Kumbe wa ni MsongatiHuyu amefoji vyeti! Wafanyakazi hatuko tayari kuongozwa na Daudi Albert Bashite. Alistahili kutumbuliwa mapema! Ila ndiyo hivyo tena, double standard ilifanya kazi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wa ni MsongatiHuyu amefoji vyeti! Wafanyakazi hatuko tayari kuongozwa na Daudi Albert Bashite. Alistahili kutumbuliwa mapema! Ila ndiyo hivyo tena, double standard ilifanya kazi yake.
Hamna kitu ana tamaa kwa ajili ya visenti alimkandamiza marehemu Mzee Mengi na kuwakumbatia wahindi.Wilson Mutagaywa Kajumula Masiling is a Tanzanian politician and diplomat. He is Tanzania's Ambassador to the United States after having served as Ambassador to the Kingdom of the Netherlands from March 2013.
Huyu nae ana faa japo umri 64....
Na kama alichaguliwa kwa kupigiwa kura kawa Rais wa vyao vikuu Tanzania, basi nchi ina matatizo makubwa.Atakuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa Kwanza form 4 failure, aliyegushi jina. Nayo itakuwa miongoni mwa maajabu ya Dunia.
Ni afadhali babu taletale Mara Mia Tena huenda akapeleka building and Finance ikuluKumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....
Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.
Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.
Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?
#VaaBarakoaCoronaIpo
Nachoweza kusema ni kuwa yuko vizuri kama wewePaul Makonda yupo vzr sana aiseeeee na ndio maana anapigwa mawe sana aliiiweza DSM 100%
Kuwa ngosha kusikufanye kua zwazwa.Paul Makonda yupo vzr sana aiseeeee na ndio maana anapigwa mawe sana aliiiweza DSM 100%
Mama Gwajima anafaa
Suala la elimu lingekuwa muhimu Mbowe asingekuwa Mwenyekiti.Huyu amefoji vyeti! Wafanyakazi hatuko tayari kuongozwa na Daudi Albert Bashite. Alistahili kutumbuliwa mapema! Ila ndiyo hivyo tena, double standard ilifanya kazi yake.
Huyu huyu Bashite [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]sidhan
ile nafas inahitaj mtu mkongwe zaidi na mwenye uzoefu.kwa makonda kwAnza nasikitikaga sana kutomuona kwenye siasa.ana kipaji mbunifu na ana haiba ya uongoz .mnawwez kumhukum mnavyoona inafaa lakn haiba na charismatic ya uongoz anayo.yale mengine ni umr kumbuka ni kijana mdogo so mengine mnamuachia.ila kipaji anacho na siasa tu vile ni dirty games ila Kaliba ya makonda was not something to leave behind.
Mbona kwa Mzee Mrisho hujahoji?Butiku aliwahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
Naunga mkono hoja .Mama Gwajima anafaa
kampleke kwenu nyumbani awe KMK wa familia yenu apat uzoefu huko kwanzaKumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....
Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.
Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.
Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?
#VaaBarakoaCoronaIpo
Kapumzike Mkuu,Mbona Povu Sana 😁😁😁kampleke kwenu nyumbani awe KMK wa familia yenu apat uzoefu huko kwanza
Rekebisha Kiswahili,(Helimu-Elimu)Kwani Makonda helimu yake kaishia wapi,naomba maelezo kwa anaye fahamu
Kumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....
Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.
Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.
Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?
#VaaBarakoaCoronaIpo
Kama vile Ukatibu Mkuu Kiongozi imekuwa cheo cha kisiasa. Kumbe ni nafasi nyeti utumishi wa umma. Aibu sana hii....Kumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....
Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.
Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.
Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?
#VaaBarakoaCoronaIpo