Tatizo la Tanzania sio matangazo.Nchi hii mna mahaba ya kijinga sana...mmeanza kumsakama kwa kila kitu sababu mmekosa nafasi...ccm ni wanafiki sana.
Kuitangaza nchi haijawahi kuwa rahisi.
Unafikiri 200ml inatosha kuajiri watu wangapi?
Nchi ikitangazwa vizuri, tukaachana na siasa chafu za kuonea upinzani, tutavutia wawekezaji wengi na ajira zitakua nyingi.
Kuitangaza nchi ni sahihi...ushauri waachane na siasa chafu
Acha ujinga wewe FAIDA gani inaonekana wakati wa KUPANDA MBEGU?!!!Acha ujinga wewe ... Faida gani iliyopatikana hapo...!!?
Hata wamasai wa Kenya wanaijua bendera ya Tanzania sembuse waarabu wa GULF?!!Hiyo bendera mwarabu anaijulia wapi
Bora wangeandika Tanzania na picha ya Duma ingeleta maana ya wanyama
Niwe chawa au nisiwe chawa lakini kikubwa ni kwamba akili zako za kijima unalazimisha zifanyekazi kwenye zama A teknolojiaZimenisaidia Sana maishani maana sijawahi kujipendwkeza na kujikombakomba kama wewe. Nakula Kwa Jasho langu sitegemei Uchawa kama wewe.
Haya hamkuyasema wakati mkiliowa buku 7.Tatizo la Tanzania sio matangazo.
Tatizo letu ni usimamizi mzuri wa Rasilimali , kukusanya mapato na usimamizi mzuri wa miradi hilo tu.
Hayo mengine ndio tunaita matumizi mabaya ya fedha za uma.
Tumia akili na sio hisia.
WATANZANIA:
Rwanda inajitangaza sana sisi serikali yetu imelala tu Messi anavaa jezi imeandikwa visit Rwanda sis tumelala
WATANZANIA:
Nani amelipia milion 200 kutangaza nchi kwenye jengo refu zaidi duniani wakati mitaani ajira hakuna
Mnaenda kuomba hela za covid kwenda kuweka matangazo Dubai! Uwendawazimu usio mithilika.
😍Nenda shule kajifunze nini maana ya advertisement usiniulize mimi swali halina kichwa wala miguu. Nani duniani asiyejuwa Pepsi au Cocacola labda umezaliwa unazijuwa vizuri lakini umesikia hata siku wameacha kujitangaza? unataka kukuza utalii unadhani kila mtu anaijuwa Tanzania?
Sasa mkuu naona unataka kuanza kunipangia nini cha kufanya jambo ambalo sio sahihi.Haya hamkuyasema wakati mkiliowa buku 7.
Puanguani waheed...sijui nini.
Mnapotolewa mezani mnajifanya zimewarudi.
Mwacheni Samia naye afurukute...tusubiri matokeo ili tumpongeze au tumlaumu.
Kwa muda huu ameona kuitangaza nchi ndio njia pekee ya kuvuna watalii na wawekezaji...tumsubirie ukingoni .
Hapo ndio unaharibugi bwana brown ku politicize kila kitu
Naona nawewe unanipangia wa kumjibu.Sasa mkuu naona unataka kuanza kunipangia nini cha kufanya jambo ambalo sio sahihi.
Ninao uhuru wa kusema yale nayoona yanafaa kusemwa muda huo.
Sasa kama unaona nakukera sana. Acha kusoma tu comments zangu soma za wengine.
🤣🤣Ok mkuu nimewatania watani zanguHapo ndio unaharibugi bwana blown ku politicize kila kitu