Weka ushahidi, waziri mkuu ni mwiko kusogelea kiti hicho.Mabadiliko ya mwisho ya katiba yaliweka chain of command namna hii
1. Rais
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu
4. Spika wa Bunge la JMT
5. Jaji Mkuu wa Mahakama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka ushahidi, waziri mkuu ni mwiko kusogelea kiti hicho.Mabadiliko ya mwisho ya katiba yaliweka chain of command namna hii
1. Rais
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu
4. Spika wa Bunge la JMT
5. Jaji Mkuu wa Mahakama
Rais amebaki kuteua,kutengua na kuyatamka mambo yaliyofanywa na VP.Makamu anapambana sana, ndo anafanya shughuli zote za ofisini alizopaswa kufanya Rais, ukitaka kufahamu hilo nenda Dodoma
JK tupo naye hapa Kawe Beach.Autopilot. Incase kama kuna dharula Jakaya yupo msoga for further use [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Katiba ilibadilishwa kumuweka PM hapo. Version ya mwaka 2005.Weka ushahidi, waziri mkuu ni mwiko kusogelea kiti hicho.
Ahsanteeee.Katiba ilibadilishwa kumuweka PM hapo. Version ya mwaka 2005.
Katiba English Version toleo la 2005
View attachment 2236574
Kwa Katiba Ipi?Waziri Mkuu ndiye anashika hatamu ya uongozi wa nchi!
Kwasasa Tulia ndio Amiri jeshi mkuu ana Nuclear code zote3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.
(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi
c) Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
Marekebisho ya Katiba yaliwaondoa Spika na Jaji Mkuu kwa maelezo kwamba mkuu wa mhimili mmoja hawezi kuongoza mhimili mwingine. Kwahiyo, kwa sasa kama wote hawapo Waziri Mkuu ndiye anaongoza.3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.
(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi
c) Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
Betina ni Mkuu wa muhimili wa Bunge hahusiani na mambo ya serikali! Kila muhimili unajitegemea na haiingiliani!Huyo Waziri Mkuu yupo chini ya Betina.
Katiba ya mwaka gani hii umeandika? Soma katiba ya mwaka 2005!
Mabadiliko ya katiba ya mwaka 2005.Kwa Katiba Ipi?
Jk anafanyaje hapo? Asije kujisahau akanza kunywa mipombe wakati ameachiwa zamu na mwanafunzi wakeJK tupo naye hapa Kawe Beach.
Wanabadili kimya kimya!!! ukute hata ukomo jamaa yule alishabadili Kwa kitabu, KATIBA mpya ni muhimu, Ielekeze kuwa ASIWEPO yeyote atakaeweza kuibadili kifungu chochote ktk Katiba bila ridhaa ya wananchi, hata wabunge wasiruhusiwe.AmenMarekebisho ya Katiba yaliwaondoa Spika na Jaji Mkuu kwa maelezo kwamba mkuu wa mhimili mmoja hawezi kuongoza mhimili mwingine. Kwahiyo, kwa sasa kama wote hawapo Waziri Mkuu ndiye anaongoza.
Sawa.Betina ni Mkuu wa muhimili wa Bunge hahusiani na mambo ya serikali! Kila muhimili unajitegemea na haiingiliani!
Mstaafu aliyegoma kustaafu, kustaafishwa.JK tupo naye hapa Kawe Beach.
Angelina Jolie wa visiwa vya karafuu katika ubora wakeUkiwa mjinga ukaona mikwara kama hii unaweza kufikiri kuwa nchi ina Rais😁😁😁
View attachment 2235351
Jana ilikuwa ni vituko vitupu huko bungeni, no kasikia CHAWA wa TULIA Ackson akaomba uwanja wa ndege songwe uitwe TULIA ACKSON,Naye majaliwa akawapeleka kina Julio ma namungo bungeni kuwasalimia wabunge,yote haya waliamini wanakaimu uraisi.Weka ushahidi, waziri mkuu ni mwiko kusogelea kiti hicho.
Ndiyo "home away from home" kwake. Machinjioni.Jk anafanyaje hapo? Asije kujisahau akanza kunywa mipombe wakati ameachiwa zamu na mwanafunzi wake