Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

Kiherehere Gani kilikufanya uache 50k mkuu?ulikosa chenji ya 10k?next time kabla ya kurudi home tafuta chenji kabisa,kwenye pochi Sunda buku mbili kibao,Kila asbuhi unachomoa karume unateleza.Ishi nao Kwa Akili,you didn't get the memo?
 
Mfundishe Bajeti tu!!

Halafu kupandishiana kwanini!?
 
Ongea naye kwa kina mweleze hali halisi mpe muda ukiona hakuna mabadiliko ufanye maamuzi sahihi.
 
Hongera zake kupata bwana anayemwachia 50 per day hata kabla hajaolewa Wala kuzaa na huyo bwana.
Yani elfu 50 mtu anaanzisha thread. Angemnunulia Vitz si angeanzisha maandamano kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…