Nani aliyemshauri Rais Samia jambo hili ambalo limeleta mateso na aibu kubwa mitaani na mitandaoni?

Nani aliyemshauri Rais Samia jambo hili ambalo limeleta mateso na aibu kubwa mitaani na mitandaoni?

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo sina mengi zaidi ya kutafuta jibu la swali langu hapo juu. Maana ukiliangalia suala hili kupitia baadhi ya waathirika wenyewe unaweza kuliona dogo, lakini kiuhalisia ni kubwa na lina madhara mabaya ya kimwili na kiakili.

Fikiria watu walikuwa wanapiga kelele na mikwara kibao kuwa wanashindwa kuonesha uhai na uimara wa vyama vyao kutokana na katazo la mikutano lililowekwa na aliekuwa Rais wetu wa awamu ya tano hayati dr John Magufuli.

Wengine wakasema kwamba vyama vyao vitaongeza uimara wake pindi Rais aliepo madarakani (Samia) atatoa katazo la mikutano na kuruhusu viongozi wao waliopo nje ya nchi kurejea kufanya siasa zao kwa njia ya amani na uhuru.

Watu hao walishindwa kujua kwamba uimara wa vyama vyao ulikuwa umejificha katika hicho hicho kimvuli cha ukatazaji mikutano. Hawakujua kwamba watanzania wa 2021 sio wale wa 2001. Watanzania wa 2001 walikuwa wanashinda juani na mvuani kupigania vyama uchwara ili vishinde uchaguzi na kuwaneemesha viongozi wao, watanzania wa 2021 wanashinda makazini na katika maeneo mbali mbali ya utafutaji rizki kwa ajili ya kutafuta ugali wao na wa familia zao. Watu hawana tena muda wa kwenda kusimama juani kusubiri mwanasiasa aje amdanganye kuwa Lowasa ni fisadi, afu kesho tena katika uchaguzi mkuu adanganywe tena kuwa Lowasa ni mtakatifu nk.

Kuruhusu mikutano kufanyika kumesababisha makamu mwenyekiti wa chama fulani kuja nchini kwa mbwembwe nyingi na mwisho wa yote akajikuta anaondoka nchini na aibu bila kuaga. Laiti kama Rais asingetoa katazo basi haya yasingetokea maana asingekuja, lakini pia ingekuwa ngumu watu kujua mbivu na mbichi za vyama hivyo.

Kuruhusu mikutano kumewavua nguo wengi akiwepo yule profesa uchwara wa uchumi pale Buguruni, na jirani yake wa Kigoma "Mr chauongo" anaepika data za uongo kuhusu uongozi wa hayati Magufuli.

Lakini pia kumewaumiza wengi ki akili na ki mwili maana kuna watu sasa wanashindwa hata kula, wengine wanaugua kabisa haswa wale ambao hawakuwa wanajua au kutarajia kujua kama vyao vyao vimeshakufa na kwamba vilikuwa vinaonekana kama vipo hai kutokana na kichaka cha ukatazaji mikutano, kingine kilichowaumiza watu zaidi ni kitendo cha makamu kuja huku wakiwa na matumaini kwamba amekujaa kukaa kusaidia na boss wake kujenga chama. Sasa jamaa ameingia gizani kimya kimya na kuwaacha chawa wake na wanachama kwa ujumla wakiwa kwenye question mark wasijue la kufanya.

Sasa najiuliza ni nani aliemshauri Rais kutoa marufuku ambayo ilikuwa inawasaidia wapinzani kujifichia kufanya propaganda zao. Haoni kama kasababisha taflani, aibu na fedheha ndani ya vyama hivyo?
 
Mikutano ya kisiasa sio jambo la mtu binafsi, serikali, marekani, au kiumbe yoyote kuamulia mwingine afanye au asifanye.

Mikutano ni haki ya kikatiba na ni kinyume na katiba kuizuia. Kupitia mikutano ya kisiasa na makongamano ndipo jamii hujadili maswala mbali mbali na kutafuta suluhu.
 
Hii ni mentality ileile ya wale wazee wa uzalendo fake!! Kiongoz bora ni yule anaeilinda katiba kwa nguvu zake zote!! Mlikua brainwashed sana kipind kile, Naamin kama Rais na mamlaka zake zote hakuna yeyote nchini wa kumzuia kuwaletea maendeleo Wananchi hakuna!! Cha kushangaza sana upinzani ulikua unazuia maendeleo ya nchi that's why wafungie kufanya mikutano halaf washughulikie bungeni wakitoka nje ntadili nao, thrash mentality!!!
 
Mikutano ya kisiasa sio jambo la mtu binafsi, serikali, marekani, au kiumbe yoyote kuamulia mwingine afanye au asifanye.

Mikutano ni haki ya kikatiba na ni kinyume na katiba kuizuia. Kupitia mikutano ya kisiasa na makongamano ndipo jamii hujadili maswala mbali mbali na kutafuta suluhu.
Lakini sasa ruhusa yake imeleta aibu kwa baadhi ya vyama mpaka kupelekea wengine kuogopa kuandaa mikutano ili yasije kuwakuta yaliowakuta wenzao.
 
Atakuwa Aikael wa Ufipa st

Kwa hoja za kumnanga JPM wamejiua wenyewe tena bora wameruhusiwa ili wapuuzwe mapema, nachojua mtanzania anahuruma sana na marehemu kuliko mtu mzima na hata kumponda JPM inaonekana anaonewa sana , hivo hawatopata uungwaji mkono kama zamani zaidi watapata picha za kutuma kwa wafadhili wao wapewe pesa.
 
Hii ni mentality ileile ya wale wazee wa uzalendo fake!! Kiongoz bora ni yule anaeilinda katiba kwa nguvu zake zote!! Mlikua brainwashed sana kipind kile, Naamin kama Rais na mamlaka zake zote hakuna yeyote nchini wa kumzuia kuwaletea maendeleo Wananchi hakuna!! Cha kushangaza sana upinzani ulikua unazuia maendeleo ya nchi that's why wafungie kufanya mikutano halaf washughulikie bungeni wakitoka nje ntadili nao, thrash mentality!!!
Sasa hauoni kuwa mikutano hiyo imeviacha uchi baadhi ya vyama?

Bora katazo liliwasaidia kujifichia humo.
 

Attachments

  • 40a.jpg
    40a.jpg
    110.4 KB · Views: 3
  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    58.6 KB · Views: 3
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo sina mengi zaidi ya kutafuta jibu la swali langu hapo juu. Maana ukiliangalia suala hili kupitia baadhi ya waathirika wenyewe unaweza kuliona dogo, lakini kiuhalisia ni kubwa na lina madhara mabaya ya kimwili na kiakili.

Fikiria watu walikuwa wanapiga kelele na mikwara kibao kuwa wanashindwa kuonesha uhai na uimara wa vyama vyao kutokana na katazo la mikutano lililowekwa na aliekuwa Rais wetu wa awamu ya tano hayati dr John Magufuli.

Wengine wakasema kwamba vyama vyao vitaongeza uimara wake pindi Rais aliepo madarakani (Samia) atatoa katazo la mikutano na kuruhusu viongozi wao waliopo nje ya nchi kurejea kufanya siasa zao kwa njia ya amani na uhuru.

Watu hao walishindwa kujua kwamba uimara wa vyama vyao ulikuwa umejificha katika hicho hicho kimvuli cha ukatazaji mikutano. Hawakujua kwamba watanzania wa 2021 sio wale wa 2001. Watanzania wa 2001 walikuwa wanashinda juani na mvuani kupigania vyama uchwara ili vishinde uchaguzi na kuwaneemesha viongozi wao, watanzania wa 2021 wanashinda makazini na katika maeneo mbali mbali ya utafutaji rizki kwa ajili ya kutafuta ugali wao na wa familia zao. Watu hawana tena muda wa kwenda kusimama juani kusubiri mwanasiasa aje amdanganye kuwa Lowasa ni fisadi, afu kesho tena katika uchaguzi mkuu adanganywe tena kuwa Lowasa ni mtakatifu nk.

