Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Waama nazidi kuamini lazima uwe zaidi ya upumbavu ili kutetea upumbavu. Kwamba Magufuli alikuta kipindupindu akakifuta?🤣🤣🤣.
Alizuia mauaji ya albino? Na majambazi?
Ukisikia pumbavu lolote hoja ya kwanza ni mabeberu, hebu nitoufautishie kati ya beberu na washirika wa maendeleo, hapo nitajua kiwango chako cha ujuha
 
Hayo ni mawazo ya sukumagang ya kujiliwaza. Hapo ndipo CCM mlipofika mnapasuana wenyewe na mnataka kuiingiza na CHADEMA, uaneni wenyewe CCM wajaa laana. Damu mlizomwaga za watanzania imetosha
 
Unajaribu kutumia nguvu kubwa na uongo ili kumtetea Magufuli
Si kweli Magufuli aliwaua wapinzani wake hata ndani ya CCM kama Simon Kangoye wa Kigoma?
Si kweli Magufuli alizuia mikutano ya siasa kinyume na katiba na kabla yake ni nani alifanya hivi?
Hakununua wapinzani ili waende wakaunge mkono juhudi?
Hakuwashambulia kwa risasi hata kusababisha mauaji ya Akwilina?
Hakuminya uhuru wa kujieleza kwa mujibu wa katiba?
Hakukuwa na wasiojulikana waliokuwa wanateka na kuua watu? Wako wapi sasa?
 
Hujatumia akili bali kuna kiungo kingine nakushauri rudisha ubongo wako
 
Mbona mama anajitenga nae au dk Samia pia CHADEMA?
Wanasahau yeye alikuwa Rais na Mwenyekiti wa chama, wanamtenga yeye na chama chake, wanachagua nani wakumpa lawama.

Na hapo ndio 'Mama' anaposhinda, ameondolewa zigo la lawama kana kwamba hakuwa sehemu ya uongozi wa Magu.
 
Nahisi hawana mpango wa kwenda Ikulu wao wanataka ubunge na udiwani tu hata na hivyo kama uchaguzi utakuwa huru na haki wataangukia pua.
Kama uchaguzi upi uliokuwa huru na haki walioangukia pua?
Unajua kutetea upumbavu lazima uwe mpumbavu kuliko upumbavu wenyewe
 
Basi acha kulalama, wanaomponda waendelee kumponda kama njia ya kutema nyongo na kuwafungua macho waliokuwa brainwashed kuhusu ukweli wa utawala/udhalimu wake.
Kama kweli anakubalika na wengi time will tell, Sukuma gang walianzisha mikwara eti watakaomponda ndiyo itakuwa anguko lao kisiasa(walikuwa wakiogopa udhalimu wake usiwekwe hadharani) sasa watu wameamua kumponda na tuone kama litakuwa anguko lao kisiasa.
Wengine wana machungu yasiyosimulika, acha tu watoe machungu yao kwa namna yoyote alimradi hawavunji sheria za nchi.
 
Kwa haya aliyotenda lazima apingwe hadharani.
 
Acha upumbavu hukusikia yule mfanyakaxi was benki aliechomwa moto?
 
Kumbe nabishana na mafii ya msoga the pusha ...chegovara
 
Kwani uwongo hebu unipe idadi ya albino waliouawa kipindi chake taja pia takwimu za wagonjwa wa kipindupindu siku zake ukilinganisha na zama za mtangulizi wake?
 
Alikuwa kipenzi cha wapumbavu watupu, kwa nini auwe, akamate wagombea wa upinzani na kuwafungulia kesi mbaya kama alikuwa kipenzi cha watanzania? Kwa hakutaka kuweka mazingira sawa kwenye uchaguzi?
Hizo ni hali za kawaida kwenye chaguzi hata Mbowe hajawahi kuweka mazingira sawa kwenye uchaguzi wa mwenykiti chadema.
 
Ukiwa mwanasiasa Kisha ukaanza kuchikua matatizo binafsi na kuyafanya kuwa sehemu ya sera yako na kujaribu kuwashawishi watu wkuhurumie Kwa yaliyokupata hufai kuwa kiongozi nenda kwenye nyumba za huruma.
 
Nyie wapumbv na wajinga huyo mjinga Mapombe aliharibu nchi akaua watu ,akapiga risasi so mlikuwa hamuoni wajinga nyie huyo Jamaa yenu
Wewe mwalimu mtu masikini, kundi maalumu la mafukara, kundi lenye watu wenye stress kuliko kundi lolote lile. Nyinyi ndio manamba wa CCM wewe na kizazi chako mmekwisha laaniwa nyinyi ndio mnawaweka CCM madarakani mpaka leo, hamkubaliki duniani na mbinguni she.nzy nyinyi watumwa wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…