Chadema ndio magaidi, maana wangevaliwa kila kifaa cha kujikinga na magari ya mabomu. Ila gaidi halisi tunalifuata kama tunaenda chooni! Weledi wa majeshi yetu ni uonevu tu.huyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema
[emoji23] [emoji23] Yawezekana walimpiga wenzake maana zile risasi zilikuwa kama mashuti ya Sarpong na Yikpeutayari gani mbona alikimbia baada ya kupewa risasi kadhaa.Ukute police wenzake ndo walimpiga maana walikua wanarusha Risasi hovyo hovyo [emoji23][emoji23]
Ngoja nione kama naweza irusha hapaHuwezi amini hii clip sijaiona , mwenye link ya kuipata tafadhali
Sasa hivi yuko mawinguni kma mekoAlikuwa anaenda kichwa kichwa utadhani ameenda kukamata wafuasi wa chadema.
Akakutana na Smg akalambwa ya mguu kwa ujinga huo alioufanya utasikia kesho amepandishwa cheo
Huyu kapata ya paja na hakuwa serious injured waliokufa nadhani ni waliokuwa kituoni salenderHuyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?
Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo, kaacha Dona kizembe sana.
Hamza katubeba sana leoutayari gani mbona alikimbia baada ya kupewa risasi kadhaa.Ukute police wenzake ndo walimpiga maana walikua wanarusha Risasi hovyo hovyo [emoji23][emoji23]
Anastahili tuzo huyu askari alijitoa mhanga sana.Ndiye aliyemrushia tear gas ndo akatoka kwenye kibanda baada ya kuzidiwa na moshi.
I agree with you, huyu baada ya kushoot kitu ka tear gas jamaa ndo akatoka kwenye kila kichumbaHuyu askari kama yu hai apewe nishani ameonesha utayari wa kufa kwa ajili ya wengine.
Hawezii kufa risasi ya upaja kudanja ngumuHuyo mda huu atakua anapambana na roho isiuache mwizi...alijifanya rambo wa kino
Yah, amejitahidi sana maana wenzake walibaki kupiga risasi hewa.I agree with you, huyu baada ya kushoot kitu ka tear gas jamaa ndo akatoka kwenye kila kichumba
ni bwege cjawahi ona open fire technique kama hii ...He is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do
Gaidi ndio kampiga sio maaskari[emoji23] [emoji23] Yawezekana walimpiga wenzake maana zile risasi zilikuwa kama mashuti ya Sarpong na Yikpe
Huyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?
Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo, kaacha Dona kizembe sana.
Yes huyu ni shujaa banaYah, amejitahidi sana maana wenzake walibaki kupiga risasi hewa.
Mimi nimeanza kuamini jamaa si GAIDI.Gaidi ndio kampiga sio maaskari
MnooRoho yako imepata amani?
Wa kituoni si ndo wamepokonywa na bunduki zao??. Yani mwamba alikua na short gun tu ila kaenda kuzikusanya sarenda.Huyu kapata ya paja na hakuwa serious injured waliokufa nadhani ni waliokuwa kituoni salender