zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Hamna kitu, ACT walishindwa hta kuvunja ngome ya CUF Mtwara na Lindi ndio sembuse Chadema?Awe ACT wanakuja kwa kasi sana na kuna uwezekano mkubwa wa kuwa chama kikuu cha upinzani
Wapinzani waliumizwa sana na JPM so ni haki Yao wakionyesha uchungu wao jukwaani. In fact walimkosoa sana akiwa hai why waache Sasa hivi? Hata kipindi Cha JPM nakumbuka JK alitukanwa sana majukwaani na CCM na JPM ila sikuona mkimtetea!!Hivi wapinzani kumponda Magufuli kama Magufuli bila kuihusisha ccm ni sahihi?
Inashindana na CCM ndio maana kwenye mikutano wanaongelea gharama za maisha, mgao wa umeme, mfumuko wa bei, ufisadi n.k sema tu walimkosoa JPM hapa na pale basi inabebewa bango kubwa as if ndio ilikua ajenda kuu.Chadema kwenye uchaguzi inashindana na ccm au na Magufuli?
Kwanza sukuma gang sio wasukuma Bali ni supporters wa JPM hata Ndugai na Bashiru ni sukuma gang!!Umedai hapo kwamba sukuma gang(ambapo mi ni mmojawapo japo ni mmakuwa) hawana option nyingine,kwamba wakimpa Samia(ccm) moto wakiwapa chadema moto,tafsiri yake unaridhishwa serikali ya ccm?
Kwa tume ipi?wangeshinda kwa kishindo.
Walishangaa wanachama wa kwanza wote TISS so wakaona wapotezee kwanza. Ilipaswa waende kimya kimya kama Maalim ACT, ila kuanza kujibrand mapema mapandikizi yakatangulizwa so kikafa hata kabla hakijaanza.Vipi kile chama cha Umoja party? Kilifikia wapi?
Unajua mtu kupondwa haimaanishi kwamba kweli yule mtu amekosea/hatendi ipasavyo.Wapinzani waliumizwa sana na JPM so ni haki Yao wakionyesha uchungu wao jukwaani. In fact walimkosoa sana akiwa hai why waache Sasa hivi? Hata kipindi Cha JPM nakumbuka JK alitukanwa sana majukwaani na CCM na JPM ila sikuona mkimtetea!!
Inashindana na CCM ndio maana kwenye mikutano wanaongelea gharama za maisha, mgao wa umeme, mfumuko wa bei, ufisadi n.k sema tu walimkosoa JPM hapa na pale basi inabebewa bango kubwa as if ndio ilikua ajenda kuu.
Kwanza sukuma gang sio wasukuma Bali ni supporters wa JPM hata Ndugai na Bashiru ni sukuma gang!!
2. Hoja hapa ni kwamba the more JPM anakosolewa na Chadema the more kura zinaporomoka. Ndio nikasema Sasa team JPM wasipompigia Chadema ndio watampigia Samia ambaye naye humkosoa JPM Kila kukicha!! Juzi mkutano wa Chadema kasema Never and Never again kurudi kwenye ukatili!!! Sasa team JPM watampigia nani hapo kura.
So kwa analysis yangu nimesema team JPM hawatopiga kura kabisa so Chadema na Samia watapambania hizo kura chache zitakazopigwa so mpaka hapo sukuma gang hawana faida yoyote kwenye uchaguzi wa 2025 unless wangekua na chama Cha siasa ndio tungesema wata take advantage.
NB: Chadema haturidhishwi na utawala wa CCM ndio maana tunataka katiba mpya Ili tuwang'oe CCM tuchukue Dola 2025. Ila kwa sukuma gang hawana option maana wakichague yeyote kati Yao bado JPM atapigwa za uso tu.
Ni kweli kabisa. Na mjadala mkubwa utakuwa juu ya uovu wake. Watu hawatarudia tena kuingiza shetani ikulu ya nchiWewe una hoja ila hata kama wafuasi wa magufuli wasingekuwa na chaguo chadema wangekuwa kwenye position nzuri sana kujaza hilo gap walipaswa kuja na majibu yanayopwaya sasa na si kumsengenya magufuli. Kwa akili yangu ya kawaida tu naamini Kwamba kwenye kampeni za 2025 ingawa amekufa bado atakuwa kiini kikuu cha mijadala mingi miongoni mwa wagombea
Mkuu siasa ni mchezo wa makosa. Sasa kama chadema inafanya makosa yote haya hasa ya kumuongelea magu vibaya na kwa jinsi ulivyoandika ni kwamba magu ana wafuasi wengi, kwa nini msianzishe chama mbadala ili ku-trap huo mtaji wa watu? Hili lingekuwa la maana sana kuliko kuwalazimisha chadema kufanya ama kutii itikadi ambazo sio itikazi zao.Hicho ni chama cha hovyo sana Si bure mpaka sasa hakina hata ofisi na si bure miaka yote inaisgia kuwa failure kwenye chaguzi, Hivi unaanzaje kumuongelea vibaya Magufuli mbele ya watanzania na utegemee watakuelewa? Hapo ndipo walipofeli, Wananchi hawana umeme, maji mgao n.k laiti kama wangejikita kuongelea hayo na kuchukua yale mazuri ya JPM wangeshinda kwa kishindo.
