Nani anaendesha nchi endapo Rais na Makamu wa Rais watakuwa nje ya nchi?

Nani anaendesha nchi endapo Rais na Makamu wa Rais watakuwa nje ya nchi?

Makamu anapambana sana, ndo anafanya shughuli zote za ofisini alizopaswa kufanya Rais, ukitaka kufahamu hilo nenda Dodoma
Rais amebaki kuteua,kutengua na kuyatamka mambo yaliyofanywa na VP.
Huo ndio ukweli.
Dr. Mpango anapiga kazi zote za kutumia ubongo.
 
Weka ushahidi, waziri mkuu ni mwiko kusogelea kiti hicho.
Katiba ilibadilishwa kumuweka PM hapo. Version ya mwaka 2005.

Katiba English Version toleo la 2005


1653378052031.png
 
3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.

(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi

c) Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
Kwasasa Tulia ndio Amiri jeshi mkuu ana Nuclear code zote
 
3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.

(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi

c)Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
Marekebisho ya Katiba yaliwaondoa Spika na Jaji Mkuu kwa maelezo kwamba mkuu wa mhimili mmoja hawezi kuongoza mhimili mwingine. Kwahiyo, kwa sasa kama wote hawapo Waziri Mkuu ndiye anaongoza.
 
Marekebisho ya Katiba yaliwaondoa Spika na Jaji Mkuu kwa maelezo kwamba mkuu wa mhimili mmoja hawezi kuongoza mhimili mwingine. Kwahiyo, kwa sasa kama wote hawapo Waziri Mkuu ndiye anaongoza.
Wanabadili kimya kimya!!! ukute hata ukomo jamaa yule alishabadili Kwa kitabu, KATIBA mpya ni muhimu, Ielekeze kuwa ASIWEPO yeyote atakaeweza kuibadili kifungu chochote ktk Katiba bila ridhaa ya wananchi, hata wabunge wasiruhusiwe.Amen
 
Weka ushahidi, waziri mkuu ni mwiko kusogelea kiti hicho.
Jana ilikuwa ni vituko vitupu huko bungeni, no kasikia CHAWA wa TULIA Ackson akaomba uwanja wa ndege songwe uitwe TULIA ACKSON,Naye majaliwa akawapeleka kina Julio ma namungo bungeni kuwasalimia wabunge,yote haya waliamini wanakaimu uraisi.
 
Back
Top Bottom