Nani ameweka hizi bei elekezi za taxi pale Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere?

So far utaratibu wa shuttle nimeukuta KIA mbeya airport nyingine km songea, mtwara, kigoma, mwanza ambako Airport iko mbali kidogo na mji hawaja adopt huu utaratibu. Ila ni utarsatuibu mzuri sana unsampa unafuu consumer pia drivers wanapata chao.
 
Wewe ndio mpumbavu unafikiri watu hatusafiri.

Hizo bei wala sio tatizo kwa watu wanaotoka humo ni wewe tu maskini ndo unahangaika
 
Sio mimi nakupa kwa experience, ipo hivo. Naamini wapo wanaofanya hivo. Na sijasema hawapo soma vizuri nilichoandika.
Nimesema sometimes tutoe mawazo sio kila kitu mara madale sijui kimanzichNa. How do you see the prices. Nani anapanga jibu swali.
Si uongozi wao?
Mnafikiri wao wataingizia go mapato hapo?
 
Mbaya sana. Ila wanabana tu ila muda ukifika huo upumbavu utasambaratika. Kwa hali ilivyo ngumu kumchaji mtu Tsh 60k kwenda Masaki ni ushetani.
Kwa kweli haitabadilika, ndio kwanza mafuta yakipanda na zitaongezeka
Hao taxi driver wanalipia nao kupata kibali cha kupakia hapo airport, yaani wamesajiliwa.
Nadhani unaweza ukaita bolt au uber, haina shida, lakini akiingia lazima achukue tiketi getini, na saa ya kutoka lazima alipie, na hiyo gharama ataongezea juu ya nauli yako.
 
Akili za kitoto kabisa na za kipumbavu kwa kuwa tunaweza panda ndege ndio twende city centre kwa 60 elfu kwa kuwa tuna hela za kichezea?

Kwa hiyo kwakuwa watu wanapata mshahara basi sukari iuzwe 30 elfu?

Huyu aliyepanga hizi bei ni mjinga na kwanza ilitakiwa kuwepo na tax mtandao zilizo sajiliwa na hapo ilikuwa sio lazima kutumia mfumo wa kizamani na kuumiza watu ..labda waseme kodi hapa ni kubwa sana!
 
Huyo mtoto hajui hata uchungu wa hela huyo hahahaha
 
Wamewekewa mpaka benchi la kukaa. Sijawahi kuona popote duniani taxi airport wamewekewa benchi la kukaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…