Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mmezoea chuki za kuteka wapinzani,kutesa,kuua,kufunga wapinzani kwa kesi za mchongo na kadhalika kwa hiyo mmekariri kuwa siasa ni chukiπππWenzio walienda ikulu juzi kula visheti, wewe unanyambanyamba tu hapa jamii forum.
View attachment 2235363
Huyo ni mtu mdogo mno.Waziri mkuu ndiyo namba tatu halafu Jaji mkuu
Huyo Waziri Mkuu yupo chini ya Betina.Waziri Mkuu ndiye anashika hatamu ya uongozi wa nchi!
Tulia we gringo mgerasi.Mimi
Supika, kama naye hayupo Jaji Mkuu.Katiba yetu inasemaje kuhusu chain of command, najua Rais akiwa hayupo Makamu hukaimu, sasa nimesikia Rais na yeye anaondoka ina maana Rais na Makamu wake wote wako oversees, nani anakaimu?
Unaumia sana Samia kuongoza nchi, vumilia tu kwani sidhani kama una ujanja wa kubadili chochote.Ukiwa mjinga ukaona mikwara kama hii unaweza kufikiri kuwa nchi ina Raisπππ
View attachment 2235351
Katiba huyo hapoKatiba yetu inasemaje kuhusu chain of command, najua Rais akiwa hayupo Makamu hukaimu, sasa nimesikia Rais na yeye anaondoka ina maana Rais na Makamu wake wote wako oversees, nani anakaimu?
Aahh Ncha Kali ????Tulia we gringo mgerasi.
Siumii Samia kuongoza nchi bali naumia anaejiita kuwa ni Rais wa nchi kuhamasisha ufisadi katika TaifaUnaumia sana Samia kuongoza nchi, vumilia tu kwani sidhani kama una ujanja wa kubadili chochote.
Kinukishe tuu mkuu utamjuaKatiba yetu inasemaje kuhusu chain of command, najua Rais akiwa hayupo Makamu hukaimu, sasa nimesikia Rais na yeye anaondoka ina maana Rais na Makamu wake wote wako oversees, nani anakaimu?
Ukiwa mdogo utatumwa na kutumikiashwa..Ata wanapokuwepo matatizo au maamuzi yote ya kiserikali huwa anayatafutia ufumbuzi waziri mkuu.
Bi Tozo na makamu wake kazi yao uwa kufungua miradi, kuhudhuria makongamano, kuteuliwa na kuapisha; wakimaliza hao wanakwea pipa wanapojua nje ya nchi.
ππππWenzio walienda ikulu juzi kula visheti, wewe unanyambanyamba tu hapa jamii forum.
View attachment 2235363
Siumii Samia kuongoza nchi bali naumia anaejiita kuwa ni Rais wa nchi kuhamasisha ufisadi katika Taifa
View attachment 2236073
3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.
(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi
c) Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
Waziri mkuu je?3) Ikitokea kwamba Kiti cha Rais ki wazi kutokana na
masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (2) au endapo kiti cha
Rais kiwazi kutokana na sababu nyingine yoyote, na endapo
Rais atakuwa hayupo katika Jamhuri ya Muungano, kazi na
shuhguli za Rais zitatekelezwa na mmoja wapo na wafuatao, kwa
kufuata orodha kama ilivyopangwa, yaani-
(a) Makamu wa Rais au kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi.
(b) Spika wa Bunge au, kama nafasi yake iwazi au kama
naye hayupo au ni mgonjwa; basi
c) Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya
Muungano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Waziri Mkuu yupo chini ya Betina.