Nani anaendesha nchi endapo Rais na Makamu wa Rais watakuwa nje ya nchi?

K
Kidogo leo umeandika kitu cha ukweli
 
Katiba yetu inasemaje kuhusu chain of command, najua Rais akiwa hayupo Makamu hukaimu, sasa nimesikia Rais na yeye anaondoka ina maana Rais na Makamu wake wote wako oversees, nani anakaimu?
Waziri Mkuu Jombaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…