Mkuu watu wanaposema juu ya magufuli, hamsemi yeye bali matendo yake. Yale mazuri yaendelezwe na yale mabaya asitokee mtu wa kuyarudia abadani!Hoja yangu ni kwamba tuzungumzie matatizo yaliyopo tuache kupaza sauti kuhusu mtu ambaye hatunae lkni namna tunavyomuongelea sanasana tunaisaidia ccm izidi kuwa comfortable
Wapi Chadema wamemponda huyu muuaji? Magufuli alitumia mabilioni ya kodi za Watanzania kuihujumu Chadema na hakuficha chuki yake kwa Chadema sasa wao Chadema wanaposimulia madhila ya hiyo mwovu hadharani kosa liko wapi?Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.
Kuna baadhi ya mambo ambayo hata Magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.
Ukweli ni kwamba kumsema vibaya Magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.
Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.
Unapomponda Magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.
Licha ya matatizo ya Magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
Exactly.Mie sijawahi kuwaelewa hao watu wa JPM wasimpompa kura Chadema ndio watampa Samia ambaye ndio anamng'onga JPM Kila kukicha!!?
Tatizo sukuma gang hawana option wakimpigia Samia Yale Yale wakimpigia Chadema Yale Yale wote hawaivi na JPM. So hoja Yako ingekua mashiko kama kungekua na chama Cha tatu ambacho ni loyalists wa JPM but since hakipo then hakuna kura ya Chadema itapotea labda tu watu wa JPM hawatopiga kura ndio madhara pekee nayoona.
Siasa ni mchezo wa kikubwa,nyie bado hamjakua ndio mana vilio haviwaishi.Sio kwa ukhanithi ule uliofanyika kwenye uchaguzi wa 2020. Kipenzi cha watanzania anapika mpaka idadi ya wapiga kura?! Uza ubongo huo bro.
Siasa ni mchezo wa kikubwa,nyie bado hamjakua ndio mana vilio haviwaishi.
Na kwa taarifa yenu Mh raisi SAMIA anawamezesha NDOANO kuja kushtuka mpo nchi kavu mna ''suffocate''
Na huko ambako mnashinda dola inakuwa haipo?Mngekuwa mnajua siasa mngetegemea vyombo vya dola miaka yote? Au siasa ndio huo ukhanithi?
Utakuwa mpumbavu no wonder, baada ya era ya apartheid kuisha Afrika ya kusini maovu ya makaburu hayakusemwa? Hakukuwa na tume ya maridhiano chini ya askofu Desmond tutu?Ukiwa na viongozi wanaowaza kutema nyongo basi utakuwa na viongozi wabovu sana katika kizazi hiki hawa chadema wangekuwa Mandela si wangeongea hadi siku wanaingia kaburini?
Ukiwa na kaliba ya mkombozi huwa unapotezea haraka sana yaliyokupata na kujenga dalaja la ukombozi
Hayo mazuri ya kuua watu mnayatambua nyinyi wa kuzimu. Aliyesema kuwa kulikuwa hakuna uwajibikaji bali alikuwepo simba wa Yuda alikuwa ni CHADEMA?Akilizao zipo tumboni,hawawezi kuelewa ulicho andika hapo.
Hata izokura wanazotafutaga nikwaajili ya matumboyao tu,sio kwaajili ya kutafuta nafasi ya kufanya mabadiliko.
Yani wanajitoa akili na kujifanya kama vile watu hawajui mazuri aliyokuwa anafanya Magufuli.
Nguvu yenu ya wapumbavu mnaomsifia muuaji dikteta mtaipata Chato na kuzimu siyo kwenye jamii ya waungwanaSoon mtajua nguvu yetu sisi wapumbavu just wait
Kwa hiyo wewe unakubaliana na matendo aliyoyafanya Magufuli kwa CHADEMA na kufuta haki ya kufanya siasa nchini?Hawa usiwatetee angesemaje Mandela aliyefungwa miaka 27 jela yet usingemsikia akisema vibaya juu ya serikali iliyomtesa hivyo.
Hawa wanachukua mateso waliyoteswa binafsi yawe mateso ya watanzania wote. Tukiwa na viongozi wa namna hii tutatengeneza kina magufuli wapya ila katika sura nyingne kiongozi lazima uwe na moyo mkubwa.