Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Wewe nani alikwambia? Au uliona mwenyewe akiuwa, na kufungulia kesi watu. Ni kina nani hao? Wewe ni mmoja wapo nini?

Mbona sasa hivi hamtukani hadharani? Mmelamba asali?
Juha mpumbavu katika ubora wake, mauaji yakifanyika chini ya utawala wake anayekuwa accountable ni nani?
Kwa nini kesi zote za kipuuzi alizowafungulia wapinzani zimefutwa baada ya yeye kuwa kuzimu?
Hivi nani anayetukana? Kusema kweli uovu wake ni matusi?
Juha mpumbavu unakariri kauli za kipumbavu za sukumagang hivi hoja ya huu uzi ni nini? Siyo CHADEMA kumsema Magufuli? Yaani tunalamba asali huku tukimtukana Mungu wenu?
 
Jaribu kutofautisha kuponda na kuambiwa ukweli.

Wananchi walisema mapema kabla hata magu hajafariki kwamba Miradi ya chato mingi ni white elephants na chato itakuja kuwa Gbadolite huo ni ukweli na si kuponda.

Kuponda means kukebehi jambo zuri alilofanya mtu........Miradi mingi aliyoianzisha JIKONO JANDAMA ilikuwa ina ufisadi ndani yake ambapo kampuni zake ndio zilikuwa zinapata tenda ,pili fedha zilikuwa zinotolewa bila kufuata taratibu ,manunuzi yalikuwa yanafanyika bila kufuata taratibu yaani madudu madudu....Hapa hatupondi bali ndiyo UKWERIII.
 
Chadema si chama cha watu wa upinde wa mvua,ulishawai ona msukuma anajilegeza hivyoo?
Sukuma gang enzi zake alipokuwa chawa wa Jiwe, sasa kabaki kubwabwaja na kutukana tu.
JamiiForums-685019018.jpg
 
Wewe nani alikwambia? Au uliona mwenyewe akiuwa, na kufungulia kesi watu. Ni kina nani hao? Wewe ni mmoja wapo nini?

Mbona sasa hivi hamtukani hadharani? Mmelamba asali?
Tafuta kamusi uangalie tafsiri ya neno MARIDHIANO(reconciliation) then urudi uusome upupu wako.
 
Nikajua nakuuliza maswali mtu uliyekomaa akili,kumbe ni walewale mipasho mingi ''facts'' sifuri
Facts gani unayotaka? Wewe kusifia muuaji Magufuli umekomaa akili?
Njoo na hoja ya maana kusema kuwa Magufuli amewacharaza CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2020 ndio ukomavu wa akili au ujuha?
Hujui mazingira ya uchaguzi wa 2020? Nasisitiza huwezi mtetea Magufuli kama una akili timamu, anayeweza kumteua mtu kama Sabaya na Makonda kisha kuwalinda ana akili timamu?
Kama unaona ni mipasho utajua mwenyewe na upuuzi wenu
 
Matusi ndio silaha pekee ya mtu asiyejiamini na asiye na utimamu.
Mpumbavu siyo tusi bali ni uhalisia wa mjinga asiyejijua kuwa ni mjinga, kwa maana ukijitambua kuwa wewe ni mjinga utafuta ujinga.
Tafsiri nyingine ni
Kuujua UKWELI
Kuutambua UKWELI
Lakini kuamini uongo
Na kulazimisha wenye akili waamini uongo.
Magufuli alikuwa muuaji acha wenye akili waseme ili taifa lisije kupata shetani mwingine kama yeye, teteeni mkipenda ila msizuie wenye akili kusema, tutawapiga za uso mtakimbilia kusema mmetukanwa.
MTAJIJUA
 
Kumbe nabishana na mafii ya msoga the pusha ...chegovara
Mapumbavu sukumagang yanajua kila anayempinga dikteta Magufuli lazima awe kwenye makundi yenu ya CCM.
Nina akili timamu siwezi penda chama cha wezi sitetei wezi
 
