Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Hapana hao askari ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askari wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.

Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askari alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.

Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.

Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askari alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.

Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Dogo naona unamtetea mdogo wako nyie watoto wa vigogo huwa mnajiona mpo juu ya sheria
 
Mi sijui hata mnataka kutetea Nini hapa. Hebu Kuna kipindi acheni ushirikina nyie watu. Yaani baada ya kuona hizo clip zote Bado mnataka kumtetea? Ama kweli watanzania nyoko asee.
Unakuta ni yeye anajitetea na ID nyingi
 
Wamemrekodi clip nyingi nyingi tu kuanzia nje hadi ndani ya kituo, na wao wana makosa. Aligoma kuingia kituoni ikabidi wamfosi wakawa wanamsukuma ndio maana akawa anatukana pale ndani ya kituo na yeye anataka kulipwa kwa kudhalilishwa
Kwanini aligoma kuingia kituoni?
 
Hata siku moja siwez kuwa upande wa hawa askari wetu
 
Kumbe alikimbia ?,yeye nimesikia anasema walitaka kumpiga, ila Kuna vitu hao jamaa wamemkosea hawasemi tu

Mfano wanadai kakejeri passo, huenda walimkera

Tafuta clip ndefu ziko mbili moja fup anaonekana kituon moja ndefu akiwa mtaan na raia ndio wanao ongea sio askari ukiiona uje umtetee
 
Mi sijui hata mnataka kutetea Nini hapa. Hebu Kuna kipindi acheni ushirikina nyie watu. Yaani baada ya kuona hizo clip zote Bado mnataka kumtetea? Ama kweli watanzania nyoko asee.

Watanzania hatunaga akili bro hiv askari wasinge mkamata wakamwacha aende wangelaumu tena ooo watoto wa viongoz wanaachwa yaan Watanzania wa TZ stupid kabisa
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.


Wewe na huyo mtoto wake wote wangese tupu,police wamefanya kazi yao kwa toto jinga kma mzazi wake,toto lina laana ya mzazi wake anayofanya kwa watanzania akiwa waziri ...baba mwizi wa kura,baba boss wa kamati ya watoa roho,laana inakula familia yake,bladifaken wahed wewe
 
Wewe na huyo mtoto wake wote wangese tupu,police wamefanya kazi yao kwa toto jinga kma mzazi wake,toto lina laana ya mzazi wake anayofanya kwa watanzania akiwa waziri ...baba mwizi wa kura,baba boss wa kamati ya watoa roho,laana inakula familia yake,bladifaken wahed wewe
Una matatizo makubwa kama huelewi kama polisi wanabambika kesi
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Mh. Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chonde chonde Mh. Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.



Sikiliza na angalia hapa!
 
Pamoja na yote ya kugonga gari za watumiaji wengine wa barabara huyo kijana alipaswa kuwa mtulivu polisi wapime ile ajali kwa then taratibu za kulipana ziendelee sasa huyo mtoto wa bossi anasema hajawahi kuenda polisi hii sio excuse kwa wakati kama ule maana kila mtu aliepata tatizo kama hilo anakuwa analipokea kwenye hali isiyo eleweka ikiwemo presha na wasiwasi

Sasa pale wakaanza kubishana walio gongana na magari sasa kwa taratibu za hao polisi wakiona hamna mawazo ya kukubaliana ninyi mliokwaruzana pamoja na kuona viashiria vya kulipana kisasi kwa kutishana kwa ubabe au unyonge lazima atawapeleka kituoni,
Ukiwa dereva wa muda mrefu utajua nini nimekiongea hapa sio ajali zote zinaendaga kituoni zingine wakiona mnaelewana kuhusu kulipana wanaachana na nyinyi.
Kwa hali ilipofikia dogo asinge endelea kubishana kwa sababu tayari taratibu za makubaliano ya awali baada ya tukio yalishindikana ilikuwa ni lazima wafike walipo fika na wafuate taratibu za kulipana kupitia mifumo ya kisheria.
Don't drink and drive
 
magu2016 dogo alionesha kusema kachoka na liwalo liwe maana yake walimtesa na kumdhihaki. Na hatukusikia akimtaja baba yake ktk hiyo video
Wasikilize hawa hapa waliogongewa magari yao
Wasikilize hawa waliogongewa magari yao
 
No kitendo cha makusudi walichokifanya, kwanza Mimi nachukia sana hii tabia ya kutumia simu vibaya, hawa ndio mazuzu huwa yanapiga Picha mpaka maiti.

Mimi simu yangu mpaka nitumie camera ujuwe nimefika sehemu imenivutia sana ndio huwa natumia camera kupata kumbukumbu.
Wale wameingia cha kike wataundiwa zengwe hawataamini wale na wanavyopenda rushwa waziri kaongea tu kufurahisha hadhira ila moyoni anaumia kuona kijana wake kafanyiwa vile.
 
Wale wameingia cha kike wataundiwa zengwe hawataamini wale na wanavyopenda rushwa waziri kaongea tu kufurahisha hadhira ila moyoni anaumia kuona kijana wake kafanyiwa vile.
Tutaanza na PGO Polisi anaruhusiwa kumchukuwa video mtuhumiwa na kuirusha mtandaoni?

Cha kwanza lazima apatikane Polisi aliyerekodi na kurusha hiyo video, no kazi nyepesi tu kumpata, then yajayo yanafurahisha.
 
Back
Top Bottom