Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Sio lazima kila kitu upinge,kama tuu kutangaza hapo ni nongwa,ungeweza kutangaza matangazo ya kwenye mechi kama Kagame?
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
Umeanza vzri ila umemaliza vibaya ...... hilo neno la mwisho nimeona aibu hata kulitaja ... hatakamq tangazo limekiln hapo bqdo ni faida kwa nchi yetu pia nipesa za wavuja jasho ... na unga mkono kutangaza nch yetu ila neno hakuna kama bla.... bla ....huo ni uzwazwa utumwa wa kifikra ulio pitiliza ...naomba niishie hapo
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
Ni kweli kabisa tumelipa "sisi" ndiyo maana Tutailinda 'mipaka' ya Tanzania kwa gharama yoyote ile. Mwenge wa Uhuru umulike duniani kote.

Mungu wabariki Waafrika
Mungu wabariki Watanzania.
 
Una akili za kijinga kabisa.
 
Na wabongo wanawasifia Rwanda kwa hii move yao ya Arsenal na PSG..lakini tukifanya kidogo wanaanza tena kulalamika.
 
Una akili za kijinga kabisa.
Zimenisaidia Sana maishani maana sijawahi kujipendwkeza na kujikombakomba kama wewe. Nakula Kwa Jasho langu sitegemei Uchawa kama wewe.
 
Kwa akili yako mbovu wewe ndo unapendeza kuwa CCM.
Hizi haziwezi kuwa akili za BAVICHA,wala BAZECHA wala BAWACHA.
Kama upo CHADEMA utakuwa umetumwa then baadaye uunge mkono juhudi.
Huenda wewe ni dr slaa
 
Ukijifanya una patriotism sana utakosa angle za kutoboa. Hilo bango wanaweka hata kampuni na project ndogo za cryptocurrency hamna kubwa. Tafuta angle yako na wewe ujipakulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…