Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Kuna raha yake, nishakuwa na KE mkipishana kwenye sms hayo maneno yake hadi kero. Ila akipiga simu utadhan sio yeye yani hana ujanja, mpole mpaka analia na hapo hana budi mpatane.
Kujibizana live na mtu ana ndevu zake yataka ujasiri sana aisee.Sms mwokozi wetu😂
 
Kwa alivyo na misimamo hata ningekua bakhresa kipato hakiwez kumyumbisha.
Kwanza nikimzingua hajali kuwa mim ni boss kazin kwangu wala nini ni mwendo wakufokewa hadi ulie kama mtoto.
Na sio kama hana kipato.
Ana kazi nzuri tu,hapa naandika yuko zake angan huko safar ya kikaz na siku zote ananichukulia kama sina kipato na hajawahi kula hata mia yangu.Ni type ya wanaume masikin jeuri hababaishwi na hela ya mtu
Kwa sifa hizo nimemkubali,mpe hu sana huyo mwamba,ni kama mimi tu,TAJIRI MBISHI.
 
Hivyo ndio mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke inatakiwa kuwa. Kusiwapo mazoea ya hovyo hovyo kiasi kwamba ukamuona jamaa kama mwenzako.
 
We mchukulie poa tu, hizi koo huko tunazaliwa hasa za ma Chief amri amri zipo tu.
Hilo tatizo ninalo pia.
Badae nikishakua nimeharibu ndio naanza kujuta nimefanyaje sasa.
Ni vinasaba tu vipo mwilini
Babu kijana hata wewe[emoji23][emoji23]?
 
Kwa hiyo sina kasoro mkuu?

Lakin si inashauriwa kwenye mahusiano pakiwa na shida mkae muyaongee?Sasa mim nabakia kulia tu au kuitikia tu,hata kumbishia siwezi au hata kumkatisha akiwa anaongea siwezi hata kama nina hasira na unakuta nina vitu nataka kusema.

Nikikabwa sana nakimbilia kumuandikia sms kwa mdomo siwez kumwambia.Na akikasirika ni mkali hata ukilia hajali
Sasa si unamuandikia sms na ujumbe unafika ama?!
 
Hivyo ndio mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke inatakiwa kuwa. Kusiwapo mazoea ya hovyo hovyo kiasi kwamba ukamuona jamaa kama mwenzako.
Sijui amewezaje kufanya nisimzoee sbb pamoja ya kuwa tunapiga sana story tunataniana n.k ila ni ngumu kumzoea kihivyo
 
Back
Top Bottom