mzee wa nguna
Senior Member
- Dec 5, 2012
- 138
- 136
Una maanisha JoseverestYule mwamba aliwezs kua wa kwanza kucomment newpost zote jf za majukwaa yote bila kuwahiwa na mtu yeyotejapo jina nimelisahau.Wa pili ni dogo mmoja sijui anaitwa Infantry Soldier nahisi toka alipoaga last time kua yuko bize na project yake na vijana flani hajawahi andika au kulike au kujihusisha na jf kwa namna yeyote ile
Huyu jamaa kuna kipindi alikomaa ngoma haipo mpka akanishawishi kwa hoja zake [emoji3]
Waliotukuka kabisa..Maxence Melo na Mwenzake Mike Mushi kwani bila Juhudi zao, Akili zao na Ubunifu wao wa Kutukuka leo hii kusingekuwepo na hili Jukwaa ( Jamvi ) linalotupa Kiburi na Kutujenga Kifikra hadi Kimtazamo wengi Wetu.
Pongezi zangu nyingi sana tu Kwao.
Unyama tena?!Unyama wa kutoshaa
Watu wanaficha id uwezi kujua.uwenda yupo mmoja wao hapo.Hao sidhani kama wana account humu JF
Hata mimi namkubali sanami nadhani Bujibuji Simba Nyamaume
Faiza foxAntumia ID gan?
mkuu africa kipimo cha akili ni utafutaji wa mali.Hicho sio kigezo...Yeye anaweza kuwa njia tu, ila kumbe alipofungulia jf wakaja watu wenye akili kumzidi yeye.
kitendo cha kutambua watu wanataka nini nakuandika vtu vinagonga nyoyo za watu hao ni akili tosha mkuu.Kuna akili na umaarufu. Jifunzeni kutofautisha.
Kuna ma Homo Universalis tumetuliaga tu tunawachora ma genius wa mchongo. Mtu anaandika mashudu JF anakuwa maarufu kwakuwa watu wengi wanapenda ujinga halafu anatajwa kuwa ana akili, asee. [emoji23]