Nani aliwachagua kuwa viongozi wa dunia? G7 ni viongozi wa nchi 7 tu si zaidi ya hapo

Nani aliwachagua kuwa viongozi wa dunia? G7 ni viongozi wa nchi 7 tu si zaidi ya hapo

Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
Uzuri mataifa mengine hayajakatazwa na wao kujiita majina wayatakayo mfano G2, BRICS na kadhalika issue ni mwenye nguvu ndiyo anatrend ndiyo maana russia anamshobokea china, india maana wana hela ambazo yeye russia hana
 
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
Ni mipango inaongozwa na mabeberu wa marekani. Wanapanga nani wawemo G7, nani wawemo G 20. Waliwawi kuiingeza urusi G7 ikiwa G8, walipoona mrusi hachezi tune ya marekani wakamtoa ikarudi G7. Kwa hakika nchi za kibeberu tu ni mikutano yao kupanga njama kuidhibiti dunia.
Tena wakati mwingine G7 hualika nchi au nchi kuishiriki mikutano yao kwa agenda moja au mbili tu wakilenda kupata usaidizi wa nchi hiyo au hizo kwenye jambo fulani.
 
Shida haujui Dunia inavyoongozwa, G7 ndiyo wanakupangia namna ya kupata mikopo...riba na namna ya kuzitumia pia namna ya kuendana na wananchi wako.
Sasa huko Korea wanachangia nini hapa Duniani hadi wewe unufaike? Zana za kilimo yenyewe ameshindwa kuisaidia Dunia.

Hao G7 wanasisitiza sana wanasayansi kufanya kazi za utafiti kwa weledi zaidi ili maisha ya wanadamu ziboreshwe...wewe unaleta mambo ya korea kaskazini.
Hivi ndio WanavyotKa uamini ila uhalisia Vita tu ya Ukraine na Urusi imesababisha Dunia Nzima mfumuko wa bei, Hela haikusaidii Chochote kama hupati mahitaji ya Ki Binadamu.

Mfano Leo Congo ama Africa kwa Ujumla waamue kujifungia hakuna kitu kutoka ama kuingia Tutaishi bila tatizo lolote ila Hao unaowaita mataifa yenye nguvu ndio wataanza kuhaha.
 
Dunia tu haijajitambua nguvu zake...Hivi dunia iki gang up against hao watamtishia nani? Kama ni nuclear si na wao itawaumiza? Akili tu hizi zilizotiwa woga, siku moja tutaungana na Korea na wenye calibre kama hizo kuwaondolea huo ukuu wao imaginary waliojitengenezea
Mmeshindwa japo kuondoa ukuu wa CCM unaota kuondoa ukuu wa G7.
 
Acha porojo, elewa dunia inavyoongozwa...kila kitu kinapagwa na kutekelezwa na watu.
Nikikuuliza unadhani numbers, silabu, irabu na maneno mengine uliyoyasoma yalitoka wapi? Jibu ni yalipangwa na watu...bisha lakini ujiulizi kwanini tunaanza mwanzo wa mwezi kwa kuita tarehe 1 na wala siyo 0.

Kubali Kataa lakini ukweli ni kuwa dunia inataratibu yake...wewe watu walianza kujenga magorofa miaka ya 1300 huko leo unakataa wasikupangie namna ya kuishi.
Taratibu hubadilika kulongana na wakati na matakwa. Kuwa na akili basi hata kidogo sio kila kitu ni cha kukariri
 
Hivi ndio WanavyotKa uamini ila uhalisia Vita tu ya Ukraine na Urusi imesababisha Dunia Nzima mfumuko wa bei, Hela haikusaidii Chochote kama hupati mahitaji ya Ki Binadamu.

