Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acheni hizo propaganda fake kuhusu bangi nyie ndio mnafanya bangi ionekane ni mbaya wakati hata pafu moja ujawai kuvuta.Ukiambiwa bangi haifai wewe unatupa stori za bob marley
Una maanisha makondaKumekucha Wakuu,Mungu Ni Mwema.....
Kiukweli Nimejaribu Kuvuta Macho na Kuangalia Watendaji Wa Mh Magufuli Kuona Ni Nani Atakaye Ziba Pengo La Mh Balozi Kijazi (R.I.P) Sijaona Wa Kuendana Nae Zaidi Ya Makonda.
Huyu Kijana Anafaa Sana Na Hii Nafasi Kama Makonda Ataipewa Itamkomaza Sana Kisiasa Na Atajakuwa Mtu Muhimu Sana Kwa Taifa Letu.
Mnaonaje Wakulungwa? Macho Yenu Yanaona Kama Mimi?
#VaaBarakoaCoronaIpo
[emoji28][emoji23]Achana na mmea haukufai
Ukiwa mkuu wa mkoa unaongoza wajinga wengi.Ukiwa kmk unaongoza watu muhimu
Yuko Emmanuel Nchimbi. Anaijua Tanzania, anaijua Ccm. Ni mtoto wa CcmHakuna katibu mkuu wa wizara mwenye uwezo wa ukatibu mkuu kiongozi, wengi waliopo wameingia bila uzoefu jambo linalowakwamisha kuyajua mambo mengi. Lakini pia wengi hawana expossure kama alivyokuwa Sefue na Kijazi.
Turufu inabaki kwenye vyombo vya dola na ubalozini, tutegemee jina jipya
Paul Christian yuko kijijini analima viaziUnamzungumzia Paul Christian Makonda au Daud Albert Bashite?