Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Yaani akiniambia maneno hayo, na mahusiano yanaishia hapo hapo. Alijirudi kukushawishi kuwa alitania Ila kiuhalisia hatanii huyo. Atakunyofoa kende, kukata shingonyako au kukuchoma visu.
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Oya fanya kitu kuhusu hili..kumbuka ktk utani au casual ndiyo mara nyingi watu huwa huru kusema wanayoyafikiria.
Nenda naye kwa wazazi mjadili hiyo inshu
 
Oya fanya kitu kuhusu hili..kumbuka ktk utani au casual ndiyo mara nyingi watu huwa huru kusema wanayoyafikiria.
Nenda naye kwa wazazi mjadili hiyo inshu
Wazazi wake hawatasema nimuache mana ananitishia maisha, zaidi watafanya kumsema sema tu but the core nature km anamaanisha itakua ipo
 
Kuna muda nahisi km hayuko sawa ndo ivyo "chaguo"
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Ok
 
Niliwahi kuwa na boyfriend kutoka ile kanda maalum, akaniamba yaani siku ukiwa mke wangu nitadivert call zako zote kwangu na nikigundua any cheating nitakuua. NAKIRI KWAMBA JAMAA ALIKUWA ANASIFA ZOTE ZA MWANAUME BORA ILA HIYO STATEMENT MOJA TU ILITOSHA KUMUACHA.Na mpk leo hajaoa sababu ya wivu uliopitiliza
 
Mfalme Suleiman alioa wake 700
Nyumba ndogo 300
Buku 1000 hiyo

Na bado Mungu akaendelea kumsikiliza

Wewe unamuogopaje huyo wako

Kingine mwanaume hafumaniwi anakutwa ENEO LA TUKIO☑️

Dhambi ya usaliti kwa wanaume TUSHAFUTIWA HAIPO KABISA

Mungu analijua hilo

Acha dhambi zako wewe chepuka na hakufanyi chochote
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Nikikushauri ukuache, naona vita kubwa na pengine akakuua pia. Nikisema uendelee naye, naona pia umekaa na kifo chako karibu.

Ukichimama nchale, ukikaa nchale. Uchimeje wala uchimumunye.

Kazi unayo
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Sasa si umuwahi yeye?
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Kwani unachepuka au una mpango wa kuchepuka?
 
Back
Top Bottom