Nani anaendesha nchi endapo Rais na Makamu wa Rais watakuwa nje ya nchi?

Nani anaendesha nchi endapo Rais na Makamu wa Rais watakuwa nje ya nchi?

Waziri Mkuu ndiye anashika hatamu ya uongozi wa nchi!
Spika mkuu
Screenshot_2022-05-23-18-06-48-35_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaumia sana Samia kuongoza nchi, vumilia tu kwani sidhani kama una ujanja wa kubadili chochote.
Siumii Samia kuongoza nchi bali naumia anaejiita kuwa ni Rais wa nchi kuhamasisha ufisadi katika Taifa
 
Ata wanapokuwepo matatizo au maamuzi yote ya kiserikali huwa anayatafutia ufumbuzi waziri mkuu.

Bi Tozo na makamu wake kazi yao uwa kufungua miradi, kuhudhuria makongamano, kuteuliwa na kuapisha; wakimaliza hao wanakwea pipa wanapojua nje ya nchi.
Ukiwa mdogo utatumwa na kutumikiashwa..

Ndio Kazi ya PM,mwambie asiwataje hao huko anakotatua matatizo aone moto..
 
Kwa nini Spika wa bunge badala ya waziri mkuu ??
3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.

(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi

c) Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
 
Anaye achiwa kuendesha nchi anaamrisha mambo yote au baadhi tu? Kwa maana ya kuendesha mpaka uamiri jeshi mkuu?
 
3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.

(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi

c) Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
Waziri mkuu je?
 
Back
Top Bottom