hao askari ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.
Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askari wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.
Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askari alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.
Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.
Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askari alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.
Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
na ili ujue ni mchongo unatengenezwa,walikua wana record kila ujingaikabidi haraka wamseti.
tena nakukumbusha dogo amekutana na askari wastaarabu sana,angekutana navichwa vibovu yule angefurahi,nahivi baba yake hakuna alichowafanyia cha maana,then anamtaja taja kifala.GTs,
Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?
Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?
Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.
Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.
Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.
Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.
Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria
Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yakeβ¦. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...www.jamiiforums.com
Hayo mambo ya mtoto wa Simbachawene yatakuja baadaye, sasahivi MLETE MZUNGU kwanzaGTs,
Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?
Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?
Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.
Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.
Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.
Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.
Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria
Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yakeβ¦. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...www.jamiiforums.com
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji
1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?
2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.
3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi
4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike
5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
kwani unadhani watampiga risasi,ni kulipa gharama za gari alizozigonga na pesa kufuta kesi ya matusi aliyotukana.Simbachawene amewatega tu
Nani ana guts za kushughulika nae that much?
Unadhani Polisi mafala? Wanajua wanategwa pia
weledi myfootNakubaliana na wewe, kilichotokea mimi na wewe hatujui. Ila mazingira yana kitu ambacho kineta maswali. Hivi huyo askari, kulikuwa na haja gani baada ya kujua yule ni mtoto wa kiongozi mkubwa halafu amchokonoe kwa kauli ambazo zina utata. Je kuna kitu gani walimfanyia mpaka awe na hasira kiasi hicho? Je hilo tusi alitukana kweli au aliamua tu kusema ndiyo katukana ili kuonesha uanaume? Je hawakumdhalilisha kwa kumtishia kumfunga au kumuweka lockup kiasi kwamba case ilikuwa ndogo na alitaka waelewane ila wao wakakuza mambo? Kwa ufupi hao polisi hawana weledi kabisa. Naamini watachukuliwa hatua liwe funzo. Mi hata nikimkuta Ridhiwani Kikwete sehemu siwezi kuonesha kumchuki au dharau, au mtoto wa Mbowe eti nimdharau, hapana. Nitajitahidi kumfichia aibu baba yake ili kuepuka taharuki ktk jamii, na huo ndiyo uadilifu. Yaani ni sawa tu na kutaka eti kumdhalilisha mtoto wa Rais Samia, hivi unakuwa na akili timamu???? Viongozi wetu wawe upinzani au chama tawala watabaki alama za taifa ila kwenye madhaifu yao tutawasema ila kwenye utu na heshima zao na familia zao hapana tuwaheshimu.
kuna mafala humu eti bado yanalaumu.Askari wamemstahi sana dogo (wamemuogopa), dogo kaendesha amelewa, amesahabisha ajali kisha askari wamemkamata ja wanamuonyesha kiti akalie!
Customer care waliyoonyesha polisi kwa huyo dogo ni ya hali ya juu, angekuwa mwingine angepokelewa kwa mabanzi na kuamriwa akae chini sakafuni.
Vv
uhakika unautoa wapi wewe[emoji28][emoji28]wafukuzwe kwa kosa gani???Usiseme hana ushawishi, serikali ni dude hata kama mtu katoka. Hao askari nina uhakika watafukuzwa ni waovu.
siri unazijua wewe!!!Tena wanarekodi inamaana askari kazi zao siku hizi imekuwa uandishi wa habari??? Yaani hawafai hata kutunza siri. Ina maana hata wakimkuta Rais Samia anapata ki wine chake wanaweza kutoa siri oh Rais anakunywa wine mchana. Yaani wameharibu sana kumdhalilisha Mh. Simbachawene.
Kwa hiyo ukikerwa, inapaswa kurudisha kero..!! Hivi ile ya kujichukulia sheria mkononi, si huwa mtu anaanzwa halafu anatakiwa akaripoti?Kumbe alikimbia ?,yeye nimesikia anasema walitaka kumpiga, ila Kuna vitu hao jamaa wamemkosea hawasemi tu
Mfano wanadai kakejeri passo, huenda walimkera
Dogo kachemshaGTs,
Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?
Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?
Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.
Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.
Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.
Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.
Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria
Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yakeβ¦. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...www.jamiiforums.com