Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Wilson Mutagaywa Kajumula Masiling is a Tanzanian politician and diplomat. He is Tanzania's Ambassador to the United States after having served as Ambassador to the Kingdom of the Netherlands from March 2013.

Huyu nae ana faa japo umri 64....
Hamna kitu ana tamaa kwa ajili ya visenti alimkandamiza marehemu Mzee Mengi na kuwakumbatia wahindi.
 
Atakuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa Kwanza form 4 failure, aliyegushi jina. Nayo itakuwa miongoni mwa maajabu ya Dunia.
Na kama alichaguliwa kwa kupigiwa kura kawa Rais wa vyao vikuu Tanzania, basi nchi ina matatizo makubwa.

Na akiwa Katibu Mkuu kiongozi itakuwa sawa tuu kwa kuwa wanafuata maamuzi ya vyao vikuu Tanzania waliyo yafanya miaka mingi iliyopita. . .
 
Kumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....

Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.

Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.

Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?

#VaaBarakoaCoronaIpo
Ni afadhali babu taletale Mara Mia Tena huenda akapeleka building and Finance ikulu
 
Mama Gwajima anafaa
1613807215322.png
 
Huyu amefoji vyeti! Wafanyakazi hatuko tayari kuongozwa na Daudi Albert Bashite. Alistahili kutumbuliwa mapema! Ila ndiyo hivyo tena, double standard ilifanya kazi yake.
Suala la elimu lingekuwa muhimu Mbowe asingekuwa Mwenyekiti.
 
sidhan
ile nafas inahitaj mtu mkongwe zaidi na mwenye uzoefu.kwa makonda kwAnza nasikitikaga sana kutomuona kwenye siasa.ana kipaji mbunifu na ana haiba ya uongoz .mnawwez kumhukum mnavyoona inafaa lakn haiba na charismatic ya uongoz anayo.yale mengine ni umr kumbuka ni kijana mdogo so mengine mnamuachia.ila kipaji anacho na siasa tu vile ni dirty games ila Kaliba ya makonda was not something to leave behind.
Huyu huyu Bashite [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kwani Makonda helimu yake kaishia wapi,naomba maelezo kwa anaye fahamu
 
Kumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....

Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.

Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.

Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?

#VaaBarakoaCoronaIpo
kampleke kwenu nyumbani awe KMK wa familia yenu apat uzoefu huko kwanza
 
Usiseme akipewa hicho cheo kitamkomaza kisiasa sema akipewa hicho cheo atazidi kuwa limbukeni na kujiona mungu mtu.
Kumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....

Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.

Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.

Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?

#VaaBarakoaCoronaIpo
 
Ukisoma vitu kama hivi ndio unaelewa kuwa IQ za watanzania wengi ziko chini ya s za sokwe.
Hiyo mtu haelewi nafasi ya katibu mkuu, anadhani ni msogeza mafaili ya ikulu
 
Kumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....

Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.

Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.

Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?

#VaaBarakoaCoronaIpo
Kama vile Ukatibu Mkuu Kiongozi imekuwa cheo cha kisiasa. Kumbe ni nafasi nyeti utumishi wa umma. Aibu sana hii....
 
Back
Top Bottom