Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
- Thread starter
-
- #261
It doesnt matter ni wa ngapi.Huyo ni mpenzi wako wa ngapi tangu umekua?
ππWacha weee...
Basi swaaafi hayo mengine hayana madhara enjoy safelyπ€
Sema mkuu kuna kitu sijui nikuambie au niache tu..hebu nishauri nikuambie au niacheπππ
Nakushauri usiniambie mkuuπSema mkuu kuna kitu sijui nikuambie au niache tu..hebu nishauri nikuambie au niacheπ
Hahaha umeupiga mwingi sana mkuuπNakushauri usiniambie mkuuπ
Kwanin?Hahaha umeupiga mwingi sana mkuuπ
Umenishauri nisikuambie mkuuKwanin?
Kwani ulitaka kuniambia nin mkuu?π
Fanya kama.kupuuza huo ushaur then uniambieUmenishauri nisikuambie mkuu
Tayari nini??,[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Haya nitakuambia usijali..Fanya kama.kupuuza huo ushaur then uniambie
Nini tena bestie?mbona hivi?polee,πππππππππππ
Tayar nin mkuu?Tayari nini??
Haya nasubirHaya nitakuambia usijali..
Halafu hz post za kuandika uko na wenge la usingiz hz?πNini tena bestie?mbona hivi?polee
Mbona unaliaTayar nin mkuu?
Silii mkuu.Mbona unalia
Mambo yanaenda lakini....Silii mkuu.
Nilikosea emoji tu
Sawa mkuu.Mwanaume siku zote anatakiwa awe na sauti ya mamlaka na muwajibikaji kwa mwanamke na popote pale hata ndani na nje ya familia yake...
Wewe hapo sio uoga ni utii na unyenyekevu kwake na hivyo ndivyo unavyo takiwa uwe kama mwanamke ..
Ila kuna wajinga wanao kushauri kua una mwoogopa mpenzi wako na wanataka umkalie mwanaume kitu ambacho hakiwezekani , sasa maneno yao yanakufanya ujione mwoga kwa mwanaume na ukiwasikikiza utajiharibia mahusiano yako mwenyewe kwa mikono yako .amini nakuambia wewe bi dada