Kuruhusu mikutano kufanyika kumesababisha makamu mwenyekiti wa chama fulani kuja nchini kwa mbwembwe nyingi na mwisho wa yote akajikuta anaondoka nchini na aibu bila kuaga. Laiti kama Rais asingetoa katazo basi haya yasingetokea maana asingekuja, lakini pia ingekuwa ngumu watu kujua mbivu na mbichi za vyama hivyo.

Kuruhusu mikutano kumewavua nguo wengi akiwepo yule profesa uchwara wa uchumi pale Buguruni, na jirani yake wa Kigoma "Mr chauongo" anaepika data za uongo kuhusu uongozi wa hayati Magufuli.

Lakini pia kumewaumiza wengi haswa wale ambao hawakuwa wanajua au kutarajia kujua kama vyao vyao vimeshakuwa na kwamba vilikuwa vinaonekana kama vipo hai kutokana na kichaka cha ukatazaji mikutano, kingine kilichowaumiza watu zaidi ni kitendo cha makamu kuja huku wakiwa na matumaini kwamba amekujaa kukaa kusaidia na boss wake kujenga chama. Sasa jamaa ameingia gizani kimya kimya na kuwaacha chawa wake na wanachama kwa ujumla wakiwa kwenye question mark wasijue la kufanya.

Sasa najiuliza ni nani aliemshauri Rais kutoa marufuku ambayo ilikuwa inawasaidia wapinzani kujifichia kufanya propaganda zao. Haoni kama kasababisha taflani, aibu na fedheha ndani ya vyama hivyo?
🚮
 
Uyo jamaa nlimshtukia tangu 2020 hoja zake zilikua ni kupigwa risasi tu kwenye kampeni sasa Hana hoja ya msingi Kuna page moja insta inaitwa the chanzo wamechambua hoja zake kwenye mikutano zaidi ya 50% anamsema magufuri sasa sijui inawasaidia Nini watanzania ndo maana kasepa kimya kimya
 
Kwa hoja za kumnanga JPM wamejiua wenyewe tena bora wameruhusiwa ili wapuuzwe mapema, nachojua mtanzania anahuruma sana na marehemu kuliko mtu mzima na hata kumponda JPM inaonekana anaonewa sana , hivo hawatopata uungwaji mkono kama zamani zaidi watapata picha za kutuma kwa wafadhili wao wapewe pesa.
Jamaa walikuwa na utaratibu wa kuwananga marehemu muda mrefu. Tena wale marehemu ambao wameacha alama kubwa na ya maana ndani ya nchi yetu.

Walianza na baba wa taifa mwl Nyerere na sasa wamehamia kwa mzalendo mungine hayati Magufuli.

Acha wachezee viboko vya laana kutoka kwa Mungu.
 
Cccm wote hamna mwenye akili zaidi ya msukuma
Muombe radhi Mbowe maana na yeye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi ambacho ndio "CCM"

Ushahidi huo hapo videoni
 

Attachments

  • 5218795-900eac709d849ea146fff30dcf48cf3c.mp4
    4.1 MB
Uyo jamaa nlimshtukia tangu 2020 hoja zake zilikua ni kupigwa risasi tu kwenye kampeni sasa Hana hoja ya msingi Kuna page moja insta inaitwa the chanzo wamechambua hoja zake kwenye mikutano zaidi ya 50% anamsema magufuri sasa sijui inawasaidia Nini watanzania ndo maana kasepa kimya kimya
Kila anaeanza na ubaya, pia huishia na ubaya. Jamaa walianza na ubaya kwa kuanzisha siasa za majitaka kuwachafua watu bila sababu. Sasa leo wanaishia kukimbia pia kwa ubaya.
 
CCM ni chama imara, Samia kaona hana haja ya kumhofia mpinzani sababu serikali yake haina mawaa

Sio kama Yule jambazi tuliyemzika Chato aliogopa sababu alijua alivyokuwa na skendo nyingi huku akidanganya mbumbumbu kuwa ni mzalendo,
 
Back
Top Bottom