Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Exactly, hao Askari kweli wamekosea ,hapo lengo kumdhalilisha waziri
 
Kwa namna moja au nyingine niko upande wa dogo.

Mwanzo dogo alikua ni kama anaelekeza jinsi ilivyokua, lakini kuna wapuuzi walikua wanamchochea kichizi na ukizingatia alikua maji basi kupanick ni dakika 0.

Wamempanikisha mpaka akaanza kutema shit sasa, akitema shiti wao hawapanick bali wanazidi kumseti ateme shit zaidi.

Hata kwa huyo askali aliemuuliza eti unamuita mwanaume mwenzio msen** nae ni katika harakati za kumjaza upepo dogo. Na dogo nae akajaa mzima mzima akatema shit tena.

Pole kwa hao watu waliotukanwa na chalii.
Na kibaya/kizuri zaidi hawawez mfanya chochote huyo dogo, mzee wake anawajua wabongo kwa mihemko na wala sio wafatiliaji.
 
Exactly, hao Askari kweli wamekosea ,hapo lengo kumdhalilisha waziri
Tena wanarekodi inamaana askari kazi zao siku hizi imekuwa uandishi wa habari??? Yaani hawafai hata kutunza siri. Ina maana hata wakimkuta Rais Samia anapata ki wine chake wanaweza kutoa siri oh Rais anakunywa wine mchana. Yaani wameharibu sana kumdhalilisha Mh. Simbachawene.
 
Mh.Simbachawene unapaswa kuhakikisha kuwa unawalinda wanao kama baba. Tabia za askali wetu zinajulikana wengi wao wananapokuwa na hizo bunduki zao basi huona kuwa wanaweza kuwafanyia raia udhalilishaji wowote huku wakiwatishia kuwaweka ndani.
Tuhakikishe tunawalinda wanetu tukingali hai.
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.



Simbachawene amewatega tu

Nani ana guts za kushughulika nae that much?
Unadhani Polisi mafala? Wanajua wanategwa pia
 
Hapana hao askari ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askari wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.

Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askari alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.

Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.

Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askari alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.

Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Askari wamemstahi sana dogo (wamemuogopa), dogo kaendesha amelewa, amesahabisha ajali kisha askari wamemkamata ja wanamuonyesha kiti akalie!

Customer care waliyoonyesha polisi kwa huyo dogo ni ya hali ya juu, angekuwa mwingine angepokelewa kwa mabanzi na kuamriwa akae chini sakafuni.

Vv
 
ikabidi haraka wamseti.
na ili ujue ni mchongo unatengenezwa,walikua wana record kila ujinga

hivi angekua kapuku wangekua wanarecord,hadi kituoni anarecordiwa

siku hizi vituoni askari wanaruhusiwa kurecord mtuhumiwa? kama si askari

alierecord,ina maana raia wa kawaida anaruhusa ya kuingia kituoni kurecord

video na simu yake? katika hili jambo POLISI ni wangese na namtetea sana huyu kijana

wamefanya jambo wakidhani wanamkomoa ila zaidi ni kujikomoa wenyewe na kudhihirisha upumbavu wao wa utendaji kazi wanapokua kazini mwao.

Nina amini huyu jamaa atatolewa,waziri kaandika vile public ili tu kuweka picha nzuri kwa wananchi,ila huko kituoni patachimbika, Kuanzia mrecord video mpaka mpost video,

hili jambo likikuzwa Kuna watu kazi wanakosa,vyeo vinanyofolewa,RIP JPM walahi angekuepo hili sakata likamfikia angepurua askari wote wa zamu na kijana kesi yake ingefika inapostahili ila lazima Kuna watu watajuta kupitia sakata hili.
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.


tena nakukumbusha dogo amekutana na askari wastaarabu sana,angekutana navichwa vibovu yule angefurahi,nahivi baba yake hakuna alichowafanyia cha maana,then anamtaja taja kifala.
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.


Hayo mambo ya mtoto wa Simbachawene yatakuja baadaye, sasahivi MLETE MZUNGU kwanza
 
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma

upuuzi ni asili ya watanzania hawawezi kuwa nao askari peke yao.

1.video wakirekodiwa askari mnakata mauno kwamba ni ushahidi muhimu hasa wakiwa wanavua hizo nguo na kufanya mengine ya kujidhalilisha.wacha unafiki.

2.polisi boss wao ni serikali kwa ujumla wake,sio mtu mmoja mmoja,hata IGP hawamchukiliii kama boss waoi,simbachawene ni waziri mwenye historia ya kuwa waziri wa mambo ya ndani,hana mandate yeyote wizara hiyo kwa sasa.

3.simply,mzee kakutana na video mtandaoni,hakuna aliyejihangaisha kumtafuta baba yake wakati mtoto ni mtu mzima anayejitegemea na yuko tayari kujitwika msalaba wake kama alivyojitwika balimi.

4.hujui huyo mzee anaishi vipi na mwanaye,mpaka haraka kutoa tamko kali namna hiyo lisilo na kutafuna maneno.

5.hilo bado atalifanya hata sasa baada ya polisi kumalizana na mwanaye.
 
Simbachawene amewatega tu

Nani ana guts za kushughulika nae that much?
Unadhani Polisi mafala? Wanajua wanategwa pia
kwani unadhani watampiga risasi,ni kulipa gharama za gari alizozigonga na pesa kufuta kesi ya matusi aliyotukana.
 
Nakubaliana na wewe, kilichotokea mimi na wewe hatujui. Ila mazingira yana kitu ambacho kineta maswali. Hivi huyo askari, kulikuwa na haja gani baada ya kujua yule ni mtoto wa kiongozi mkubwa halafu amchokonoe kwa kauli ambazo zina utata. Je kuna kitu gani walimfanyia mpaka awe na hasira kiasi hicho? Je hilo tusi alitukana kweli au aliamua tu kusema ndiyo katukana ili kuonesha uanaume? Je hawakumdhalilisha kwa kumtishia kumfunga au kumuweka lockup kiasi kwamba case ilikuwa ndogo na alitaka waelewane ila wao wakakuza mambo? Kwa ufupi hao polisi hawana weledi kabisa. Naamini watachukuliwa hatua liwe funzo. Mi hata nikimkuta Ridhiwani Kikwete sehemu siwezi kuonesha kumchuki au dharau, au mtoto wa Mbowe eti nimdharau, hapana. Nitajitahidi kumfichia aibu baba yake ili kuepuka taharuki ktk jamii, na huo ndiyo uadilifu. Yaani ni sawa tu na kutaka eti kumdhalilisha mtoto wa Rais Samia, hivi unakuwa na akili timamu???? Viongozi wetu wawe upinzani au chama tawala watabaki alama za taifa ila kwenye madhaifu yao tutawasema ila kwenye utu na heshima zao na familia zao hapana tuwaheshimu.
weledi myfoot

msimponze huyo dogo watu wakaamua tu kumkomoa makusudi.
huyo baba yake wala hana ushawishi tena humo.
 
Usiseme hana ushawishi, serikali ni dude hata kama mtu katoka. Hao askari nina uhakika watafukuzwa ni waovu.
 
Askari wamemstahi sana dogo (wamemuogopa), dogo kaendesha amelewa, amesahabisha ajali kisha askari wamemkamata ja wanamuonyesha kiti akalie!

Customer care waliyoonyesha polisi kwa huyo dogo ni ya hali ya juu, angekuwa mwingine angepokelewa kwa mabanzi na kuamriwa akae chini sakafuni.

Vv
kuna mafala humu eti bado yanalaumu.

hawa wajinga kwa miaka 5 wa unanijua mimi nani huko nyuma walikuwa sandukuni sasa wameanza tena usumburu maana nchi ya majina imerudi.
 
Usiseme hana ushawishi, serikali ni dude hata kama mtu katoka. Hao askari nina uhakika watafukuzwa ni waovu.
uhakika unautoa wapi wewe[emoji28][emoji28]wafukuzwe kwa kosa gani???

huyo dogo ana bahati karekodiwa ashukuru,wengine wangemtia mitama waandike ni majeraha kayapata akiwa anagonga gari nyingine.

hawa askari ni wastaarabu sana tofauti na ninaowajua mimi.
 
Tena wanarekodi inamaana askari kazi zao siku hizi imekuwa uandishi wa habari??? Yaani hawafai hata kutunza siri. Ina maana hata wakimkuta Rais Samia anapata ki wine chake wanaweza kutoa siri oh Rais anakunywa wine mchana. Yaani wameharibu sana kumdhalilisha Mh. Simbachawene.
siri unazijua wewe!!!

yeye kafanya upuuzi na akamtaja baba yake,kwamba nimefanya kwa sababu mimi ni mtoto wa simbachawene.
watu pamoja na hilo wakaamua kukomaa naye bado anatukana.

hivi unadhani huyo ndiye mtoto wa kwanza wa kiongozi kukamatwa na polisi???
 
Kumbe alikimbia ?,yeye nimesikia anasema walitaka kumpiga, ila Kuna vitu hao jamaa wamemkosea hawasemi tu

Mfano wanadai kakejeri passo, huenda walimkera
Kwa hiyo ukikerwa, inapaswa kurudisha kero..!! Hivi ile ya kujichukulia sheria mkononi, si huwa mtu anaanzwa halafu anatakiwa akaripoti?

BTW, DONT DRINK AND DRIVE..!!! Hilo pekee linatosha, achia mbali kuita wenzie wangese, na akaulizwa akarudia na akasema hajawahi kukaa polisi na hakuna kitu watamfanya..!! HUKU NI KULEWA MADARAKA YA BABA
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.


Dogo kachemsha
 
Back
Top Bottom