Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Kwani fomu zimetoka? Kama hivyo wachukue fomu wahitaji wa hiyo nafasi!!
 
Hey, kumbe kujipigia chapuo inaruhusiwa eeh!? Basi mimi Hero, nafaa sana! Ni muadirifu, mchapa kazi, mzalendo, mpole kiasi, mcha Mungu, Msomi, mpenda maendeleo, mwenye kujiamini, na kimsingi napenda watumishi wa umma waboreshewe maslahi yao! Sipendi vyeti feki, wazembe, wala rushwa, watumishi miungu watu, wezi, waongo nk!
Unaona eeh, hata huku nje ya box tupo, siyo wewe Ndumba...tu!
Kimsingi, tumuombe Mungu aendelee kumpa ufunuo mpendwa rais wetu ili atuteulie kifaa zaidi ya mpendwa wetu Kijazi! RIP comred, tutakukumbuka daima!
 
Kwangu mimi ni huyo huyo. Dr. Laurian Ndumbaro. Ana utulivu. Haonekani kuwa na mihemko. Hata kama umri umeenda lkn hiyo nafasi yenyewe inahitaji hao wenye umri mkubwa. Anaonekana ni mmatengo/mngoni wa mkoa wa Ruvuma((Mbinga.)

Wa pili ni Prof. Faustine Bee ambaye kwa sasa ni VC wa UDOM. Ameituliza Udom ambayo ilianza kutokuwa na utulivu kati ya watumishi. Huyu aliwahi kuongoza chuo cha Ushirika-Moshi. Inaonekana ni muiraq wa mkoa wa Manyara/Arusha(Karatu)

3. Professor Victor Samwel Manyele. Huyu aliwahi kuwa Mkemia Mkuu wa serikali. Ni mtu wa Rukwa, wilaya ya Kalambo(Mfipa).

4. David Mfinanga; DVC-Admin UDSM- Mhandisi wa Transportation. Huyu ni Mpare. Changamoto yake ni Sefue ametoka juzi tu. Sefue naye alikuwa Mpare.

5; Elius Mwakalinga; Huyu ni aktekt(Arch.) Katibu mkuu-Ujenzi, Ni mnyakyusa wa Kyela.

6. Tito Mwinuka; Huyu ni mhandisi wa umeme. Ni mkurugenzi wa TANESCO kwa sasa. Ni Mbena huyu.
Kazi kwenu vikosi vya vetting na kamati za uteuzi. Lakini tusubiri mdudu apoe kidogo ndio shughuli zianze.
 
Kwangu mimi ni huyo huyo. Dr. Laurian Ndumbaro. Ana utulivu. Haonekani kuwa na mihemko. Hata kama umri umeenda lkn hiyo nafasi yenyewe inahitaji hao wenye umri mkubwa. Anaonekana ni mmatengo/mngoni wa mkoa wa Ruvuma((Mbinga.)
Wa pili ni Prof. Faustine Bee ambaye kwa sasa ni VC wa UDOM. Ameituliza udom ambayo ilianza kutokuwa na utulivu kati ya watumishi. Huyu aliwahi kuongoza chuo cha Ushirika-Moshi. Inaonekana ni muiraq wa mkoa wa Manyara/Arusha(Karatu)
3. Professor Victor Samwel Manyele. Huyu aliwahi kuwa Mkemia Mkuu wa serikali. Ni mtu wa Rukwa, wilaya ya Kalambo(Mfipa).
4. David Mfinanga; DVC-Admin UDSM- Mhandisi wa Transportation. Huyu ni mpare. Changamoto yake ni Sefue ametoka juzi tu. Sefue naye alikuwa mpare.
5; Elius Mwakalinga; Huyu ni aktekt(Arch.) Katibu mkuu-Ujenzi, Ni mnyakyusa wa Kyela.
6. Tito Mwinuka; Huyu ni mhandisi wa umeme. Ni mkurugenzi wa TANESCO kwa sasa. Ni mbena huyu.
Kazi kwenu vikosi vya vetting na kamati za uteuzi. Lakini tusubiri mdudu apoe kidogo ndio shughuli zianze.
Nimependa unavyowajua hawa watu,tuseme tu,yeyote kati hao uliotupa
 
Kwangu mimi ni huyo huyo. Dr. Laurian Ndumbaro. Ana utulivu. Haonekani kuwa na mihemko. Hata kama umri umeenda lkn hiyo nafasi yenyewe inahitaji hao wenye umri mkubwa. Anaonekana ni mmatengo/mngoni wa mkoa wa Ruvuma((Mbinga.)
Wa pili ni Prof. Faustine Bee ambaye kwa sasa ni VC wa UDOM. Ameituliza udom ambayo ilianza kutokuwa na utulivu kati ya watumishi. Huyu aliwahi kuongoza chuo cha Ushirika-Moshi. Inaonekana ni muiraq wa mkoa wa Manyara/Arusha(Karatu)
3. Professor Victor Samwel Manyele. Huyu aliwahi kuwa Mkemia Mkuu wa serikali. Ni mtu wa Rukwa, wilaya ya Kalambo(Mfipa).
4. David Mfinanga; DVC-Admin UDSM- Mhandisi wa Transportation. Huyu ni mpare. Changamoto yake ni Sefue ametoka juzi tu. Sefue naye alikuwa mpare.
5; Elius Mwakalinga; Huyu ni aktekt(Arch.) Katibu mkuu-Ujenzi, Ni mnyakyusa wa Kyela.
6. Tito Mwinuka; Huyu ni mhandisi wa umeme. Ni mkurugenzi wa TANESCO kwa sasa. Ni mbena huyu.
Kazi kwenu vikosi vya vetting na kamati za uteuzi. Lakini tusubiri mdudu apoe kidogo ndio shughuli zianze.
Wilbroad Slaa
 
Badala ya kuongelea maradhi yanayoteketeza taifa unauliza upuuzi!!? mshafundishwa kutojali maisha yawatu na jiwe siyo
 
Wafuatao wanaweza kuteuliwa
1. Kusiluka katibu ofisi ya Rais
2. Ngusa ktb wa Rais na mniikulu
3. Prof Gabriel Km wizara mifugo
4. Ras Tabora
5- Ras mtwara
6.Kwakuwa Kijazi alitokea ubalozi india tusishange kuona Balozi mmojawapo
7. Kama ni mwanasiasa basi awe na historia ya utendaji
Hata Prof. Mabula Mchembe anafaa sana.
 
Kwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.

Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.

Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.

Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo elewa kuwa unafaa na jamii inakukubali hivyo unapaswa kuendeleza imani hiyo kwa jamii inayokuzunguka.

Swali liko hapo juu, wewe wadhani nani anaweza kuvaa kiatu cha Injinia na kwa nini unamfikiria huyo?

Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro

Kwanini:-

Ni mchapa kazi, ana uzoefu wa muda mrefu kazini na ametulia-hana mapepe mapepe.

2........

3........

4......
a. kidata
 
Hata Prof. Mabula Mchembe anafaa sana.
Hawezi kupenya. Utasema na Abel Makubi lkn hawapenyi. Ni ngumu. Kuna Masanja Kadogosa pia lkn ndio hivyo tena. Kuna kanuni na taratibu zisizoandikwa, ambazo zinakuwa kikwazo kwao.
Nashangaa kwa mabalozi sioni mtu. Tumejza wanasiasa kule. Masenior kule ni Migiro, Dau, Madafa, Kp, Mangu etc.
 
Back
Top Bottom