Mfano Leo Congo ama Africa kwa Ujumla waamue kujifungia hakuna kitu kutoka ama kuingia Tutaishi bila tatizo lolote ila Hao unaowaita mataifa yenye nguvu ndio wataanza kuhaha.
Shida mnakariri Africa Africa, ukiwa na akili unapata mbinu mmbala wa kukabiliana na maisha ya muda huo...kaa uongozwe na wenye akili na teknolojia, umekaa unapiga porojo wenzako wako maabara wanabadikisha karatasi kutumika badala ya copper na shaba.
Kwani unadhani Afrika mkijifungia mtafaidika na nini? Mtaanza kugombania madaraka na kutandikwa na Maradhi hadi mpotee.

Wewe uliona wapi binadamu mwenye akili timamu ananunua eti kuku aliebarikiwa...mara wapo kwa Merdie kule Kenya wanazikwa porini
 
Taratibu hubadilika kulongana na wakati na matakwa. Kuwa na akili basi hata kidogo sio kila kitu ni cha kukariri
Kinabadilika kama kuna jitihada, yaani wewe uende kwa Mchungaji akuombea ili upate kazi mara uende kwa Merdie kule Kenya Sakayola ufe njaa ili uonane na Yesu...mara kwa Gwajima ununue kuku eti yenye mibaraka...tumieni akili zenu.

Wewe unadhani Tanzania itakuja lini kulingana na England ya mwaka 1990 ki maendeleo? Alafu unakataa asikupangie namna ya kuishi.

Hivi ukiacha uongo, Tanzania inaisaidia nini USA?
 
Kinabadilika kama kuna jitihada, yaani wewe uende kwa Mchungaji akuombea ili upate kazi mara uende kwa Merdie kule Kenya Sakayola ufe njaa ili uonane na Yesu...mara kwa Gwajima ununue kuku eti yenye mibaraka...tumieni akili zenu.

Wewe unadhani Tanzania itakuja lini kulingana na England ya mwaka 1990 ki maendeleo? Alafu unakataa asikupangie namna ya kuishi.

Hivi ukiacha uongo, Tanzania inaisaidia nini USA?
Tatizo hauoni kama jitihada zimeshaanzishwa. Unachotakiwa no kuinga mkono na kuacha ujinga
 
Shida mnakariri Africa Africa, ukiwa na akili unapata mbinu mmbala wa kukabiliana na maisha ya muda huo...kaa uongozwe na wenye akili na teknolojia, umekaa unapiga porojo wenzako wako maabara wanabadikisha karatasi kutumika badala ya copper na shaba.
Kwani unadhani Afrika mkijifungia mtafaidika na nini? Mtaanza kugombania madaraka na kutandikwa na Maradhi hadi mpotee.

Wewe uliona wapi binadamu mwenye akili timamu ananunua eti kuku aliebarikiwa...mara wapo kwa Merdie kule Kenya wanazikwa porini
Huu ni msiba mkubwa kuona mwafrika anakuwa na akili kama hizi za kufurahia kupelekeshwa na kuwanyari wanaopinga huu upumbavu
 
Haya ni baadhi ya majukwaa makubwa yaliyokutana mwezi huu Russia akiwekwa pembeni.

1.G7
2.Arab league summit
3.China-Central Asia Summit
 
Sheria gani zimeshinikizwa na G7 kwa maslahi yao?
China amewabwatukia G7 pamoja na mkubwa wao Marekani: Kawaambia hamuwezi kushinikiza matakwa yenu na sheria zenu kwetu kwa maslahi ya kwenu!! Amewagomea peupe kuwa waqo siyo world leaders bali ni kikundi tu cha watu!!

China questions ‘credibility’ of G7 members​

Beijing has accused the US-led bloc of trying to impose its will on others
China questions ‘credibility’ of G7 members

Leaders of the G7 countries in Hiroshima, Japan, May 20, 2023. [emoji2398] Michael Kappeler / dpa / Getty Images
The international community will not allow the US-led G7 dominate world affairs, nor will it fall in line with the pro-Western rules pushed by the group, the Chinese Foreign Ministry said in a statement on Saturday.
“China will never accept the so-called rules imposed by the few. The international community does not and will not accept the G7-dominated Western rules that seek to divide the world based on ideologies and values,” the statement read.
The Foreign Ministry went on to accuse the group of acting on behalf of “America-first” policies and attempting to impose its will on others. “That simply shows how little international credibility means to the G7,” the ministry said.
 
