Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kuna raha yake, nishakuwa na KE mkipishana kwenye sms hayo maneno yake hadi kero. Ila akipiga simu utadhan sio yeye yani hana ujanja, mpole mpaka analia na hapo hana budi mpatane.Kumbe ndo mnavyopenda😂