JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Stupidity,amekufa kipumbavu,alizoea kukamata raia na wapinzani,He is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stupidity,amekufa kipumbavu,alizoea kukamata raia na wapinzani,He is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do
Kiukweli covering ilikuwa ya hali ya chini ila yote kwa yote "soldier born to die for others"Ila ilikuwa ni reckless move, hata alipoanza kukimbia, jamaa angekuwa serious kidogo, huyo shujaa asingekuwepo sasa.
Waliokuwa wanamfanyia covering walikuwa wanapiga off-target by far na pengine wakimlenga yeye wakidhani ndo wanam-cover😅
Acha uongo wewe. Alimrushia saa ngap wakati alikuwa ashalambwa ya mguu anaugulia maumivu amekaa ametuliaa. Usitufanye wajinga banaNdiye aliyemrushia tear gas ndo akatoka kwenye kibanda baada ya kuzidiwa na moshi.
WAlimpiga Lissu 16 zote mwilini na chuma bado anadunda, dahHuyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?
Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo, kaacha Dona kizembe sana.
Wewe endelea na kejeli za nyuma ya keyboard ila ipo siku utatamani hata huyo unaemuona boya ajitokeze kukuokoa.Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
Kabla hajapigwa na yeye si alikua amesharusha kadhaa au wewe sema haujaonaAcha uongo wewe. Alimrushia saa ngap wakati alikuwa ashalambwa ya mguu anaugulia maumivu amekaa ametuliaa. Usitufanye wajinga bana
Video games, youtubeSidhani kama amepona..maana ameonewa kama tatu HIV au nne..hivi huyo jamaaa mijegejo amejulia wapi kuitumia
Wa kundi ganiKwa nini mkuu??
Kama sio gaidi unahisi ni nani??
Humu kuna watu wanatoa maoni kwa kutumia elimu walizozipata katika filamu za rambo zilizotafsiriwa.Wewe endelea na kejeli za nyuma ya keyboard ila ipo siku utatamani hata huyo unaemuona boya ajitokeze kukuokoa.
Sidhan kama hii reply ilikuhusu wewe mkuu!!Wa kundi gani
Kuna watu mlio wa risasi anaishia kuusikia kwenye magame huko online, lakini anakuja hapa kumkejeli mtu aliyejitolea kuingia katikati ya milio ya risasi kwa faida ya wengi. Pia ieleweke kwa askari kufa kwa risasi ni sehemu ya maisha yake bila kujali kuna uzembe au hakuna.Mimi nilichoona ni kwamba inawezekana kabisa huyo "Gaidi" alikuwa na Bullet Proof ndo maana walikuwa wanamkosa. Pia yule Askari alikuwa na Bullet proof pia namwona ni shujaa kabisa kwa jinsi alivyokwenda pale. Lakini pia kwa kuwa jamaa alikuwa ktk kibada iilikuwa sawa kutumia mabomu ya machozi kupamba na yule ili atoke. Kejeli za baadhi yenu zinanifanya niamini utafiti kuwa katika kila waTZ watano wanne wana jalada la matibabu Milemba
Mtu alishabanwa kwenye kona kulikuwa na haja gani ya kumsogelea ,kifupi alikoseaKama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari
Askar mezembe sana huyo washazoea kusumbua wapinzani tu hawana mbinu wala weredi wowote wamejawa maigizo tu , SGA na pistol wapi na wapi, SGA huwa wanatumia magoboleHuyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?
Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo, kaacha Dona kizembe sana.
Mkuu hivi unafikiri askari wengi wana shabaha ya kufanya covering.? huyo askari angeweza kuuawa na wenzake.. maana walikuwa wanarusha off targetHapo ndo naona Kuna tatizo, Police hawakujiandaa au mafunzo ya kutosha hafifu.
Askari yule Kama Kuna Askari mwenzake angefanya Cover ya kutosha Risasi kwenye kibanda mfululizo, naamini huyo angekua wa kwanza kumdungua huyo Msomali!
But kapigwa Risasi coz muda mwingi alikua anaomba Cover kwa Ishara ya mikono, mpaka anapigwa Risasi.
Hawa Police hata Movie hawaangalii? Namba unaweza kufanya Cover kwa mwenzako aliyesogea front....
Wakati unauawa na kuacha mkeo akiwa mjane na watoto wako wakiwa yatima.hiyo ndo mbinu ya kupandishwa cheo
Hamza mwanaume n nusuHuyu askari Mimi namwona shujaa bana