The Hebrew
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 348
- 445
Mchango wako mzuri ila ilipoweka makabila tu maeneo waonatoka ndo ukaharibu kabisa. Umetutoa katika utaifa ukatugawa, mbona hujaongelea na dini ili ukamilishe zoezi lako na adhma yako.Kwangu mimi ni huyo huyo. Dr. Laurian Ndumbaro. Ana utulivu. Haonekani kuwa na mihemko. Hata kama umri umeenda lkn hiyo nafasi yenyewe inahitaji hao wenye umri mkubwa. Anaonekana ni mmatengo/mngoni wa mkoa wa Ruvuma((Mbinga.)
Wa pili ni Prof. Faustine Bee ambaye kwa sasa ni VC wa UDOM. Ameituliza udom ambayo ilianza kutokuwa na utulivu kati ya watumishi. Huyu aliwahi kuongoza chuo cha Ushirika-Moshi. Inaonekana ni muiraq wa mkoa wa Manyara/Arusha(Karatu)
3. Professor Victor Samwel Manyele. Huyu aliwahi kuwa Mkemia Mkuu wa serikali. Ni mtu wa Rukwa, wilaya ya Kalambo(Mfipa).
4. David Mfinanga; DVC-Admin UDSM- Mhandisi wa Transportation. Huyu ni mpare. Changamoto yake ni Sefue ametoka juzi tu. Sefue naye alikuwa mpare.
5; Elius Mwakalinga; Huyu ni aktekt(Arch.) Katibu mkuu-Ujenzi, Ni mnyakyusa wa Kyela.
6. Tito Mwinuka; Huyu ni mhandisi wa umeme. Ni mkurugenzi wa TANESCO kwa sasa. Ni mbena huyu.
Kazi kwenu vikosi vya vetting na kamati za uteuzi. Lakini tusubiri mdudu apoe kidogo ndio shughuli zianze.