😅😅😅Wewe na huyo mwanamke wako na watoto wenu mnatakiwa kuzoea vitu kama hivyo, sijui maziwa, cocoa and stuffs… kusudi watoto wenu wasijepatwa na ulimbukeni wa kutumia hivyo vitu ovyo ovyo wakaenda kusimangwa kwa watu.
Hivyo ni vitu vya kawaida kila mtu anatakiwa avizoee.
Nilimpa ya wiki yeye akatumia kwa siku mojaKiherehere Gani kilikufanya uache 50k mkuu?ulikosa chenji ya 10k?next time kabla ya kurudi home tafuta chenji kabisa,kwenye pochi Sunda buku mbili kibao,Kila asbuhi unachomoa karume unateleza.Ishi nao Kwa Akili,you didn't get the memo?
umeshasema kwao ni maskini. wala si mtumiaji mbaya wa pesa, anatuma kwao ili nao waishi.Huyu mpezi wangu Nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila Nikiacha hela asubuhi, hata kama Ni nyingi lazima aitumie yote.
Mfano; leo niliacha elfu 50 na Ndani Kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k lakini nimerudi nakuta imetumika yote.
Alafu vitu vinavyoonekaza alinunua leo Ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5 eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Nikimuuliza ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Unajua bei ya maziwa nusu kilo ni elf 30 kwa maana hapo katumia elf 45 na elf 5 kaweka bando unakuja kulalamikia huku jf, in short hujakua bado mtoto ukikua utajua huyo mwanamke hapendi standards za chini, na ndo mwanamke wa kuishi naye sababu atakufosi utafute pesa zaidi ili ufikie standards anazozitaka. Kwa ushauri wangu huyo ndo mwanamke anakufaa kwa sasaHuyu mpezi wangu Nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila Nikiacha hela asubuhi, hata kama Ni nyingi lazima aitumie yote.
Mfano; leo niliacha elfu 50 na Ndani Kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k lakini nimerudi nakuta imetumika yote.
Alafu vitu vinavyoonekaza alinunua leo Ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5 eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Nikimuuliza ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
basi inawezekana ulianza naye vibaya. ulianza kwa kumuonyesha kuwa uko kamili kiuchumi? Maana kama ndani kila kitu kipo, inakuwaje unamwachia mtu pesa ya mboga 50K?Mimi mwenyewe Ni mpambanaji tu Siyo kwamba nipo vizuri
Napingana na Mamndenyi,huyo hafai piga chini faster hataweza kupelekana na wewe kwa raha na taabu.Hela itumike tu mwanangu.
Kama uko standard ya cocoa better lazima hela itoke.
Usimuache ila sijui kama ukifilisika hautaachwa.
Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Nikimuuliza ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Sawa mkuuUnajua bei ya maziwa nusu kilo ni elf 30 kwa maana hapo katumia elf 45 na elf 5 kaweka bando unakuja kulalamikia huku jf, in short hujakua bado mtoto ukikua utajua huyo mwanamke hapendi standards za chini, na ndo mwanamke wa kuishi naye sababu atakufosi utafute pesa zaidi ili ufikie standards anazozitaka. Kwa ushauri wangu huyo ndo mwanamke anakufaa kwa sasa
🥴😔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
Hilo nenoChukua wa level yako....huyo ana wenyewe...... wanawake siku zote ni kama hatujui tutakalo..... Pole ila ndo chaguo lako waweza kumbakiza au kumwacha
Amenieleza kijana wangu alivyoambiwa na mchumba wake, dakika tano tulipokuwa tunaongea. Nadhani ilivyoandikwa katika Biblia ni sawa kuwa ishi nao kwa akili. Binti akiwa maskini shida (atakuwa ombaomba na matumizi ya ovyo ambapo atakuwa kero kwa mwanaume), vile vile akiwa tajiri shida mara mbili maana atatumia zake lakini kuna wakati mwanaume utatakiwa kuonesha uume wako, hapo kipato chako kitayeyuka kwa dakika moja. Wanaume tumeumbiwa mateso tu.wanawake siku zote ni kama hatujui tutakalo
Pesa haiwezi fanya mtu awe na Upendo na ww kama unatafuta pesa Ili uje upendwe na mkeo basi unakosea Mkuu!!! Maana wapo wengi tu walikua na pesa lakin waliachwa na wake zao Wala hawakupendwa mfano mzuri ni Bill Gate ALIEWAI Kuwa tajiri wa kwanza Duniani lakin pamoja na yote aliachwaTafuta ela braza elf 50 ni ndogo sana kumuachia mke, labda house girl
Ataanza lalamika jama ShamzoeshaNi madhaifu binafsi hayo, huwezi kumpata mwanamke mkamilifu asiye na tatizo lolote, CHAKUFANYA , acha pesa kidogo ya kutosha mda huo