Kwani uwongo hebu unipe idadi ya albino waliouawa kipindi chake taja pia takwimu za wagonjwa wa kipindupindu siku zake ukilinganisha na zama za mtangulizi wake?
Kabla hujakuja na hoja za kipuuzi fanya tafiti kwa maana no research no right to speak period.
Tuambie hizo data ziko wapi na umefanyia comparison vipi, otherwise ni mmoja wa majuha wa sukumagang
 
Hizo ni hali za kawaida kwenye chaguzi hata Mbowe hajawahi kuweka mazingira sawa kwenye uchaguzi wa mwenykiti chadema.
Ona kauli za majuha ni hali ya kawaida kuua, kuteka, kubambikia kesi wapinzani wako wa kisiasa?
Kukataa kuweka mazingira sawa ya uchaguzi kwako sawa?
Hivi una akili timamu kweli?
Chaguzi za jirani Kenya kuna mazingira haya?
Tuonyeshe katiba ya CHADEMA na jinsi Mbowe anavyoivunja? Maana ni CCM na sukumagang wenye uchungu na Mbowe kuongoza CHADEMA
 
Facts gani unayotaka? Wewe kusifia muuaji Magufuli umekomaa akili?
Njoo na hoja ya maana kusema kuwa Magufuli amewacharaza CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2020 ndio ukomavu wa akili au ujuha?
Hujui mazingira ya uchaguzi wa 2020? Nasisitiza huwezi mtetea Magufuli kama una akili timamu, anayeweza kumteua mtu kama Sabaya na Makonda kisha kuwalinda ana akili timamu?
Kama unaona ni mipasho utajua mwenyewe na upuuzi wenu
Ubongo wako ni mdogo sana.
Nilikuuliza kabla uchaguzi 2020 kulikuwa na chaguzi zingine 2015,2010,2005,2000 na 1995.Ni uchaguzi gani katika hizo ulikuwa wa haki?.
Jibu ulonipa bado unarejea uchaguzi 2020.
 
Mpumbavu siyo tusi bali ni uhalisia wa mjinga asiyejijua kuwa ni mjinga, kwa maana ukijitambua kuwa wewe ni mjinga utafuta ujinga.
Tafsiri nyingine ni
Kuujua UKWELI
Kuutambua UKWELI
Lakini kuamini uongo
Na kulazimisha wenye akili waamini uongo.
Magufuli alikuwa muuaji acha wenye akili waseme ili taifa lisije kupata shetani mwingine kama yeye, teteeni mkipenda ila msizuie wenye akili kusema, tutawapiga za uso mtakimbilia kusema mmetukanwa.
MTAJIJUA
Basi sifa hizo itakuwa unazo wewe ikiwa tu unapata chuki kuona binadamu mwenzio akisifiwa kwa kufanya vizuri.
 
Kufikiria kuwa kuna mtu aliwadanganya chadema ni sawa na kutafuta mchawi, hakuna aliyewadangana; ukweli tu ni kwamba uwezo wao wa kufikiri ni mdogo. Simple as that 👌
 
Ubongo wako ni mdogo sana.
Nilikuuliza kabla uchaguzi 2020 kulikuwa na chaguzi zingine 2015,2010,2005,2000 na 1995.Ni uchaguzi gani katika hizo ulikuwa wa haki?.
Jibu ulonipa bado unarejea uchaguzi 2020.
Wewe huna ubongo kabisa tena mpuuzi. Hakuna uchaguzi uliofanyika chini ya tume inayowajibika kwa mteuzi wake ambae ni mwenyekiti wa CCM na ni mgombea.

Unajua ila kwa upofu wa akili yako unafikiri utafuta kweli.

Kabla ya uchafuzi wa 2020 CCM iliiba kura lakini 2020 ilipora hadi mchakato wa uchaguzi. Ni swali la kijinga na kinafiki
 
Back
Top Bottom