Nani ameweka hizi bei elekezi za taxi pale Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere?

Nani ameweka hizi bei elekezi za taxi pale Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere?

Hiyo pesa wewe kama wewe umezoea kugombania daladala ni kubwa ila ndogo sana kwa wageni wanaoshuka humo
Umewahi safiri wewe? Hizo bei nani kasema ndogo. 15 usd to 30 usd ni accomodation quotes za BNB nyingi bongo. Hizo bei wanapanda tu wale wasiolijua jiji.
Ndio maana taxi nyingi ukiarrive tu akikufata unanegotiate. Na zaidi utaita ndugu yako, mtu wako wa karibu au taxi mtandao. Itayokubeba kutoka ndani. Inaruhusiwa.
Hizo bei ni kali kwa kila binadamu. Usifanye wageni hawajui hela.
Sometimes muwe mnachangia nyuzi za watu sio mnaponda tu. Amehoji vizuri sana huyu mtu.
 
Umewahi safiri wewe? Hizo bei nani kasema ndogo. 15 usd to 30 usd ni accomodation quotes za BNB nyingi bongo. Hizo bei wanapanda tu wale wasiolijua jiji.
Ndio maana taxi nyingi ukiarrive tu akikufata unanegotiate. Na zaidi utaita ndugu yako, mtu wako wa karibu au taxi mtandao. Itayokubeba kutoka ndani. Inaruhusiwa.
Hizo bei ni kali kwa kila binadamu. Usifanye wageni hawajui hela.
Sometimes muwe mnachangia nyuzi za watu sio mnaponda tu. Amehoji vizuri sana huyu mtu.
Sema wewe huwa una negotiate ila wapo wazambia, wakenya, wazungu, wabongo wakifika hapo wanapanda gari na wanaondoka.

Hizo bei zipo airport sio sokoni stereo.
 
Sema wewe huwa una negotiate ila wapo wazambia, wakenya, wazungu, wabongo wakifika hapo wanapanda gari na wanaondoka.

Hizo bei zipo airport sio sokoni stereo.
Sio mimi nakupa kwa experience, ipo hivo. Naamini wapo wanaofanya hivo. Na sijasema hawapo soma vizuri nilichoandika.
Nimesema sometimes tutoe mawazo sio kila kitu mara madale sijui kimanzichNa. How do you see the prices. Nani anapanga jibu swali.
 
Wala hatupanda hizo taxi, tunaingia/tunatoka zetu kwa miguu mpaka Puma petrol ⛽️ na kuchukua boda ama stand ya dalali za ukonga, kazi imeisha!

Hizo zao labda wapande wageni, na wenye maokoto yasiyoumiza yakitoka mfukoni! 😄

Sema nimesema "tuna" badala ya "nina" km vile nawafahamu wengine! 😄
 
Kuna raia 3 weeks zilizopita alifikia terminal 1 toka mbugani kusafisha macho lakini dereva aliyemfuata aliingia terminal 3 Kwa kutopewa sehemu sahihi ya kumpokea so driver parked the car in the wrong spot na Gari ikawa chained up.

Alivyoshuka akahitaji kufika terminal 3 ili kumsaidia dereva wake kulipa,taxi driver alimwambia 17 usd mwisho 15 toka terminal 1 to 3 akamwambia nitakupatia 10 USD ikiwa hawafahamu Ni mswahili Na anafahamu,ikabidi aingie mtandaoni Na kurequest Kwa Tsh 7,000.
Gharana zao Muda mwingine Ni kichekesho ,angechukua Tu hiyo 10 Usd maana sio Mbali.
 
Mbali na uwepo wa taxi mtandao kama Uber, bolt nk, bado Watanzania tuko nyuma ya muda.

Karne ya 21. bado tunakomaa na namna ya zamani ya kufanya biashara. Sisemi kwamba watu wafanye taxi kizamani, kwa kuwa kuna maeneo madereva wa taxi mtandao hawataki kwenda.

Hata hivyo, walioweka bei hizi za taxi wametumia vigezo gani kuweka bei kubwa kiasi hiki. Aidha mbona maeneo mengine hayapo?

View attachment 2881681
Uba na Bolt nao wamo?
 
Sasa wewe una hela ya kupanda ndege halafu huna hela ndogo ya taxi ?
Any way hii ni kawaida hata mambele huko, na ukiita uber au taxi binafsi, kuingia au kushusha wanachajiwa.
Hao Taxi wamesajiliwa kufanya kazi hapo tu airport, kwa hiyo lazima wajilinde kimaslahi.
Mna bahati ka airport kadogo unaweza kutembea mpaka nje barabarani, Airport kama Heathrow au Schiphol ni unatembea maili kadhaa ndio utaona nje.
Acha kutetea upumbavu. Mtu ukiwa na hela ndo uzitumie kipuuzi? Mambele ya wapi wewe au unadhani watu wanavyo-comment hawajawahi toka nje ya Bongo?
 
Sema wewe huwa una negotiate ila wapo wazambia, wakenya, wazungu, wabongo wakifika hapo wanapanda gari na wanaondoka.

Hizo bei zipo airport sio sokoni stereo.
Wewe mjinga dunia kwa sasa ni kama kijiji... hata hao wageni sio wapumbavu wasithaminishe hiyo bei na currency yao. Watu wana mahesabu. Mwaka 2018 nilienda Dubai nikalipa kama Tsh 150k nikapelekwa Dragon Mall kutoka Deira na tukatoka hapo kwenda Dubai Mall kabla ya kurudi tena Deira. Na huko kote ni umbali wa kutosha.
 
Hawa jamaa wahuni sana...

Kuna Siku nimefika pale na ndege ya Mchana wakaniuliza kama wanaweza kunipeleka ninapokwenda...of course nilikuwa naelekea Posta.

Kuuliza nauli wakaniambia shilingi 45,000, nikasema ngoja nicheki nauli za Bolt...kucheki nauli ya bolt ili kuwa shilingi 9,500

Nikamwambia Kuna ndugu yangu anakuja kunifata...

Baada ya dakika 5 jamaa wa Bolt alikuwa ameshafika kunichukua maana alikuwa maeneo ya pale Kituo cha mafuta nje.

Nikawa nimeokoa zaidi ya ya shilingi 35,000

Wenzao kule Mbeya Wana shuttle zao wanakuchaji shilingi 10,000 kutoka Airport hadi Mwanjelwa/Kabwe japo mnakuwa mmepanda wasafiri 5 ama 6
 
Back
Top Bottom