Nani ameweka hizi bei elekezi za taxi pale Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere?

Waswahili shida sana, amelipa Ticket ya ndege laki 4 ila Tax elfu 40 anaanza manenoo
 
Huyo mtoto hajui hata uchungu wa hela huyo hahahaha
Naomba nimuongezee kitu, hlo bango pale airport bongo mpaka linachakaa. Pale dubai. Taxi ya gharama kabisa inatembea kwa 76000-78000 kwa kilometre 60 popote unapoenda.
Sasa jiulize bongo kilometre 60 ni airport mpaka wapi. Pima hizo bei.
Nadhani mm huwa situmii zile taxi ila jamaa amerise kitu bora sana. Ambacho tukidiscuss vzuri basi vijana na wazee wetu pale airport watapata hela nzuri ya taxi zao.
Dubai again wana taxi mtandao yao inaitwa careem. Inaingia pale airport. Wanalipa i guess kwa siku kupaki mule kama 12000 cha mwisho. Kwa dubai 1 km wanacharge 0.5 dollars do the math. Allafu sasa ndio unakuta na fixed prices.
 
Kwani shoga chance shida ni nin?
Mimi sijakutana mbona? Wewe umeniita binti mimi nimekuita shoga pamoja na mama yako sasa hapo tusi lipo wapi?
Mimi mi binti kwa madai yako na mimi nikasema wewe ni shoga sasa kinachokuuma nini shoga wewe?
Relax ndugu
Hamna tusi hapo binti yangu
 
Ni hivi
Hizo bei hazitashuka ndio kwanza zitaongezeka, kama huna hela, nenda kapande daladala, kwa sisi wenye hela hiyo ni hela ndogo sana, na tip tunatoa juu yake
 
So far utaratibu wa shuttle nimeukuta KIA mbeya airport nyingine km songea, mtwara, kigoma, mwanza ambako Airport iko mbali kidogo na mji hawaja adopt huu utaratibu. Ila ni utarsatuibu mzuri sana unsampa unafuu consumer pia drivers wanapata chao.
Ni utaratibu mzuri sana Kwa kweli...japo ujio wa bolt/Uber umesaidia sana Kwa kweli

Kuna Siku nimeingia Arusha saa 2 usiku nikadownload app ya Indrive nikaita gari Kwa elfu 12 kwenda Mjini

Ingekuwa ni tax ingefika hata shilingi 60,000 maana Arusha mji wa kitalii ule
 
Watakuwa wale wapumbavu wenye taxi pale uwanjani. Juzi nimeenda na Bolt Bahari Beach kwa elfu 37,000/=
 
Hata ukilipa getini haiwezi fika 60k kwa Uber kwenda Masaki.
 
Wewe ndio mpumbavu unafikiri watu hatusafiri.

Hizo bei wala sio tatizo kwa watu wanaotoka humo ni wewe tu maskini ndo unahangaika
Wewe K hakuna tajiri wa kufanya Umaku unaozungumza. Hela hata kama zipo sio za kutumika kijinga kama unavyotaka tuamini.
 
cc: Pdidy
 
Umbali wa ndege na tax ni sawa?
Umelazimishwa kupanda? tembea mpaka pale filling station ask for bolt au uber au panda tu daladala kablas. Ukiona huduma huiwezi jua wewe sio mlengwa. Ndio maana kuna daladala, bodaboda, bajaji, tax kila mtu anajifix anapoweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…