Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Magufuri hakuwa Mungu, alipatia na kukosea mengi tu. Angekuwa kiongozi mzuri ila alitaka tumuone yeye ndio pekee anaweza kazi kuliko mwingine. Kama wewe ulimuona Malaika sawaWatanzania wote tunajua wanaompondea ni waovu aliowabana kwenye utawala wake, hakuna haja ya kuwaomba msamaha kwa makosa ambayo Magufuli hakuyatenda.