Kwamba kaacha dona kizembeHuyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?
Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo bora nionekane kunguru..kaacha Dona kizembe sana.
unamgeuka tena...si umesema ni shujaa[emoji2][emoji2]Ila naye alienda as if Hamza ana rungu
watu kwa kukosoa wapo vizuriKuna watu mlio wa risasi anaishia kuusikia kwenye magame huko online, lakini anakuja hapa kumkejeli mtu aliyejitolea kuingia katikati ya milio ya risasi kwa faida ya wengi. Pia ieleweke kwa askari kufa kwa risasi ni sehemu ya maisha yake bila kujali kuna uzembe au hakuna.
inasemekana aliyeamuru Lissu apigwe risasi amekata motoWAlimpiga Lissu 16 zote mwilini na chuma bado anadunda, dah
Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
Yule mshukiwa wa ugaidi aliyeuliwa Jana ni nani?
-za chini chini na uchunguzi wangu niliokesha nao nimegundua huyu kijana ametokea familia ya madini.
-Baba yake alikuwa na mgodi chunya na mpaka anakufa hakufaidika na mgodi huo lakini pindi alipolifa ndipo neema ilianza kuwadondokea warithi.
-walitokea wachina na kununua kipande chao kieneo na walinunua kwa kiasi kikubwa cha pesa na hapo ndipo walipoenda kununua majengo upanga nk.
Inasemekana juzi kijana huyu alifanya biashara ya dhahabu na mmoja wa mteja na alipovutwa yule jamaa akishirikiana na polisi walimnyanganya Mali zile na kumpa vitisho...huenda alishindwa kuzuia hasira zake japo haiwezi kuwa sahihi moja kwa moja
Kuna mengi kwenye hili fukuto tuachie vyombo vya usalama watupe majibu sahihi
Tayari ndugu zake wawili kutoka chunya wamesafirishwa
Chuo cha polisi wanakata miezi 9, wakati fulani wa uchaguzi walikaa miezi 3, sana walifundishwa kufunga boot na kupiga salute.Polisi imeahidi kutoa taarifa baada ya uchunguzi. Wakati matokeo bado, mkuu wao kesha hitimisha linahusika na uwepo wa askari wetu Msumbiji.Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
Huyo ni askari mlizi kumbuka wanalipwa laki na nusu hadi laki mbili kwa mwezi kwahiyo aliona ajitoe ufahamu mbele ya chuma iliapandishwe cheo na mshaharaSijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
'Gaidi' kanyamazishwa na polisi ili tupokee habari za upande mmoja tu, polisi na serikali yake. Ukweli halisi sio rahisi kumfikia Raisi, akizipata atasoneneka sana na utendaji wa PT kuliko jana alivyo kuwa anawasuta kwenye kikao chale.Chadema ndio magaidi, maana wangevaliwa kila kifaa cha kujikinga na magari ya mabomu. Ila gaidi halls tunalifuata kama tunaenda chooni! Weledi wa majeshi yetu ni uonevu tu.
kajitoa ufahamu kaona heri kufa kuliko fedheha na dhulumaHamza katubeba sana leo
Kama nikweli V ni victory ishara ya ushindi kuwatungua mapolisiMbona mashuhuda walisema alikuwa anainua vidole viwili ✌️
Hawakukimbia ila shuhuda, ndugu yangu huyu anayeishi hapo mjini Dar' salaam alinambia kwamba Hamza alishuka kwenye boda akaelekea kwenye kibanda ambacho askari walikuwepo,akajifanya mtu salama anayehitaji msaada wa kipolisi suddenly akatoa pisto na kuwashambulia.Achana na sudden attack(ambushi) aisee mbinu zote huwa zinapotea.Poleni sana polisi wetu.Swali la kizushi, walipokonywa au walikimbia na kuziacha silaha ? Kama walikimbia na kuacha silaha basi hawafai kuitwa askari na wavuliwe vyeo vyote, anaytakiwa kupnadishwa vyeo ni waliojitolea mhanga kupambana face to face na mhalifu haswa yule aliyemsogelea mhalifu kwa ukaribu zaidi, japo ilikua ni njia ya hatari sana na hakuifanya kwa umakini, japo ilizaa matunda kwa mhalifu kutoka nje ya kibanda kwa kuzidiwa na tear gas.
ANAOKOAJE WAKTI NI BOYA KAMA ULIVYOSEMAWewe endelea na kejeli za nyuma ya keyboard ila ipo siku utatamani hata huyo unaemuona boya ajitokeze kukuokoa.
Ndugu yako aliyasikia maongezi ya kibandani? Simjui Hamza, wengi wamesha mhukumu japo tayari amesha uliwa na polisi japo alijisalimisha. Nikikumbuka mauaji ya wafanya biashara ya madini wa Mahenge kule Mabwepande, utekwaji na upoteaji raia, vifo vya raia mikononi mwa polisi, polisi wanavyotenda kwa weledi wa chini bila kufuata sheria, maelezo yoyote toka kwao polisi kwa tukio la jana yatakuwa ni uongo mtupu.Hawakukimbia ila shuhuda, ndugu yangu huyu anayeishi hapo mjini Dar' salaam alinambia kwamba Hamza alishuka kwenye boda akaelekea kwenye kibanda ambacho askari walikuwepo,akajifanya mtu salama anayehitaji msaada wa kipolisi suddenly akatoa pisto na kuwashambulia.Achana na sudden attack(ambushi) aisee mbinu zote huwa zinapotea.Poleni sana polisi wetu.
Jamaa shabaha wako shallow sanaSema hao askar wengine walishindwa kumpa support,kama kungekua na sniper jamaa alivotokeza tu kichwa wange mtandika,na kumsaidia huyo mwenzao,ila jamaa alienda kizembe sana halafu anakimbia anageuka nyuma.Huyo askar alifanya kazi nzur sana japo hakua na tahadhari ya kutosha kama kulikua na mduangaji mzur game ilikua inaisha first half tu..Jamaa mpaka ametoka pale ameenda katikat ya barabara alikoswa na risas nyingi sana,ina maana askar wetu hawana shabaha nzur,risas ni nyingi sana zilizo mkosa..
HajafaHuyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema
Mnamsifu kufanya approach ya kiboya. Maajabu hayatakaa yakome dunianiKama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari