Hapana hao askari ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.
Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askari wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.
Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askari alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.
Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.
Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askari alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.
Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Mi sijui hata mnataka kutetea Nini hapa. Hebu Kuna kipindi acheni ushirikina nyie watu. Yaani baada ya kuona hizo clip zote Bado mnataka kumtetea? Ama kweli watanzania nyoko asee.
Wamemrekodi clip nyingi nyingi tu kuanzia nje hadi ndani ya kituo, na wao wana makosa. Aligoma kuingia kituoni ikabidi wamfosi wakawa wanamsukuma ndio maana akawa anatukana pale ndani ya kituo na yeye anataka kulipwa kwa kudhalilishwa
Mi sijui hata mnataka kutetea Nini hapa. Hebu Kuna kipindi acheni ushirikina nyie watu. Yaani baada ya kuona hizo clip zote Bado mnataka kumtetea? Ama kweli watanzania nyoko asee.
Watanzania hatunaga akili bro hiv askari wasinge mkamata wakamwacha aende wangelaumu tena ooo watoto wa viongoz wanaachwa yaan Watanzania wa TZ stupid kabisa
Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?
Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?
Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.
Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.
Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.
Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.
Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake…. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...
Wewe na huyo mtoto wake wote wangese tupu,police wamefanya kazi yao kwa toto jinga kma mzazi wake,toto lina laana ya mzazi wake anayofanya kwa watanzania akiwa waziri ...baba mwizi wa kura,baba boss wa kamati ya watoa roho,laana inakula familia yake,bladifaken wahed wewe
Wewe na huyo mtoto wake wote wangese tupu,police wamefanya kazi yao kwa toto jinga kma mzazi wake,toto lina laana ya mzazi wake anayofanya kwa watanzania akiwa waziri ...baba mwizi wa kura,baba boss wa kamati ya watoa roho,laana inakula familia yake,bladifaken wahed wewe
Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?
Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?
Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.
Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.
Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.
Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.
Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake…. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...
Pamoja na yote ya kugonga gari za watumiaji wengine wa barabara huyo kijana alipaswa kuwa mtulivu polisi wapime ile ajali kwa then taratibu za kulipana ziendelee sasa huyo mtoto wa bossi anasema hajawahi kuenda polisi hii sio excuse kwa wakati kama ule maana kila mtu aliepata tatizo kama hilo anakuwa analipokea kwenye hali isiyo eleweka ikiwemo presha na wasiwasi
Sasa pale wakaanza kubishana walio gongana na magari sasa kwa taratibu za hao polisi wakiona hamna mawazo ya kukubaliana ninyi mliokwaruzana pamoja na kuona viashiria vya kulipana kisasi kwa kutishana kwa ubabe au unyonge lazima atawapeleka kituoni,
Ukiwa dereva wa muda mrefu utajua nini nimekiongea hapa sio ajali zote zinaendaga kituoni zingine wakiona mnaelewana kuhusu kulipana wanaachana na nyinyi.
Kwa hali ilipofikia dogo asinge endelea kubishana kwa sababu tayari taratibu za makubaliano ya awali baada ya tukio yalishindikana ilikuwa ni lazima wafike walipo fika na wafuate taratibu za kulipana kupitia mifumo ya kisheria.
Don't drink and drive
Wale wameingia cha kike wataundiwa zengwe hawataamini wale na wanavyopenda rushwa waziri kaongea tu kufurahisha hadhira ila moyoni anaumia kuona kijana wake kafanyiwa vile.
Wale wameingia cha kike wataundiwa zengwe hawataamini wale na wanavyopenda rushwa waziri kaongea tu kufurahisha hadhira ila moyoni anaumia kuona kijana wake kafanyiwa vile.