blackmweusi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 241
- 186
He is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do
Huyu atakuwa gaidi na katumia hyo style kupumbaza watu, jeshi la polisi liimarishe ulinzi hata enzi za kibiti zilianzaga hivi hiviMimi nimeanza kuamini jamaa si GAIDI.
Yes it seems alishasoma kituo ndio maana akafanya hvoWa kituoni si ndo wamepokonywa na bunduki zao??. Yani mwamba alikua na short gun tu ila kaenda kuzikusanya sarenda.
Baada ya kutupiwa kitu ka Moshi ndio akatokaalitoka sababu risasi zilimwishia akataka ajisalimishe ndo wakamuhai
[emoji23][emoji23][emoji23]ila mapolice wengi huchukuliwa waliopata zero kujiongeza ni ngumuHapana...Huyo kama amepona anatakiwa ashitakiwe..
Ni pumbavu kabisa...Hajui hata mbinu za ku-take cover????
Hata Mimi najaribu kuwaza kwamba madili yamechukuwa nafasi make dogo si Kwa bata zile. Itakuwa jamaa wamemchomoa mkwanja mrefu au magold kilo kadhaa, dogo kapagawa kaona bora Wafe wote. Gaidi anaueongoza magari napatikana Tz pekee dunia nzimaMimi nimeanza kuamini jamaa si GAIDI.
Hapana...Huyo kama amepona anatakiwa ashitakiwe..
Ni pumbavu kabisa...Hajui hata mbinu za ku-take cover????
Atakuwa kapona kweli huyoSijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
Sidhani kama amepona..maana ameonewa kama tatu HIV au nne..hivi huyo jamaaa mijegejo amejulia wapi kuitumia
Kesho uyo aliefurah askari kuchakazwa akivamiwa au akpata tatizo anakimbilia polisi.Askari wamechokwa sana
Sasa aende wapi na polisi tunawalipa?Kesho uyo aliefurah askari kuchakazwa akivamiwa au akpata tatizo anakimbilia polisi.
Wengi uwa wanatumwa kumbuka hyo kazi unafanya chini ya Amri na kugoma huwezSasa aende wapi na polisi tunawalipa?
Acha wachukiwe wamejaa uonevu ssna
Hahhhahaaahuyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema