Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kuna raha yake, nishakuwa na KE mkipishana kwenye sms hayo maneno yake hadi kero. Ila akipiga simu utadhan sio yeye yani hana ujanja, mpole mpaka analia na hapo hana budi mpatane.Kumbe ndo mnavyopenda😂
Kujibizana live na mtu ana ndevu zake yataka ujasiri sana aisee.Sms mwokozi wetu😂Kuna raha yake, nishakuwa na KE mkipishana kwenye sms hayo maneno yake hadi kero. Ila akipiga simu utadhan sio yeye yani hana ujanja, mpole mpaka analia na hapo hana budi mpatane.
Ndio maana mimi huwa sihangaikagi na sms tukiwa na kaugomvi sometimes nafuta ata bila kuzisoma najua comfidence yenu ipo apoKujibizana live na mtu ana ndevu zake yataka ujasiri sana aisee.Sms mwokozi wetu😂
Na yeye anasemaga hasomagi😂Ndio maana mimi huwa sihangaikagi na sms tukiwa na kaugomvi sometimes nafuta ata bila kuzisoma najua comfidence yenu ipo apo
Haaah walokole nyie .........ok,jaribu kuwazingatia wale wadada wa kwaya.utanishkuru badae.Kweli hachepuki mpenzi wangu.
Sisi ni walokole[emoji23]
Kwa sifa hizo nimemkubali,mpe hu sana huyo mwamba,ni kama mimi tu,TAJIRI MBISHI.Kwa alivyo na misimamo hata ningekua bakhresa kipato hakiwez kumyumbisha.
Kwanza nikimzingua hajali kuwa mim ni boss kazin kwangu wala nini ni mwendo wakufokewa hadi ulie kama mtoto.
Na sio kama hana kipato.
Ana kazi nzuri tu,hapa naandika yuko zake angan huko safar ya kikaz na siku zote ananichukulia kama sina kipato na hajawahi kula hata mia yangu.Ni type ya wanaume masikin jeuri hababaishwi na hela ya mtu
We mchukulie poa tu, hizi koo huko tunazaliwa hasa za ma Chief amri amri zipo tu.Naanzaje sasa dear😂
Babu kijana hata wewe[emoji23][emoji23]?We mchukulie poa tu, hizi koo huko tunazaliwa hasa za ma Chief amri amri zipo tu.
Hilo tatizo ninalo pia.
Badae nikishakua nimeharibu ndio naanza kujuta nimefanyaje sasa.
Ni vinasaba tu vipo mwilini
Sasa si unamuandikia sms na ujumbe unafika ama?!Kwa hiyo sina kasoro mkuu?
Lakin si inashauriwa kwenye mahusiano pakiwa na shida mkae muyaongee?Sasa mim nabakia kulia tu au kuitikia tu,hata kumbishia siwezi au hata kumkatisha akiwa anaongea siwezi hata kama nina hasira na unakuta nina vitu nataka kusema.
Nikikabwa sana nakimbilia kumuandikia sms kwa mdomo siwez kumwambia.Na akikasirika ni mkali hata ukilia hajali
Na kwa Sisi Ma Chief Executive Officer Inatuhusu Au ?Usijali familia za ki Chief huwa iko hivyo mtu anaweza kuongea kawaida tu lakini ukasikia kama Ghost linaunguruma ana hivyo vinasaba muulize.
Alafu mchukulie poa tu haumizi huyo.
Namuheshimu no doubt ila namuogopa pia😂Unamuogopa badala ya kumuheshimu,pole sana
Koo za ki Chief mkuu.Na kwa Sisi Ma Chief Executive Officer Inatuhusu Au ?
Sijui amewezaje kufanya nisimzoee sbb pamoja ya kuwa tunapiga sana story tunataniana n.k ila ni ngumu kumzoea kihivyoHivyo ndio mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke inatakiwa kuwa. Kusiwapo mazoea ya hovyo hovyo kiasi kwamba ukamuona jamaa kama mwenzako.
Imani potofuUmerogwa wewe