Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tofauti ya mwanasiasa na mtumishi wa umma, aliyepita aliteuliwa akiwa balozi, kwa cheo hicho alikuwa mwanasiasa au mtumishi wa umma..Wadau japo ni mapema sana, ila tutambue katibu mkuu kiongozi lazima/kawaida atakuwa ni mtumishi wa umma, kwahiyo tusitaje majina ya wanasiasa.
Kufa kufaana.Hata maiti hajaoshwa mmeshaanza kuvizia nafasi?
Ajue kusoma na kuandikaKatibu mkuu Kiongozi anatakiwa awe na sifa gani?
Kwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.
Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.
Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.
Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo elewa kuwa unafaa na jamii inakukubali hivyo unapaswa kuendeleza imani hiyo kwa jamii inayokuzunguka.
Swali liko hapo juu, wewe wadhani nani anaweza kuvaa kiatu cha Injinia na kwa nini unamfikiria huyo?
Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro
Kwanini:-
Ni mchapa kazi, ana uzoefu wa muda mrefu kazini na ametulia-hana mapepe mapepe.
2........
3........
4......
Yeah, lakini kutokana na unyeti wa hii nafasi haihitaji Mtu aina ya COMMEDIAN!!!!!Aggrey Mwanri atatufaaa
Mkuu, kuna mabalozi wanaoteuliwa kutoka maeneo mawili tofauti, kuna wanaoteuliwa kutokea kwenye siasa na kuna wanaoteuliwa kutokea ndani ya serikali (watumishi wa umma). Balozi Kijazi kabla ya kuwa balozi alikuwa ni mtumishi wa umma kwenye wizara ya miundombinu/ujenzi, ndio baadaye akateuliwa kuwa balozi. Kwahiyo, mzee Kijazi hakuwa mwanasiasa. Chikawe, Nchimbi, Dr. Nsekela, Dr. Slaa n.k. hawa ni mfano wa mabalozi walioteuliwa kutokea kwenye siasa, kwahiyo sio rahisi watu kama hawa kuwa katibu mkuu kiongozi. Mberwa Kairuki, Ramadhani Dau na Ernest Mangu ni mfano wa mabalozi walioteuliwa kutokea kwenye utumishi wa umma. Hope umenipata.Nini tofauti ya mwanasiasa na mtumishi wa umma, aliyepita aliteuliwa akiwa balozi, kwa cheo hicho alikuwa mwanasiasa au mtumishi wa umma..
1.Atafutwe anayejua sheria,kanuni za utumishi wa umma.maana Viongozi wamekuwa wanakiuka Sheria,kanuni na taratibu mbalimbali.Kwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.
Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.
Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.
Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo elewa kuwa unafaa na jamii inakukubali hivyo unapaswa kuendeleza imani hiyo kwa jamii inayokuzunguka.
Swali liko hapo juu, wewe wadhani nani anaweza kuvaa kiatu cha Injinia na kwa nini unamfikiria huyo?
Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro
Kwanini:-
Ni mchapa kazi, ana uzoefu wa muda mrefu kazini na ametulia-hana mapepe mapepe.
2........
3........
4......
Dr. Laurean Ndumbaro kampeleka mwanamama mmoja kwenye taasisi nyeti aana ya umma huko kusini kuwa Mkurugenzi wa Fedha wakati hana hiyo sifa, hajawai kufanya hiyo kazi na wala hajawi kuwa registered na NBAA.Kwani IKAMA inasemaje??...Mkurugenzi wa Fedha ni lazima awe aliesomea mambo ya fedha na sio vinginevyo!!!
Kinachoongoza kupata mtu sahihi ni mahitaji ya nafasi hiyo kwa wakati huu..au wadhifa na sifa yaani, lazima awe injinia, au daktari au mtumishi wa umma, au mganga wa tiba asili nk..kwa akili yako wewe, kitu gani cha kuangalia..fikiri zaidi ya unachoona kwa macho au kusikia, itakusaidia.Mkuu, kuna mabalozi wanaoteuliwa kutoka maeneo mawili tofauti, kuna wanaoteuliwa kutokea kwenye siasa na kuna wanaoteuliwa kutokea ndani ya serikali (watumishi wa umma). Balozi Kijazi kabla ya kuwa balozi alikuwa ni mtumishi wa umma kwenye wizara ya miundombinu/ujenzi, ndio baadaye akateuliwa kuwa balozi. Kwahiyo, mzee Kijazi hakuwa mwanasiasa. Chikawe, Nchimbi, Dr. Nsekela, Dr. Slaa n.k. hawa ni mfano wa mabalozi walioteuliwa kutokea kwenye siasa, kwahiyo sio rahisi watu kama hawa kuwa katibu mkuu kiongozi. Mberwa Kairuki, Ramadhani Dau na Ernest Mangu ni mfano wa mabalozi walioteuliwa kutokea kwenye utumishi wa umma. Hope umenipata.
Mbali ya kuwa huyo mwanamke aliyepelekwa kwenye hiyo taasisi nyeti ya umma kuwa Mkurugenzi wa Fedha, pia hana maadili ya kuwa kiongozi katika ngazi hiyo; she is too sliperly, mpenda majungu, mbabaishaji katika na mjanjamjanja tu.Dr. Laurean Ndumbaro kampeleka mwanamama mmoja kwenye taasisi nyeti aana ya umma huko kusini kuwa Mkurugenzi wa Fedha wakati hana hiyo sifa, hajawai kufanya hiyo kazi na wala hajawi kuwa registered na NBAA.
Watu wanajiuliza, ni kitu gani kimempata Dr. Laurean Ndumbaro??, je wahasibu na wakaguzi wa mahesabu wameisha Tz mpaka akapelekwa mtu aliyesoma Sociology???
Katanga. Mark thisWafuatao wanaweza kuteuliwa
1. Kusiluka katibu ofisi ya Rais
2. Ngusa ktb wa Rais na mniikulu
3. Prof Gabriel Km wizara mifugo
4. Ras Tabora
5- Ras mtwara
6.Kwakuwa Kijazi alitokea ubalozi india tusishange kuona Balozi mmojawapo
7. Kama ni mwanasiasa basi awe na historia ya utendaji
Kwa hiyo Dr. Laurean Ndumbaro hafai kuwa KMK, hata nafasi aliyopo sasa inatakiwa liangaliwe.Mbali ya kuwa huyo mwanamke aliyepelekwa kwenye hiyo taasisi nyeti ya umma kuwa Mkurugenzi wa Fedha, pia hana maadili ya kuwa kiongozi katika ngazi hiyo; she is too sliperly, mpenda majungu, mbabaishaji katika na mjanjamjanja tu.
[emoji23][emoji23]Jiwe hua hafundishwi! Yeye kama kocha anajua nani acheze kipindi cha kwanza na nani atokee sub.