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
MASHOGA...
 
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
Acha kelele na makasiriko ya hovyo tafuteni hela nanyi mjiunge na hao G7!
 
Shida haujui Dunia inavyoongozwa, G7 ndiyo wanakupangia namna ya kupata mikopo...riba na namna ya kuzitumia pia namna ya kuendana na wananchi wako.
Sasa huko Korea wanachangia nini hapa Duniani hadi wewe unufaike? Zana za kilimo yenyewe ameshindwa kuisaidia Dunia.

Hao G7 wanasisitiza sana wanasayansi kufanya kazi za utafiti kwa weledi zaidi ili maisha ya wanadamu ziboreshwe...wewe unaleta mambo ya korea kaskazini.
Umeongea kama wale wanaume ambao mkewe anapewa lift na jirani halafu wanaume wenzake wanahoji yeye anajitetea kuwa mkewe asipopewa lift anapata shida kwenye madaladala sasa huyu mwanaume jirani amejitolea kumpeleka kazini mimi ninamshukuru sana.

Umeongea kizembe sana. Umeongea kama mtu ambaye amelewa mahaba ya mataifa ya magharibi ambayo yanajilikana wazi kuwa yananyonya mataifa changa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
G7. Kila mtu anatunza pesa zake Marekani na Ulaya. Putin na matajiri wa Urusi, China, India, Afrika Kusini hata Korea ya Kaskazini (kupitia China) wametunza utajiri wao hata wa kifisadi katika benki za G7. Kwa nini G7 wasiidhibiti dunia?

Hatupendi iwe hivyo. Lakini tunapoendekeza kuongozwa na mafisadi nchini mwetu hakuna namna, lazima hao viongozi wetu watawapigia magoti G7. Hapo ndipo lilipo tatizo. Ukishindwa kujiongoza, watemi wa dunia watakuongoza.
 
Mmeshindwa japo kuondoa ukuu wa CCM unaota kuondoa ukuu wa G7.
Mimi ndiye huyo CCM sasa huoni unachekesha? Unapoona najiamini ujue na nguvu isiyo sawa na yako ndiyo sababu umeshindwa wewe kuniondoa....
 
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
Mbona hujauliza nani aliyachagua mataifa 5 tu Duniani kuwa ndiyo permanent UN security council member countries, na yenyewe yawe na kura ya veto?

Ufahamu kuwa hayo mataifa 7 tajiri Duniani ndiyo yanayozitegemeza taasisi zote za umoja wa mataifa, na ndiyo yanayoongoza kuyasaidia hayo mataifa mengine.

Usiishi kwenye nadharia, uuishi uhalisia. Anayekutegemeza, anayetatua matatizo mengi katika jamii yoyote ile, ndiye kiongozi wako hata kama hukumpigia kura. Maamuzi, neno lake, reaction yake, hupewa uzito na kila mmoja. Ujue kuwa hao G7 ndio unaoenda kuwaomba kukiwa na wakimbizi, ndio unaowategemea wagundue dawa kukizuka ugonjwa mpya, ndio unaowategemea wakupe chanjo za watoto wako, walipie matibabu ya magonjwa kama TB na saratani, ndio watoe na dawa za kufubaza virusi vya HIV, n.k. Na hao ndio wagunduzi wa tekinolojia mbalimbali ambazo hata ukiwa na vijisenti vyako wakiamua wakunyime, hufiki popote. Unapoenda kuwaomba tu, tayari maana yake umetambua kuwa wao ndio wakuu wako.
 
Back
Top Bottom